ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,688
- 50,479
Maneno mengine mtatia wenyewe ila nimefikisha ujumbe na mjumbe hauwawi 👇👇
==
Alichokisema: Kujiunga ndani ya chama cha mapinduzi, haujamsaliti Mungu. Wote ambao hawana kadi za CCM wamemsaliti Mungu. Haiwezekani umezaliwa Tanzania, kwasababu nataka kuwaambia kuzaliwa mchaga huchagui, kuzaliwa mpare huchagui, kuzaliwa Tanzania huchagui, vyote hivyo unavikuta. Lakini wakati unavikuta unakuta Mungu naye kashaweka utaratibu wake, tokea tumepata uhuru mwaka 1961. Yaani wote hapa tumezaliwa baada ya uhuru, tumekuta CCM iko madarakani. Na biblia inasema mamlaka zote mtakazozikuta duniani zimewekwa na nani? (Mungu, wameitikia). Halafu mzitii kwa sababu zimewekwa na Mungu.
Sasa nakushangaa umezaliwa tena bahati nzuri umezaliwa mndengereko, halafu umezaliwa Tanzania, Arusha halafu unakutana na mbunge ni mwanaCCM, Diwani CCM, Mwenyekiti wa Mtaa CCM, halafu wewe unajiita upinzani. Si umemgeuka Mungu, wakikuita Yuda kuna ubaya?. Kwasababu Mungu ndio kaweka hizi mamlaka na kwa bahati nzuri mamlaka zinatoka CCM. Yeyote yule ambaye hana kadi ya CCM kwa Tanzania hii kamsaliti Mungu bila kujua.
My Take
Aache mzaha na M/Mungu,akamuulize Jiwe Kiongozi wa Malaika ambae wafuasi wake wanaoteseka Hadi kesho hawataki kukubari kwamba kumbe na Jiwe Huwa linakufa.
Alichokisema: Kujiunga ndani ya chama cha mapinduzi, haujamsaliti Mungu. Wote ambao hawana kadi za CCM wamemsaliti Mungu. Haiwezekani umezaliwa Tanzania, kwasababu nataka kuwaambia kuzaliwa mchaga huchagui, kuzaliwa mpare huchagui, kuzaliwa Tanzania huchagui, vyote hivyo unavikuta. Lakini wakati unavikuta unakuta Mungu naye kashaweka utaratibu wake, tokea tumepata uhuru mwaka 1961. Yaani wote hapa tumezaliwa baada ya uhuru, tumekuta CCM iko madarakani. Na biblia inasema mamlaka zote mtakazozikuta duniani zimewekwa na nani? (Mungu, wameitikia). Halafu mzitii kwa sababu zimewekwa na Mungu.
Sasa nakushangaa umezaliwa tena bahati nzuri umezaliwa mndengereko, halafu umezaliwa Tanzania, Arusha halafu unakutana na mbunge ni mwanaCCM, Diwani CCM, Mwenyekiti wa Mtaa CCM, halafu wewe unajiita upinzani. Si umemgeuka Mungu, wakikuita Yuda kuna ubaya?. Kwasababu Mungu ndio kaweka hizi mamlaka na kwa bahati nzuri mamlaka zinatoka CCM. Yeyote yule ambaye hana kadi ya CCM kwa Tanzania hii kamsaliti Mungu bila kujua.
My Take
Aache mzaha na M/Mungu,akamuulize Jiwe Kiongozi wa Malaika ambae wafuasi wake wanaoteseka Hadi kesho hawataki kukubari kwamba kumbe na Jiwe Huwa linakufa.