TV4Sale TV ya mtumba inchi 24 inauzwa

Mr_S

Senior Member
Apr 2, 2022
108
88
IMG_20221205_150129_1.jpg

TV ya mtumba inchi 24 inauzwa.
*Button zake za kuwashia/kuongeza/kupunguza sauti ni za kugusa.
*HAINA REMOTE
*HAITUMII FLASH
*Bei: 150,000/- (maongezi yapo)
*Location: Kiwalani, Dar es salaam.
*WhatsApp/simu: 0656 203 045
 
TV ina-support, HDMI, AV na aina nyingine ya connection
 
View attachment 2452938
TV ya mtumba inchi 24 inauzwa.
*Button zake za kuwashia/kuongeza/kupunguza sauti ni za kugusa.
*HAINA REMOTE
*HAITUMII FLASH
*Bei: 150,000/- (maongezi yapo)
*Location: Kiwalani, Dar es salaam.
*WhatsApp/simu: 0656 203 045
Acha kutufokea. Mwenyewe umeandika kuwa haitumii flash. Kama ina USB ports na haitumii flash basi hiki ni kimeo
 
Acha kutufokea. Mwenyewe umeandika kuwa haitumii flash. Kama ina USB ports na haitumii flash basi hiki ni kimeo
Mimi nimesema haitumii flash. Niambie wapi nimeandika habari ya USB PORTS ?. Mbona wewe na Bujibuji Simba Nyamaume mnanilisha maneno ?

Kama unataka TV yangu ionekane kimeo sawa fanya hivyo lakini sio kwa njia ya kuingiza maneno ambayo sikuyazungumza. Sijazungumza lolote kuhusu USB PORTS.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom