Tundu Lissu: Tunaendelea Kupokea michango ya Gari na hadi sasa zimeshapatikana Tsh. 16,263,624

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,763
145,679
Screenshot 2024-05-21 153040.png

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu amesema lilitokea tatizo kidogo kwa michango inayopitia M-Pesa lakini tatizo hilo limeshatatuliwa hivyo michango inaendelea kupokelewa.

Hadi sasa zimeshapatikana tsh 16,263,624 na Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amesema Tundu Lissu ukurasani X

Barikiwa sana.
 

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu amesema lilitokea tatizo kidogo kwa michango inayopitia M-Pesa lakini tatizo hilo limeshatatuliwa hivyo michango inaendelea kupokelewa.

Hadi sasa zimeshapatikana tsh 16,263,624 na Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amesema Tundu Lissu ukurasani X

Barikiwa sana.


Lissu kizuri hana siri na kujigamba na hii inamsaidia sana kwa wananchi. Ukiwa unatenda mema huna sababu ya kununuliwa kama wakina Mdee. Mdee alikuwa kama Lissu lakini yeye aliona kununuliwa ni bora kuliko kuomba
 

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu amesema lilitokea tatizo kidogo kwa michango inayopitia M-Pesa lakini tatizo hilo limeshatatuliwa hivyo michango inaendelea kupokelewa.

Hadi sasa zimeshapatikana tsh 16,263,624 na Mungu wa mbinguni awabariki Nyote, amesema Tundu Lissu ukurasani X

Barikiwa sana.

Lissu angetaka kuwa billionea kwa kufungua Law firm yake ya kitaifa na mikataba kama wakina Mkono angeweza lakini amechagua kuwa mpigania haki wa ukweli. Mimi binafsi nishingeweza lakini ndiyo wito wake
 
Back
Top Bottom