U.S Federal Reserve wakiadopt expansion monetary policy uhaba wa dola uliopo dunian utaondoka

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,601
10,100
Baada ya corona kuisha kulikua na inflation kubwa dunian marekani kupitia federal reserver waliamua ku-implement contraction monetary policy kwa kuongeza interest rate ili kupunguza fedha kwenye mzunguko na hatimaye kupunguza inflation

Madhara ya contraction monetary policy
  • Kuongeza riba ya mikopo bank hii inatokana na ukweli kwamba commercial bank wanachukua mikopo central bank na kama interest rate ikiwa kubwa na wao wanapandisha interest rate ya kutoa mikopo kwa wafanyabiashara
  • Kupunguza inflation Watu wakiwa hawana hela automatic bidhaa za vitu zinashuka na inflation ina shuka
  • Kupunguza ukuaji wa uchumi, Sababu interest rate inakua ni kubwa wafanyabiashara nao wanapunguza kasi ya kuchukua mikopo

Kuongeza interest rate ya asilimia 0.25% mwezi july 2023 ni msumari wa moto kwa wafanyabiashar duniani, na jumla inakua ni asilimia 5.5 tokea waanze mwaka 2021 ni ongezeko kubwa la interest rate ambalo halijawahi kutokea kwa miaka 22
Uhaba wa dollar unaondelea ni matokeo ya sera ya contraction monetary policy na ilichagizwa zaid pale interest rate ilipoongezwa tena july 2023 na itaendelea mpaka pale us federal reserves itakapoamua kua-adopt expansion monetary policy sio sawa kulaumu wakina mwigulu ni jambo amabalo lipo nje ya uwezo wao.

Mimi sio mwandishi mzuri mjitahid kuelewa hivyo hivyo
 
Sasa wale pro Russia wako wapi walipokuwa wanasema sasa dollar haina maana duniani?!!kuwa nchi nyingi sasa hazitaki kufanya biashara kwa kutumia US DOLLAR?!
 
Sasa wale pro Russia wako wapi walipokuwa wanasema sasa dollar haina maana duniani?!!kuwa nchi nyingi sasa hazitaki kufanya biashara kwa kutumia US DOLLAR?!
Dollar Ina nguvu kubwa Sana kwenye hii Dunia asikuambie mtu... Hiyo rubber hapa hao pro Russia hawajawahi kuiona. 75% ya Hela kwenye nchi mbalimbali kwenye reserve zao ni dollar. Sasa hapo unasemaje dollar Haina nguvu
 
Dollar Ina nguvu kubwa Sana kwenye hii Dunia asikuambie mtu... Hiyo rubber hapa hao pro Russia hawajawahi kuiona. 75% ya Hela kwenye nchi mbalimbali kwenye reserve zao ni dollar. Sasa hapo unasemaje dollar Haina nguvu
Huo ndo ukweli sababu ni ngumu sana kwa kila nchi kutumia ela yake kwenye international trade kutakua na problem of inconvenience tukubali lazima kuwe na kiongozi kwenye kila jambo
 
Mpaka bunge lao lirise tena habari za debt ceiling. Juzi tu wamerise tena kwa mbinde. Dawa ni kuachana dola. Wakipunguza US dunia nzima uchumi unadorora. Wakiongeza dunia nzima inapata inflation. Huo ni utumwa mbaya sana.
 
Mpaka bunge lao lirise tena habari za debt ceiling. Juzi tu wamerise tena kwa mbinde. Dawa ni kuachana dola. Wakipunguza US dunia nzima uchumi unadorora. Wakiongeza dunia nzima inapata inflation. Huo ni utumwa mbaya sana.
Sio utumwa in short kila sehemu lazima kuwe na kiongozi
Dunia ikiachana na dollor itakuwa replace na sarafu nyingine
 
Mpaka bunge lao lirise tena habari za debt ceiling. Juzi tu wamerise tena kwa mbinde. Dawa ni kuachana dola. Wakipunguza US dunia nzima uchumi unadorora. Wakiongeza dunia nzima inapata inflation. Huo ni utumwa mbaya sana.
Sema aiseee kwa tunayoyapata yanatosha, USA waprint tu pesa nyingine nyingi, dollar zirudi kwa wing mtaani
 
Back
Top Bottom