USTADH ARABI SAIDI
Senior Member
- May 2, 2014
- 127
- 85
- Thread starter
- #21
Hatuna mkuu
Hatuna mkuu
Zipo, tunaomba power za vifaa vyako na unahitaji viwashe kwa masaa mangapi kwa siku?Solar system kubwa zaidi ya kuwasha kila kitu nyumba nzima mnazo? Na mnauzaje?.
Je hybrid solar mnaleta pia
Nataka nifunge solar itakayowasha refrigerator, a/c na TV yaani kila kitu
Shukurani sana mkuu, tumewasiliana na tumepeana Elimuwatts 400 na hilo battery ilirun nyumba nzima usiku kucha kama miezi mitatu alafu ikaanza kuzingua. Ni taa tuu za nje kama 8 za wat 3 na maramoja moja masaa kama matano tv.
Pamojashukran mkuu nitafanyia kazi ushauri wako umenifumbua saana katatizo kalikuwa kanajitokeza mara kwa mara
Karibu sana...Huu Uzi ni wa kuufuatilia maana mwakani Nina uhitaji navyo.
Kama ni Solar Cctv Cameras bei yake ni Tsh 650,000/= inakuwa fully kama unavyoona kwenye picha hapo chiniMfumo wa CCTV camera bei gani mkuu!?
Mkuu, Fridge yako ina Watts ngapi na unahitaji iwake kwa masaa mangapi kwa siku?Size ipi ya battery na pannel naweza kuwashia fridge?
Mkuu battery hapo ni Ah(N) ngapi kila moja na Solar Panels hapo ni Watts ngapi kila moja?INVERTER 5000W,,
BATTERY 4pcs
SOLAR 16pcs
DC CABLE
L/CHARGE
Mkuuu Kwa vifaa hivyo inaweza garimu kias gn?
Mzeee wangu Mimi sio mtaalam sana isipokuwa hivyo vitu nimeandikiwa na fundi wangu Kwa lengo la kupata umeme Watt 3000/5000,, kwahyo kwenye betri inabidi betri havy duty na pamoja na solar panels kwahy pigia panel yenye uwezo na betri yenye uwezo nimekuchk wasap nimeona kimyaMkuu battery hapo ni Ah(N) ngapi kila moja na Solar Panels hapo ni Watts ngapi kila moja?
Whatssap 0756403470
Kupiga simu 0685 779 911
Nitajie hapo tutiririke hapa hapa Mkuu
Kama Fridge yako ina 240Watts na unahitaji mfano uwashe kwa siku masaa 6 basi System hii itakufaa..Size ipi ya battery na pannel naweza kuwashia fridge?
Hapo nimekuelewa sasa ngoja nikupangie mkuu..subiri kama dakika chache nitakuwekea mkeka wakoMzeee wangu Mimi sio mtaalam sana isipokuwa hivyo vitu nimeandikiwa na fundi wangu Kwa lengo la kupata umeme Watt 3000/5000,, kwahyo kwenye betri inabidi betri havy duty na pamoja na solar panels kwahy pigia panel yenye uwezo na betri yenye uwezo nimekuchk wasap nimeona kimya
Kwasasa ofisini kwetu tuna TV size 19" bei ni 150,000/= tu. (Double screen)Tv za solar inch 32 smart double screen
bei gan ?
Mimi nimeuliza swali kwa wewe muuzaji na wewe unanipiga maswali tena mkuu vipi?Zipo, tunaomba power za vifaa vyako na unahitaji viwashe kwa masaa mangapi kwa siku?
Whatssap 0756403470
Kupiga simu 0685 779 911