JamiiCheck
Member
- Nov 3, 2023
- 54
- 44
Kuhakiki taarifa ni Silaha ya msingi katika kupambana na Usambaaji wa taarifa Potofu ndani na nje ya Mitandao
Jamii inapojenga tabia ya kufanya uhakiki wa kila taarifa inayokutana nayo, itawawezesha kufanya Maamuzi Sahihi katika masuala mbalimbali yanatokea katika Jamii husika
Je, wewe ni miongoni mwa Watu wanaohakiki kila taarifa kabla ya kuiamini?
Kufikia Jukwaa la JamiiCheck, bofya HAPA.