Rion Jr
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 587
- 627
Asante mkuu kwa jinsi ninavyofahamu hawa bata wametofautiana,
kuna bata wanaitwa bata bukini ni wazuri kimuonekano na hata bei yake imechangamka. Ukifuga hao wanazaliana kwa wingi vilevile utauza kwa bei ya juu, hata hawa bata wetu wa kienyeji pia wanazaliana kwa wingi mno, kibongobongo hawa unaweza kupata masoko yake humuhumu uswahilini kwetu.
Wale bukini ukitaka kuuza inabidi usogee mjini kidogo huko utapiga ela ndefu.