Tetesi: Uhamiaji ARUSHA mchunguzeni huyu mzungu anaitwa ERNESTO BRUNI

Emaoi

JF-Expert Member
Mar 9, 2013
307
236
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria Benard kwa madai kuwa girlfriend wake ndio mmiliki wa shule hiyo kitu ambacho sio kweli kwani anaidanganya serikali. Mzungu huyu anamiliki ukurasa wake wa Facebook ujulikanao kama CHARITY OF CHILDREN HOPE IN TANZANIA Wenye namba za simu 0746 588048 na dhumuni la kufungua ukurasa huo ni kuchangisha michango ya mamilioni kwa ajili ya kusaidia wanawake na vijana kujikwamua kiuchumi lakini kiuhalisia amesajili NGO lakini anaendesha shule hivyo anaidanganya serikali. Uhamiaji fuatilieni huyu mzungu kwa haraka kujua kama ana kibali Cha ajira (work Permit)? Au ndio amejiajiri kwa mgongo wa girlfriend wake? Na
1 Je Sheria inasemaje mtu akitaka kufungua NGO au shule?
2. Ni kweli kwamba mtu anaweza kufungua shule kwa kusajili mtandaoni kupitia BRELA?
3 Je Sheria zetu za Ajira Tanzania zinasemaje kuhusu raia wa kigeni haswa Hawa wanaotumia mlango wa nyuma kama girlfriend?
4 Je Analipa Kodi TRA kutokana na michango ya mamilioni anayopata kutoka huko ulaya?
5. Ni biashara hiyo ya shule ndio anayoifanya au shule ni kivuli tu? Kwakuwa NGO aliyoisajili inadili na mambo ya kusaidia wanawake wajane na vijana lakini hakuna wanawake Wala vijana Bali Kuna shule ya watoto chekechea.
6 kuhusu uhalali wa kuishi hapa nchini vipi hati ya kusafiria na kibali Cha makazi ni Sheria zipi zinatumika kujua kama yupo kihalali? Naomba kuwasilisha mada kwa wahusika naamini uhamiaji Arusha mtalifanyia kazi
 
Vita ya girlfriend haijawahi kumwacha mtu salama.

Tuachane na hayo uhamiaji wamekusoma watalifanyia kazi.
 
Hahahaa 😄 Kumbe wewe ndo X wa Victoria.
Fedha imepeperusha penzi la mjomba,kinachofuata ni kusagiana kunguni.
Mmoja lazima atanuka.
 
Habari yako imekaa kimkakati wa kuaribiana kwa maslahi binafsi... Any way nisiwe msemaji ngoja TRA na Uwamiaje waingie kazini uwenda wakaja na Mrejesho

Nikupongeze kwa Uzalendo wako mzuri
 
Mtoa mada nikujibu tu kwamba mzungu huyo Ernesto analipa kodi ya mapato na vibali anavyo japo si perment resident.ila alipata kibali cha ndoa RGFM no 9 mwaka 2018 kama sikosei na akahalalisha ndoa yake.Sheria inamtambua kama ni mume halali wa huyu mama. Kuhusu work permit yake anayo class D rejea sheria za work permits Tanzania. Sasa issue ni kuwa kama hiyo shule ni registered nitakuwa na data soon so hoja yako sioni.Account za shule na misaada ya nje tunazo taarifa hapa Tra Arusha na ukihitaji uje kwetu na kibali cha mahakama tutakupa details zote
 
NGO usajili wake ni rahisi tu
1. katiba 2. muhtasari wa kikao cha kuanzisha na cv za watu watatu wanaofanya kazi ofisini.
kuhusu kusajili online brela ndiyo. hata mm nimesajili ya kwangu kwa online.
kuhusu kufanya kazi nchini lazima awe na kibali.
kuhusu mgeni kuwamwanzilishi wa NGO hiyo inawezekana kama atasajili kama international NGO
MENGINE NI MAJUNGU YETU YA KITANZANIA TU . HAKUNA HOJA HAPO
 
1. Je Sheria inasemaje mtu akitaka kufungua NGO au shule?

Jibu: Sheria inamtaka afuate utaratibu. Hamna mahali inakataza raia wa kigeni kufungua shule/NGO/Kampuni

2. Ni kweli kwamba mtu anaweza kufungua shule kwa kusajili mtandaoni kupitia BRELA?

Jibu: Ndiyo

3 Je Sheria zetu za Ajira Tanzania zinasemaje kuhusu raia wa kigeni haswa Hawa wanaotumia mlango wa nyuma kama girlfriend?

