Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 1,503
- 1,118
LISSU ni mwanasiasa muongo, mfitini na mbaguzi kuwahi kutokea katika Taifa hili,
Watanzania lazima muelewe vizuri hulka ya huyu ndugu yetu ambae wengi tunaamini baada ya ile ajali kwa sasa hayuko normal.
Hapo juu Mhe Kafulila David Akihojiwa na Kituo Cha runinga Cha Clouds Plus+ alionesha wazi uongo na Upotoshaji wa Lissu tangu enzi na enzi.
Nimwaka 2020 wakati wa kampeni LISSU huyu huyu alizusha uongo ila namshukuru sana Crde Kafulila alishughulika nae kisawa sawa kama alivyofanya Crde Kinana huko Dodoma.
Leo nampongeza Mhe Kafulila Kwa kumpa za uso na ndio sababu za Mhe Tundu Lissu hakupata kura popote kisa ni huu Uongo Uongo wake nashauri CHADEMA watafute mgombea mwingine 2025.
Alichokisema Mhe Kafulila: -
" Kwanza, nashukuru sasa kuona ndugu yangu Tundu Lissu ameanza kuleta hoja zinazoweza kuanza kujadilika kama mgombea, tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa ni masimulizi ambayo kwakweli hayakuwa na lolote la kusaidia maamuzi ya mpiga kura.
Pili, Jana nilifuatilia hotuba yake iliyokosoa masuala kadhaa ambayo nimeona si busara ayatumie kupotosha Watanzania kufanya maamuzi katika misingi ya upotoshaji.
Ili kurahisisha, nimepanga mawazo yangu katika mafungu
1. Lissu anasema Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mwaka huu 2020 kuhusu urahisi wa kufanya Biashara( Easy of Doing Business Report 2020) imeishusha Tanzania kutokana na utawala wa JPM.
2. Asichokijua Lissu na wenzake wanaotumia hoja hiyo ni kwamba tayari Benki hiyo hiyo ya dunia (WB), katika taarifa yake ya tarehe ya juzi Agosti 27,2020, imeifuta tathimini hiyo ya Mwaka 2020 na ile ya 2018.
3. Benki ya Dunia imeleza wazi kuwa tathimini hizo zilikuwa na kasoro nyingi za kiuweledi na hivyo kukosa uhalisia.
Hii itoshe tu kusema LISSU ni mwongo wa Karne apuuzwe asiaminiwe wala asipewe kura ".
Rais ni Mzanzibari ni kweli,✓
Sasa naomba kujibiwa haya maswali yangu saba (7) na wanaodhani wao si Wanzibar akiwemo Mhe Tundu Lissu.
1. Je ? Reli hii mpya ya SGR kutoka Dar mpaka Singida kwa Lissu si ni huyu Mama anayekesha akiomba omba pesa "Yalayala" huko World Bank,!! Hivi siku akistaafu na kurudi Zanzibar atakwenda na SGR?
2. Je? SG baada ya kutoa hizo 2,100MG nazo zimemaliza kabisa tatizo la mgao wa Umeme Zanzibar? Mbona hamsemi aliyemaliza tatizo la Umeme ni Mzanzibar?
3. Je, Vituo vya Afya na Zahanati zaidi ya 470 alizojenga ziko Zanzibar? Wanatibiwa watoto na akina mama wa Zanzibar?
4. Je, Mabarabara haya yote yanayojengwa Kila kona nayo yako Zanzibar?
5. Je, hizi TZS 600Bil alizoongeza kwa ajili ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kwaajili ya watoto wa Wazanzibar?
6. Je, Hii Elimu Bure kutoka chekechea mpaka kidato Cha Sita wanaosoma ni Wazanzibar?
7. Je, hii demokrasia mnavyoandamana tena kwenye lami na makofia yenu kama migambo nyie ni Wazanzibar?
====
Watanzania lazima muelewe vizuri hulka ya huyu ndugu yetu ambae wengi tunaamini baada ya ile ajali kwa sasa hayuko normal.
Hapo juu Mhe Kafulila David Akihojiwa na Kituo Cha runinga Cha Clouds Plus+ alionesha wazi uongo na Upotoshaji wa Lissu tangu enzi na enzi.
Nimwaka 2020 wakati wa kampeni LISSU huyu huyu alizusha uongo ila namshukuru sana Crde Kafulila alishughulika nae kisawa sawa kama alivyofanya Crde Kinana huko Dodoma.
Leo nampongeza Mhe Kafulila Kwa kumpa za uso na ndio sababu za Mhe Tundu Lissu hakupata kura popote kisa ni huu Uongo Uongo wake nashauri CHADEMA watafute mgombea mwingine 2025.
Alichokisema Mhe Kafulila: -
" Kwanza, nashukuru sasa kuona ndugu yangu Tundu Lissu ameanza kuleta hoja zinazoweza kuanza kujadilika kama mgombea, tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa ni masimulizi ambayo kwakweli hayakuwa na lolote la kusaidia maamuzi ya mpiga kura.
Pili, Jana nilifuatilia hotuba yake iliyokosoa masuala kadhaa ambayo nimeona si busara ayatumie kupotosha Watanzania kufanya maamuzi katika misingi ya upotoshaji.
Ili kurahisisha, nimepanga mawazo yangu katika mafungu
1. Lissu anasema Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mwaka huu 2020 kuhusu urahisi wa kufanya Biashara( Easy of Doing Business Report 2020) imeishusha Tanzania kutokana na utawala wa JPM.
2. Asichokijua Lissu na wenzake wanaotumia hoja hiyo ni kwamba tayari Benki hiyo hiyo ya dunia (WB), katika taarifa yake ya tarehe ya juzi Agosti 27,2020, imeifuta tathimini hiyo ya Mwaka 2020 na ile ya 2018.
3. Benki ya Dunia imeleza wazi kuwa tathimini hizo zilikuwa na kasoro nyingi za kiuweledi na hivyo kukosa uhalisia.
Hii itoshe tu kusema LISSU ni mwongo wa Karne apuuzwe asiaminiwe wala asipewe kura ".
Rais ni Mzanzibari ni kweli,✓
Sasa naomba kujibiwa haya maswali yangu saba (7) na wanaodhani wao si Wanzibar akiwemo Mhe Tundu Lissu.
1. Je ? Reli hii mpya ya SGR kutoka Dar mpaka Singida kwa Lissu si ni huyu Mama anayekesha akiomba omba pesa "Yalayala" huko World Bank,!! Hivi siku akistaafu na kurudi Zanzibar atakwenda na SGR?
2. Je? SG baada ya kutoa hizo 2,100MG nazo zimemaliza kabisa tatizo la mgao wa Umeme Zanzibar? Mbona hamsemi aliyemaliza tatizo la Umeme ni Mzanzibar?
3. Je, Vituo vya Afya na Zahanati zaidi ya 470 alizojenga ziko Zanzibar? Wanatibiwa watoto na akina mama wa Zanzibar?
4. Je, Mabarabara haya yote yanayojengwa Kila kona nayo yako Zanzibar?
5. Je, hizi TZS 600Bil alizoongeza kwa ajili ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kwaajili ya watoto wa Wazanzibar?
6. Je, Hii Elimu Bure kutoka chekechea mpaka kidato Cha Sita wanaosoma ni Wazanzibar?
7. Je, hii demokrasia mnavyoandamana tena kwenye lami na makofia yenu kama migambo nyie ni Wazanzibar?
====