Uhuni wa Dstv

Nimewaripoti TCRA, nitawapa mrejesho
Kweli mkuu, haya makampuni yakishapata wateja wa kutosha yanaanza ujanja.......tupeni na maujanja namna ya kupata zile 'free to air channel' tutumie hizi dish zao kutafuta uelekeo angalau tuwapunguzie mzigo wa wateja....
 
Waziri Ndungulile simamia hili jambo Watanzania wanakandamizwa sana sana,tunaomba fuatilia.Iweje mtu akatiwe Channel katikati ya mwezi?Halafu wanaacha Channel 225 ambayo si angavu( HD)
Washenzi sana DSTV, mtu akilipia kifurushi akakosea namba moja tu, inakuwa hamna namna ya ku undo,
 
TCRA wafuatilieni Dstv Tanzania.Yani mtu unanunua kifurushi ambacho unajua nitakuwa na Channels kadhaa but ghafla wanaondoa Channel fulani.

Kwa mfano kifurushi cha 19900/= kilijumuisha Channel 224 ambayo siku zote huwa ipo na imekuwa inaonesha LA LIGA,sasa iweje leo ghafla iondolewe?Si sawa,si sawa kabisaaaa.

Waziri Ndungulile simamia hili jambo Watanzania wanakandamizwa sana sana,tunaomba fuatilia.Iweje mtu akatiwe Channel katikati ya mwezi?Halafu wanaacha Channel 225 ambayo si angavu( HD)

Tanzania banaa!

Waziri Ndungulile wajibika katika hili.
...Umewahi kusoma vizuri 'Kanuni na Masharti' yao ya kuzingatiwa pale unaponunua kifurushi?
Ninakumbuka kama kuna mstari unaosema wanaweza kupunguza ama kuongeza chanel yoyote wakati wowote bila taarifa...!
 
...Umewahi kusoma vizuri 'Kanuni na Masharti' yao ya kuzingatiwa pale unaponunua kifurushi?
Ninakumbuka kama kuna mstari unaosema wanaweza kupunguza ama kuongeza chanel yoyote wakati wowote bila taarifa...!
Wakishapunguza na chenji wanarudisha? huu ndo uhuni ambao TCRA na wakala wa kuwatetea walaji wanatakiwa ku address.......yaani mimi nimeshalipia halafu wewe ndo unaamua kunipa au kunisitishia huduma.
 
TCRA wafuatilieni Dstv Tanzania.Yani mtu unanunua kifurushi ambacho unajua nitakuwa na Channels kadhaa but ghafla wanaondoa Channel fulani.

Kwa mfano kifurushi cha 19900/= kilijumuisha Channel 224 ambayo siku zote huwa ipo na imekuwa inaonesha LA LIGA,sasa iweje leo ghafla iondolewe?Si sawa,si sawa kabisaaaa.

Waziri Ndungulile simamia hili jambo Watanzania wanakandamizwa sana sana,tunaomba fuatilia.Iweje mtu akatiwe Channel katikati ya mwezi?Halafu wanaacha Channel 225 ambayo si angavu( HD)

Tanzania banaa!

Waziri Ndungulile wajibika katika hili.
Kwa sasa Ndugulile anapambana na agizo la serikali ili atekeleze tozo la Mwigulu. Jua Mwigulu katoa siku 14 kwa wadau walio chini ya wizara ya Ndugulile.
 
Yakifika mashindano fulani ndo unaona signal zinasumbua, ukienda na decoder ofisini kwao lazima wakwambie mbovu utoe elf 30 ya kutengeneza, kumbe ni ujanja ujanja tu wa kupiga hela....TCRA msilale hapo fuatilia hawa wahuni.
Inamaana hizo signal zinasumbua kwa mtu mmoja mmoja au ni baadhi ya eneo tu
 
Inamaana hizo signal zinasumbua kwa mtu mmoja mmoja au ni baadhi ya eneo tu
Watakuwa na ujanja wao, labda wanakuwa wanaingia kwenye akaunti ya mmoja mmoja wanazishusha......ghafla unaanza kuona scratch, ukitazama angani jua kali hakuna hata wingu moja.
 
TCRA wafuatilieni Dstv Tanzania.Yani mtu unanunua kifurushi ambacho unajua nitakuwa na Channels kadhaa but ghafla wanaondoa Channel fulani.

Kwa mfano kifurushi cha 19900/= kilijumuisha Channel 224 ambayo siku zote huwa ipo na imekuwa inaonesha LA LIGA,sasa iweje leo ghafla iondolewe?Si sawa,si sawa kabisaaaa.

Waziri Ndungulile simamia hili jambo Watanzania wanakandamizwa sana sana,tunaomba fuatilia.Iweje mtu akatiwe Channel katikati ya mwezi?Halafu wanaacha Channel 225 ambayo si angavu( HD)

Tanzania banaa!

Waziri Ndungulile wajibika katika hili.


Tafuta tu hela zaidi mkuu uweze kulipia Premium mwaka mzima

Kwenye Biblia imeandikwa kuwa na Fedha huleta jawabu la mambo yote.
 
Hebu nikumbusheni Kama Kuna waziri aliyekwisha kumtetea mwananchi dhidi ya makampuni ya kibeberu.
Ni waziri yupi na kampuni gani ya kibeberu?
 
Hebu nikumbusheni Kama Kuna waziri aliyekwisha kumtetea mwananchi dhidi ya makampuni ya kibeberu.
Ni waziri yupi na kampuni gani ya kibeberu?
Wakienda huko na mikwara wanalainishwa na bahasha ya khaki...
 
Watakuwa na ujanja wao, labda wanakuwa wanaingia kwenye akaunti ya mmoja mmoja wanazishusha......ghafla unaanza kuona scratch, ukitazama angani jua kali hakuna hata wingu moja.
Hilo ni kweli
 
Back
Top Bottom