moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 127,226
- 696,488
Mkuu Mbabaishaji umeongea kwa hisia sana, lakini Serikali imeshaamua kujenga Arusha.
Ni kweli kwamba jiji la Mwanza lina sifa zote ulizotaja lakini uamuzi umeshafanywa.
Subirini wakati mwingine
Ni kweli kwamba jiji la Mwanza lina sifa zote ulizotaja lakini uamuzi umeshafanywa.
Subirini wakati mwingine