Ubora wa Jude Bellingham ni upi?

uwe hodari

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
4,047
8,532
Jana niliangalia El classico lkn lengo langu kuu ilikuwa ni kutazama bwana mdogo ambaye amekuwa akiimbwa sana kwenye platform za social media

Jana nimeangalia mechi ukitoa zile goli alizofunga sijaona potential kubwa kwake hadi aanze kufaninishwa na Lampard au Zidane au maestro wengine

Jana nilivyomuona ana ubora kwenye kujipostion/ anajua wapi akae Ili aweze kupokea pasi pamoja na phiscality uwanjani


Ila anapoteza sana mipira
Hatoa accurate pass
Hakabi
Hana pace
Mwili wake ni ule wa mifupa mizito kwahiyo anawahi kuchoka

Mechi ya jana dogo alipotea kabisa shukrani kuingia kwa babu Modric alilainisha game

Nimekuwa nikisikiliza interview za Ancelot kuhusu magoli anayofunga Jude mara nyingi hata yeye anashangazwa hii maana yake hamtegemei sana

Je, kweli Jude ana ubora ambao mimi siuoni hadi aanze kuwekwa daraja moja na kina Zizou?
 
Mpira wa kisasa unahitaji nguvu, Kasi, ubunifu na magoli. Vyenga vinapotea kwenye mpira wa Leo. Unaweza usimsifu Jude lakini records zake kwenye 13 za mwanzo tayari ana magoli 13. Rekodi ambayo imwahi kuwekwa na Ronaldo pia pale Real. Huo ndio ubora wa Jude, "magoli"!
 
JUDE NI COMPLETE PACKAGE.

1. Anakaba.

2. Ana nguvu,Akiamua kukaba ama undava vyote anaweza

3. Anafunga magoli. Mpaka sasa nadhani ana goli zaidi ya 13

4. Ana kimo kizuri kinachomraahisishia kucheza mipira ya juu

5. Anaweza kucheza eneo lote la kiungo 6,8,10.

6. Ana uwezo mkubwa wa kuchezesha timu kutoka juu chini ama pia kati kati ya kiwanja..

7. Ana speed na mwendo mzuri

TATIZO KUBWA LA HUYU JAMAA NI MUINGEREZA.
 
JUDE NI COMPLETE PACKAGE.

1. Anakaba.

2. Ana nguvu,Akiamua kukaba ama undava vyote anaweza

3. Anafunga magoli. Mpaka sasa nadhani ana goli zaidi ya 13

4. Ana kimo kizuri kinachomraahisishia kucheza mipira ya juu

5. Anaweza kucheza eneo lote la kiungo 6,8,10.

6. Ana uwezo mkubwa wa kuchezesha timu kutoka juu chini ama pia kati kati ya kiwanja..

7. Ana speed na mwendo mzuri

TATIZO KUBWA LA HUYU JAMAA NI MUINGEREZA.
Kwahiyo kuwa muingereza ndio tatizo?
 
Kwahiyo kuwa muingereza ndio tatizo?

Waingereza ni watu wa kushangaza kidogo.
1. Viungo hawa walikiwa wazuri mno
Frank lampard.
Steven Gerlard.
Paul scores etc.
Walicheza kwa mafanikio makubwa ila hakuwahi kuoata Tuzo za Dunia.


2.Hawa wachezaji nilitegemea waje kuwa wachezaji bora wa Dunia . Ghafla wakapotea bila kutegemea
Michae owen.
Jack Wilshare
Alex oxled chamblen.
Theo walcott.

Wakapotea bila kutegemea
Wakijidai majeraha majeraha........
 
Jude umemjua akiwa Madrid, tena unamjudge kwa mechi moja? Bila shaka umechagua upande wa kumpuuza.

Jude akiwa Birmingham alikiwasha mno. Akaenda BVB, akaendeleza moto. Sasa yupo Madrid.

Sasa tafsiri ya an average player ni ipi? Ina maana kwenye timu zote na miaka yote, watu wamekuwa wakimhype bila kumzingatia?

Au wewe tuambie, ulitaka achezeje ili awe mchezaji wa daraja la juu?
 
Jana niliangalia El classico lkn lengo langu kuu ilikuwa ni kutazama bwana mdogo ambaye amekuwa akiimbwa sana kwenye platform za social media

Jana nimeangalia mechi ukitoa zile goli alizofunga sijaona potential kubwa kwake hadi aanze kufaninishwa na Lampard au Zidane au maestro wengine

Jana nilivyomuona ana ubora kwenye kujipostion/ anajua wapi akae Ili aweze kupokea pasi pamoja na phiscality uwanjani


Ila anapoteza sana mipira
Hatoa accurate pass
Hakabi
Hana pace
Mwili wake ni ule wa mifupa mizito kwahiyo anawahi kuchoka

Mechi ya jana dogo alipotea kabisa shukrani kuingia kwa babu Modric alilainisha game

Nimekuwa nikisikiliza interview za Ancelot kuhusu magoli anayofunga Jude mara nyingi hata yeye anashangazwa hii maana yake hamtegemei sana

Je, kweli Jude ana ubora ambao mimi siuoni hadi aanze kuwekwa daraja moja na kina Zizou?
Football is a game of statistics so far He's the best player according to statistics but it's to early to compare him with the likes of Christian Ronaldo luka modric Lampard or Gerrard but I think he's from ENGLAND that's why they overhype him as always accustomed to do they did it in Adnan januzaj dele ali Jesse lingard and rashford English media are rubbish sometimes when it comes to their players.
 
Waingereza ni watu wa kushangaza kidogo.
1. Viungo hawa walikiwa wazuri mno
Frank lampard.
Steven Gerlard.
Paul scores etc.
Walicheza kwa mafanikio makubwa ila hakuwahi kuoata Tuzo za Dunia.


2.Hawa wachezaji nilitegemea waje kuwa wachezaji bora wa Dunia . Ghafla wakapotea bila kutegemea
Michae owen.
Jack Wilshare
Alex oxled chamblen.
Theo walcott.

Wakapotea bila kutegemea
Wakijidai majeraha majeraha........
Achana na porojo za Waingereza, Chamberlain alikuwa na ubora upi? Average player hype kubwa kama Walcott tu.

Jack Wilshere atleast nilishawishika, Michael Owen kama sikosei mwaka 2001 alitwaa Ballon D’or
 
Waingereza wa zamani walikuwa na akili

Rooney ndio toleo la mwisho

Walikosa kocha mwenye mbinu kubeba kombe la dunia
Waingereza ni watu wa kushangaza kidogo.
1. Viungo hawa walikiwa wazuri mno
Frank lampard.
Steven Gerlard.
Paul scores etc.
Walicheza kwa mafanikio makubwa ila hakuwahi kuoata Tuzo za Dunia.


2.Hawa wachezaji nilitegemea waje kuwa wachezaji bora wa Dunia . Ghafla wakapotea bila kutegemea
Michae owen.
Jack Wilshare
Alex oxled chamblen.
Theo walcott.

Wakapotea bila kutegemea
Wakijidai majeraha majeraha........
 
Mwaka jana wakati akiwa BVB walimdhurumu tuzo yake ya mchezaji bora under 20 Europe akapewa GAVI mwaka huu dogo tuzo ya kwake
 
Back
Top Bottom