UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,268
- 7,628
Sasa tofauti yetu na wenzetu sio katiba nzuri tu, maana hata hiyo katiba nzuri imepatikana kutokana na aina ya watu wao wenyewe. Sasa kama sisi bado hatuja staharabika hatuheshimu katiba ndio tutegemee hiyo katiba mpya ndio itatubadili hivi tulivyo au ina maajabu gani ambayo itazuia isiathiriwe na huku kutokustaharabika kwetu na kutokuheshimu katiba?Katiba inaruhusu lakini maza akiamua maandamano yasifanyike yeanasakizia polisi tu, kama alivyokuwa anafanya jiwe na hakuna kitu cha kumfanya.