Jibu linafanana na jibu la swali la 1. Kiufupi, Sheria ya Ardhi ya Tanzania, inatoa mwanya kwa raia wa kigeni kumiliki ardhi au raia wa Tanzania kumiliki ardhi kwa ubia na raia wa kigeni kwa nia ya kuwekeza.(Kifungu cha 20/21 Sheria namba 3 ya Mwaka 1999)

4 Je Analipa Kodi TRA kutokana na michango ya mamilioni anayopata kutoka huko ulaya?

Kama amefuata taratibu za swali la 1-3, ni uhakika kabisa atakuwa analipa kodi. Ni ngumu kukwepa.

5. Ni biashara hiyo ya shule ndio anayoifanya au shule ni kivuli tu? Kwakuwa NGO aliyoisajili inadili na mambo ya kusaidia wanawake wajane na vijana lakini hakuna wanawake Wala vijana Bali Kuna shule ya watoto chekechea.


Jibu; hapa mtoa mada unaonekana una chuki binafsi. Tafuta kazi ufanye!


Bye!
 
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria Benard kwa madai kuwa girlfriend wake ndio mmiliki wa shule hiyo kitu ambacho sio kweli kwani anaidanganya serikali. Mzungu huyu anamiliki ukurasa wake wa Facebook ujulikanao kama CHARITY OF CHILDREN HOPE IN TANZANIA Wenye namba za simu 0746 588048 na dhumuni la kufungua ukurasa huo ni kuchangisha michango ya mamilioni kwa ajili ya kusaidia wanawake na vijana kujikwamua kiuchumi lakini kiuhalisia amesajili NGO lakini anaendesha shule hivyo anaidanganya serikali. Uhamiaji fuatilieni huyu mzungu kwa haraka kujua kama ana kibali Cha ajira (work Permit)? Au ndio amejiajiri kwa mgongo wa girlfriend wake? Na
1 Je Sheria inasemaje mtu akitaka kufungua NGO au shule?
2. Ni kweli kwamba mtu anaweza kufungua shule kwa kusajili mtandaoni kupitia BRELA?
3 Je Sheria zetu za Ajira Tanzania zinasemaje kuhusu raia wa kigeni haswa Hawa wanaotumia mlango wa nyuma kama girlfriend?
4 Je Analipa Kodi TRA kutokana na michango ya mamilioni anayopata kutoka huko ulaya?
5. Ni biashara hiyo ya shule ndio anayoifanya au shule ni kivuli tu? Kwakuwa NGO aliyoisajili inadili na mambo ya kusaidia wanawake wajane na vijana lakini hakuna wanawake Wala vijana Bali Kuna shule ya watoto chekechea.
6 kuhusu uhalali wa kuishi hapa nchini vipi hati ya kusafiria na kibali Cha makazi ni Sheria zipi zinatumika kujua kama yupo kihalali? Naomba kuwasilisha mada kwa wahusika naamini uhamiaji Arusha mtalifanyia kazi
wewe ni mjinga. kwenye hiyo shule wanaosoma ni wataliano au watanzania? wanaofundisha ni wataliano au watanzania? nijuavyo mimi, wapo baadhi ya wazungu wakija huku, ili waendesha vizuri shule wanazofungua hapa, huwa wanaweka eneo la fund raising, and pesa hizo huwa hawategemei kuzipata toka kwa watanzania. watanzania ni masikini mzee hakuna hela hapa ya kuchangia shule, wao kule kao wanakotoka huwa wanajua namna ya kutafuta pesa kuleta huku, na wazungu wanawaamini wao kwasababu ni wa kwao, wazungu huamini waafrica ni walarushwa hivyo ni ngumu sana mzungu kuchangia pesa tokea kule kwao kuweka mkononi mwa mtu asiyemfahamu vizuri. akichangisha pesa, si zinakuja kuendeleza shule za kibongo? ukimfukuza anaenda kenya. hana hasara. kenya watampokea na watoto wa kikenya wataendelea kupokea elimu.

au amefungua shule yake karibu na kishule chako cha ajabu ajabu cha kibongo? ndio competition hiyo.
 
