johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,389
- 144,733
Tunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee.
Ahsanteni sana 🐼
Ahsanteni sana 🐼
Viti viwili vikaunganishwa pale UN tukapata TanzaniaJohn kuwa na akili hata tanganyika ilikuwa na kiti UN je vipi leo hii hicho kiti cha tanganyika kipo?maana kwa tasfiri iyo unàtaka kusema lissu anaikandamiza zanzibar.Tuna taifa moja tu TANZANIA
Umeelewa mada lakini? 🐼Kwani Tanganyika haikuwa na Kiti?
Basi na Tanganyika itambuliwe kama inavyotambuliwa ZanzibarViti viwili vikaunganishwa pale UN tukapata Tanzania
Kwahiyo Zanzibar tunaitambua Sisi humu humu kama Nchi lakini kwenye ramani ya Dunia siyo
Tanganyika na Zanzibar zote hazitambuliki UN wala FIFA 😂Basi na Tanganyika itambuliwe kama inavyotambuliwa Zanzibar
Haina mantiki ndo sababu tunakosoaUmeelewa mada lakini? 🐼
Wewe mwenyewe ndo umeandika hivi..Tanganyika na Zanzibar zote hazitambuliki UN wala FIFA 😂
Ndiyo sababu tunataka na Tanganyika itambuliwe humu humu kama nchi kuweka usawaKwahiyo Zanzibar tunaitambua Sisi humu humu kama Nchi
Tanganyika ilipoteza kiti UN, pia imepoteza jina sasa wanaiita Tanzania Bara,John kuwa na akili hata tanganyika ilikuwa na kiti UN je vipi leo hii hicho kiti cha tanganyika kipo?maana kwa tasfiri iyo unàtaka kusema lissu anaikandamiza zanzibar.Tuna taifa moja tu TANZANIA
Ndiyo sababu hakimu yule alifuta kesi ya mtu na mjomba wake.Viti viwili vikaunganishwa pale UN tukapata Tanzania
Kwahiyo Zanzibar tunaitambua Sisi humu humu kama Nchi lakini kwenye ramani ya Dunia siyo
Zanzibar ni kijiji tu kama tanganyika lakini cha kushangaza kijiji hiki kina bendera, wimbo wa taifa, jeshi na rais juuViti viwili vikaunganishwa pale UN tukapata Tanzania
Kwahiyo Zanzibar tunaitambua Sisi humu humu kama Nchi lakini kwenye ramani ya Dunia siyo
Lissu alishasema Hilo mara nyingi tafuta clips zake utamsikia. Mara nyingi alishasema Tanganyika imeover shadow Zanzibar. Hata Leo akienda Zanzibar utamsikia akisema Hilo. Lissu hajawahi kunafikika.Tunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee.
Ahsanteni sana 🐼
Lisu anaangalia zaidi Idadi ya watu kwenye Uchaguzi, Ndio Mimi namkumbusha kule UN inasomeka 50-50 😃wewe mbatizaji, unachochea moto kimkakati.
Kwahiyo anakumbuka UN inasoma 50-50Lissu alishasema Hilo mara nyingi tafuta clips zake utamsikia. Mara nyingi alishasema Tanganyika imeover shadow Zanzibar. Hata Leo akienda Zanzibar utamsikia akisema Hilo. Lissu hajawahi kunafikika.
Tanganyika haijavaa koti la muungano, ilipoteza nafasi kama nchi lakini cha kushangaza zanzibar ina jeshi, bendera,katiba mpaka rais lakini tanganyika haina ivyo vyoteTanganyika ilipoteza kiti UN, pia imepoteza jina sasa wanaiita Tanzania Bara,
Wengine wanakwambia Tanganyika imevaa koti la muungano eti ndio Tanzania,
Katiba hata Chadema wanayo na wale walinzi wao akina Boniyai plus Bendera na Wimbo wao wa.Pipooooz Pawaaaa 😂Tanganyika haijavaa koti la muungano, ilipoteza nafasi kama nchi lakini cha kushangaza zanzibar ina jeshi, bendera,katiba mpaka rais lakini tanganyika haina ivyo vyote