mnangagwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 978
- 1,424
Ubarikiwe sana mheshimiwa.Ndugu yangu salaam. Awali ya yote pole Sana kwa kadhia hii. Pia hongera Sana kwa hekima, utulivu na ujasiri wa kuleta hoja yako hii. Haya kesho nitumie ujumbe kwenye sms namba 0765345777 nitaweza kuisoma na kukupa ushauri. Haya usiku mwema. Shukrani
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app