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria Benard kwa madai kuwa girlfriend wake ndio mmiliki wa shule hiyo kitu ambacho sio kweli kwani anaidanganya serikali. Mzungu huyu anamiliki ukurasa wake wa Facebook ujulikanao kama CHARITY OF CHILDREN HOPE IN TANZANIA Wenye namba za simu 0746 588048 na dhumuni la kufungua ukurasa huo ni kuchangisha michango ya mamilioni kwa ajili ya kusaidia wanawake na vijana kujikwamua kiuchumi lakini kiuhalisia amesajili NGO lakini anaendesha shule hivyo anaidanganya serikali. Uhamiaji fuatilieni huyu mzungu kwa haraka kujua kama ana kibali Cha ajira (work Permit)? Au ndio amejiajiri kwa mgongo wa girlfriend wake? Na
1 Je Sheria inasemaje mtu akitaka kufungua NGO au shule?
2. Ni kweli kwamba mtu anaweza kufungua shule kwa kusajili mtandaoni kupitia BRELA?
3 Je Sheria zetu za Ajira Tanzania zinasemaje kuhusu raia wa kigeni haswa Hawa wanaotumia mlango wa nyuma kama girlfriend?
4 Je Analipa Kodi TRA kutokana na michango ya mamilioni anayopata kutoka huko ulaya?
5. Ni biashara hiyo ya shule ndio anayoifanya au shule ni kivuli tu? Kwakuwa NGO aliyoisajili inadili na mambo ya kusaidia wanawake wajane na vijana lakini hakuna wanawake Wala vijana Bali Kuna shule ya watoto chekechea.
6 kuhusu uhalali wa kuishi hapa nchini vipi hati ya kusafiria na kibali Cha makazi ni Sheria zipi zinatumika kujua kama yupo kihalali? Naomba kuwasilisha mada kwa wahusika naamini uhamiaji Arusha mtalifanyia kazi
Acha mambo yako ya kiduanzi, kwani akitumia kufungua kwa mgongo wa girlfriend wake shida ipo wapi wewe unaumia nini, na wakati fika unajua sheria za nchi yako sio kwa wageni sio kwa wazawa zina changamoto kuanzisha uwekezaji
 
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria Benard kwa madai kuwa girlfriend wake ndio mmiliki wa shule hiyo kitu ambacho sio kweli kwani anaidanganya serikali. Mzungu huyu anamiliki ukurasa wake wa Facebook ujulikanao kama CHARITY OF CHILDREN HOPE IN TANZANIA Wenye namba za simu 0746 588048 na dhumuni la kufungua ukurasa huo ni kuchangisha michango ya mamilioni kwa ajili ya kusaidia wanawake na vijana kujikwamua kiuchumi lakini kiuhalisia amesajili NGO lakini anaendesha shule hivyo anaidanganya serikali. Uhamiaji fuatilieni huyu mzungu kwa haraka kujua kama ana kibali Cha ajira (work Permit)? Au ndio amejiajiri kwa mgongo wa girlfriend wake? Na
1 Je Sheria inasemaje mtu akitaka kufungua NGO au shule?
2. Ni kweli kwamba mtu anaweza kufungua shule kwa kusajili mtandaoni kupitia BRELA?
3 Je Sheria zetu za Ajira Tanzania zinasemaje kuhusu raia wa kigeni haswa Hawa wanaotumia mlango wa nyuma kama girlfriend?
4 Je Analipa Kodi TRA kutokana na michango ya mamilioni anayopata kutoka huko ulaya?
5. Ni biashara hiyo ya shule ndio anayoifanya au shule ni kivuli tu? Kwakuwa NGO aliyoisajili inadili na mambo ya kusaidia wanawake wajane na vijana lakini hakuna wanawake Wala vijana Bali Kuna shule ya watoto chekechea.
6 kuhusu uhalali wa kuishi hapa nchini vipi hati ya kusafiria na kibali Cha makazi ni Sheria zipi zinatumika kujua kama yupo kihalali? Naomba kuwasilisha mada kwa wahusika naamini uhamiaji Arusha mtalifanyia kazi
Hii chuki ni zaidi ya ile ya kurithi

