Tundu Lissu vs Zitto Kabwe - nani ana uwezo wa kiuongozi?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Oct 7, 2020
1,441
1,297
Salaàm!

Najiuliza mengi na nabaki ktk mabano au cross junction. Urais si nafasi ya kumpa kila mgombea kutokana na sababu kuwa huhitaji MTU makini katika mienendo na maamuzi.

Sasa hata kama opposition wameshinda kwa bahati mbaya ikiwa hao wawili wamegombea kupitia VYAMA tofauti - yupi awezaye kukabidhiwa mhuri wa Moto? Tundu Lissu au Zitto Kabwe?

  • Yupi si muumini wa jino kwa jino?
  • Yupi si mfuasi wa lugha za matusi na awezaye kuunganisha watanzania?
  • Yupi awezaye kukaa meza moja na Marais wenzake wastaafu na kuwalinda?
  • Yupi awezaye kuungwa mkono na jumuiya za kitaifa na kimataifa?

Uchaguzi si furahisha watu, mengi huangaliwa ili kuweka mtengamano miongoni mwa watu.

Ngaika Ndenda
Kigoma
 
Hivi ni nini tafsiri ya hili neno matusi- hebu nieleweshi bandugu…linanichanganya sana…
neno lolote lisilo la kiungwana dhidi ya mwingine ni tusi.

matusi husababisha mafarakano, mapigano hadi maafa pia.

Mfano rahisi kutamka maneno yasiyo ya kiungwana dhidi mama mzazi wa mwingine. kitakachotokea ndio madhara ya tusi.
 
Lissu hajawahi kuwa kiongozi...Lissu ni mwanaharakati tu...
kweli ile sio siasa. kugalagala barabarani zee zima eti hatuondoki hapa then baadae linadanganywa kidogo tu linaondoka 🤣 ile kweli harakati siasa gani iko vile
 
Back
Top Bottom