GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,134
- 110,489
Eti ili Mwanaume uwe vizuri na Nguvu za Kiume ziwe nyingi unatakiwa kutafuta Boga kisha unaweka Mafuta ya Kupikia uncchanganya na Vitunguu na wakati ukiwa Unavikaanga unachanganyia na Maziwa ya Mtindi humo humo na ikikaribia Kuiva ukakatiakata na Bamia kisha unapakuwa na kula.
Sikilizeni nyie Wataalam wa Lishe ni hivi, tumeshawachokeni kwakweli kwa sasa na hizi Elimu zenu za Bahati Nasibu Uongo Kunoga mnazotoa kwetu wanaume kila siku.
Kudadadeki GENTAMYCINE Mseto wangu Tukuka mbele ya Mbunye yoyote iliyoko mbele yangu ni ule ule tu wa enzi zetu wa kunywa maji mengi, kupata muda wa kutosha wa kupumzika, kula ndizi mbivu, mtindi huku nikitafuna ama karanga au Muhogo mbichi na nikihakikisha mfukoni na katika akaunti zangu ni hela za kutosha.
Wapuuzi wakubwa nyie. Leo nimeamua kuwatoleeni huu Uvivu. Boga, Kitunguu, Maziwa na Mrindi na Bamia wapi na wapi? Hivi nyie mnajua kuna siku mtakuja kusababisha wanaume wale Mseto wa sumu kwa ajili ya huu Uwongo na Utapeli wenu kisha wafe?
Mnapoelekea sasa mtakuja kutuambia tuwe tunachanganya Makohozi yetu na haja ndogo ili nguvu zetu za kiume ziwe juu.
Sikilizeni nyie Wataalam wa Lishe ni hivi, tumeshawachokeni kwakweli kwa sasa na hizi Elimu zenu za Bahati Nasibu Uongo Kunoga mnazotoa kwetu wanaume kila siku.
Kudadadeki GENTAMYCINE Mseto wangu Tukuka mbele ya Mbunye yoyote iliyoko mbele yangu ni ule ule tu wa enzi zetu wa kunywa maji mengi, kupata muda wa kutosha wa kupumzika, kula ndizi mbivu, mtindi huku nikitafuna ama karanga au Muhogo mbichi na nikihakikisha mfukoni na katika akaunti zangu ni hela za kutosha.
Wapuuzi wakubwa nyie. Leo nimeamua kuwatoleeni huu Uvivu. Boga, Kitunguu, Maziwa na Mrindi na Bamia wapi na wapi? Hivi nyie mnajua kuna siku mtakuja kusababisha wanaume wale Mseto wa sumu kwa ajili ya huu Uwongo na Utapeli wenu kisha wafe?
Mnapoelekea sasa mtakuja kutuambia tuwe tunachanganya Makohozi yetu na haja ndogo ili nguvu zetu za kiume ziwe juu.