Lazima kuna vipepo vinejaa sana kwenye nafsi yake

On paper huyo jamaa is just helping his girl friend
 
Mtoa mada kijasho chembamba lazima kikutoke,

Walimu wanao fundisha kwenye hako kashule wameamua kudeal na ww papendicullar
 
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria Benard kwa madai kuwa girlfriend wake ndio mmiliki wa shule hiyo kitu ambacho sio kweli kwani anaidanganya serikali. Mzungu huyu anamiliki ukurasa wake wa Facebook ujulikanao kama CHARITY OF CHILDREN HOPE IN TANZANIA Wenye namba za simu 0746 588048 na dhumuni la kufungua ukurasa huo ni kuchangisha michango ya mamilioni kwa ajili ya kusaidia wanawake na vijana kujikwamua kiuchumi lakini kiuhalisia amesajili NGO lakini anaendesha shule hivyo anaidanganya serikali. Uhamiaji fuatilieni huyu mzungu kwa haraka kujua kama ana kibali Cha ajira (work Permit)? Au ndio amejiajiri kwa mgongo wa girlfriend wake? Na
1 Je Sheria inasemaje mtu akitaka kufungua NGO au shule?
2. Ni kweli kwamba mtu anaweza kufungua shule kwa kusajili mtandaoni kupitia BRELA?
3 Je Sheria zetu za Ajira Tanzania zinasemaje kuhusu raia wa kigeni haswa Hawa wanaotumia mlango wa nyuma kama girlfriend?
4 Je Analipa Kodi TRA kutokana na michango ya mamilioni anayopata kutoka huko ulaya?
5. Ni biashara hiyo ya shule ndio anayoifanya au shule ni kivuli tu? Kwakuwa NGO aliyoisajili inadili na mambo ya kusaidia wanawake wajane na vijana lakini hakuna wanawake Wala vijana Bali Kuna shule ya watoto chekechea.
6 kuhusu uhalali wa kuishi hapa nchini vipi hati ya kusafiria na kibali Cha makazi ni Sheria zipi zinatumika kujua kama yupo kihalali? Naomba kuwasilisha mada kwa wahusika naamini uhamiaji Arusha mtalifanyia kazi
Acha ukuda amekupigia pisi yako nini
 
Mtoa mada nikujibu tu kwamba mzungu huyo Ernesto analipa kodi ya mapato na vibali anavyo japo si perment resident.ila alipata kibali cha ndoa RGFM no 9 mwaka 2018 kama sikosei na akahalalisha ndoa yake.Sheria inamtambua kama ni mume halali wa huyu mama. Kuhusu work permit yake anayo class D rejea sheria za work permits Tanzania. Sasa issue ni kuwa kama hiyo shule ni registered nitakuwa na data soon so hoja yako sioni.Account za shule na misaada ya nje tunazo taarifa hapa Tra Arusha na ukihitaji uje kwetu na kibali cha mahakama tutakupa details zote
Umetumia Busara sana mkuuu, ahsante kwa majibu mazuri ila sijui kma yana ukwel ila umenishawishi
 
1. Je Sheria inasemaje mtu akitaka kufungua NGO au shule?

Jibu: Sheria inamtaka afuate utaratibu. Hamna mahali inakataza raia wa kigeni kufungua shule/NGO/Kampuni

2. Ni kweli kwamba mtu anaweza kufungua shule kwa kusajili mtandaoni kupitia BRELA?

Jibu: Ndiyo

3 Je Sheria zetu za Ajira Tanzania zinasemaje kuhusu raia wa kigeni haswa Hawa wanaotumia mlango wa nyuma kama girlfriend?

Jibu linafanana na jibu la swali la 1. Kiufupi, Sheria ya Ardhi ya Tanzania, inatoa mwanya kwa raia wa kigeni kumiliki ardhi au raia wa Tanzania kumiliki ardhi kwa ubia na raia wa kigeni kwa nia ya kuwekeza.(Kifungu cha 20/21 Sheria namba 3 ya Mwaka 1999)

4 Je Analipa Kodi TRA kutokana na michango ya mamilioni anayopata kutoka huko ulaya?

Kama amefuata taratibu za swali la 1-3, ni uhakika kabisa atakuwa analipa kodi. Ni ngumu kukwepa.

5. Ni biashara hiyo ya shule ndio anayoifanya au shule ni kivuli tu? Kwakuwa NGO aliyoisajili inadili na mambo ya kusaidia wanawake wajane na vijana lakini hakuna wanawake Wala vijana Bali Kuna shule ya watoto chekechea.


Jibu; hapa mtoa mada unaonekana una chuki binafsi. Tafuta kazi ufanye!


Bye!
🤣🤣🤣🤣🤣 Point ya Mwisho imenichekesha, anyway najifunza vingi kupitia post hii
 
Back
Top Bottom