Tutatumia ziwa Tanganyika kwenye umwagiliaji

Jamesdominic

JF-Expert Member
Nov 26, 2022
477
643
"Baada ya Bunge la bajeti kukamilika tunatarajia kuanza kuyatumia maji ya ziwa Tanganyika katika shughuli za kilimo na uzuri mitambo tunayo naamini Jambo hili litafanikiwa" - Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo Tanzania

Waziri Bashe pia amebainisha kuwa mikakati ya serikali ni kuanza kutumia maji ya ziwa Tanganyika katika miradi ya kilimo cha umwagiliaji ambapo hatua ya kwanza itaanza katika Mikoa ya katavi na Rukwa.

Aidha ameweka wazi kuwa kutafanyika upembuzi wa kina na yakinifu ili maji hayo yasafirishwe hadi Simiyu ambapo kuna ukame na Tabora.

FB_IMG_17144837321705838.jpg
 
"Baada ya Bunge la bajeti kukamilika tunatarajia kuanza kuyatumia maji ya ziwa Tanganyika katika shughuli za kilimo na uzuri mitambo tunayo naamini Jambo hili litafanikiwa" - Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo Tanzania

Waziri Bashe pia amebainisha kuwa mikakati ya serikali ni kuanza kutumia maji ya ziwa Tanganyika katika miradi ya kilimo cha umwagiliaji ambapo hatua ya kwanza itaanza katika Mikoa ya katavi na Rukwa.

Aidha ameweka wazi kuwa kutafanyika upembuzi wa kina na yakinifu ili maji hayo yasafirishwe hadi Simiyu ambapo kuna ukame na Tabora.

View attachment 2977566
Hii ndio vitu tulitakiwa tufanye tangu miaka mingi ila maji tunayo kwa ujinga tunapiga makelele na kuwasikiliza wazungu wakitukataza. Hii nchi tulipaswa tangu miaka mingi tusiwe na shida ya maji ya kunywa na umwagiliaji. Tumezungukwa na maziwa makubwa kabisa afrika na duniani lakini kwa ujinga tunayaangalia na kila tukizungumzia kuyatumia wazungu/misri wanatukataza na sisi tunakubali. Kwa ziwa victoria misri imekua inatukataza tusitumie hayo maji na eti tunakubali kama wapumbavu.
 
Hii ndio vitu tulitakiwa tufanye tangu miaka mingi ila maji tunayo kwa ujinga tunapiga makelele na kuwasikiliza wazungu wakitukataza. Hii nchi tulipaswa tangu miaka mingi tusiwe na shida ya maji ya kunywa na umwagiliaji. Tumezungukwa na maziwa makubwa kabisa afrika na duniani lakini kwa ujinga tunayaangalia na kila tukizungumzia kuyatumia wazungu/misri wanatukataza na sisi tunakubali. Kwa ziwa victoria misri imekua inatukataza tusitumie hayo maji na eti tunakubali kama wapumbavu.
Kwamba tutoe maji ziwa Tanganyika hadi Bariadi Simiyu ila tuache maji pale Lamadi Busega?
 
Hii ndio vitu tulitakiwa tufanye tangu miaka mingi ila maji tunayo kwa ujinga tunapiga makelele na kuwasikiliza wazungu wakitukataza. Hii nchi tulipaswa tangu miaka mingi tusiwe na shida ya maji ya kunywa na umwagiliaji. Tumezungukwa na maziwa makubwa kabisa afrika na duniani lakini kwa ujinga tunayaangalia na kila tukizungumzia kuyatumia wazungu/misri wanatukataza na sisi tunakubali. Kwa ziwa victoria misri imekua inatukataza tusitumie hayo maji na eti tunakubali kama wapumbavu.
Hakuna kitu hapo ndugu. Hawa watu bado wanaaplication za kwenye makaratasi ya elimu waliyosoma lakini sio akili zao za kibinadamu katika kutatua matatizo.
Hii nchi kuna sera nzuri za kilimo na umwagiliaji. Ukimuita waziri atakueleza vizuuuur mpaka kiasi cha maji kilichopo ardhini lakini hakuna siku serikali itaamua kutenga schemes n kuanza kutumianmaji hayo ya ardhini.
BBT bado ni kizungumkuti haina matangazo tena ya kujua imefika wapi..
Wakati raia anauwezo wa kuita surveyor akachimba kisima na akawa na reserve ya maji yankutosha kwa ajili kilimo, serikali yenyewe inashindwa kufanywa lolote lakini ukihitaji document za researchers zipo maofisini.
Tangu tupo wadogo mpaka leo tunazeeka bado jangwani ni mafuriko.
Agh.....
 
Du! Ndo tunapo feli.
Hakuna kitu hapo ndugu. Hawa watu bado wanaaplication za kwenye makaratasi ya elimu waliyosoma lakini sio akili zao za kibinadamu katika kutatua matatizo.
Hii nchi kuna sera nzuri za kilimo na umwagiliaji. Ukimuita waziri atakueleza vizuuuur mpaka kiasi cha maji kilichopo ardhini lakini hakuna siku serikali itaamua kutenga schemes n kuanza kutumianmaji hayo ya ardhini.
BBT bado ni kizungumkuti haina matangazo tena ya kujua imefika wapi..
Wakati raia anauwezo wa kuita surveyor akachimba kisima na akawa na reserve ya maji yankutosha kwa ajili kilimo, serikali yenyewe inashindwa kufanywa lolote lakini ukihitaji document za researchers zipo maofisini.
Tangu tupo wadogo mpaka leo tunazeeka bado jangwani ni mafuriko.
Agh.....
 
Hii ndio vitu tulitakiwa tufanye tangu miaka mingi ila maji tunayo kwa ujinga tunapiga makelele na kuwasikiliza wazungu wakitukataza. Hii nchi tulipaswa tangu miaka mingi tusiwe na shida ya maji ya kunywa na umwagiliaji. Tumezungukwa na maziwa makubwa kabisa afrika na duniani lakini kwa ujinga tunayaangalia na kila tukizungumzia kuyatumia wazungu/misri wanatukataza na sisi tunakubali. Kwa ziwa victoria misri imekua inatukataza tusitumie hayo maji na eti tunakubali kama wapumbavu.
Ziwa Tanganyika katukataza nani?
 
Back
Top Bottom