2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,458
Habari wanajamvi? Natumaini mko salama.
Kama kichwa kisemavyo mwaka jana mwez kama wa 8 nilijiunga na kampuni ya uwekezaji sky investment baada ya kuona uzi huku na pia nikaridhika na njia zao jinsi wanavyofaidika hadi kugawana faida na wawekezaji wengine.
Baada ya kuingia walijiunga watu wengi sana hivyo kampuni ilizidiwa.. Wakawa hawalipi watu wanaomaliza mikataba yao wakidai coin zimeshuka thamani kwaio watu wasubiri watalipwa. Na ajab ni kuwa haukutakiwa kuhoji sana kwani acc yako inaweza kufungwa na ukapata hasara. Kwaio ukiambjwa subiri unatakiwa kuwa mtulivu kweli.
Muda ulisonga kila mtu akawa mpole akitegemea atalipwa lakini cha kushangaza mwishoni mwa mwezi wa 2 sky walifunga account zao zote website, group telegram na channel yao pia.
Kuna watu wametia pesa nyingi sana kule wengine $500 kila mtu aliweka kulingana na uwezo wake.
Sasa ndio hivyo no za waanzilishi bado tunazo na ofisi yao ipo Mwanza, tunazie wapi ili kupata stahiki zetu?, asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa kisemavyo mwaka jana mwez kama wa 8 nilijiunga na kampuni ya uwekezaji sky investment baada ya kuona uzi huku na pia nikaridhika na njia zao jinsi wanavyofaidika hadi kugawana faida na wawekezaji wengine.
Baada ya kuingia walijiunga watu wengi sana hivyo kampuni ilizidiwa.. Wakawa hawalipi watu wanaomaliza mikataba yao wakidai coin zimeshuka thamani kwaio watu wasubiri watalipwa. Na ajab ni kuwa haukutakiwa kuhoji sana kwani acc yako inaweza kufungwa na ukapata hasara. Kwaio ukiambjwa subiri unatakiwa kuwa mtulivu kweli.
Muda ulisonga kila mtu akawa mpole akitegemea atalipwa lakini cha kushangaza mwishoni mwa mwezi wa 2 sky walifunga account zao zote website, group telegram na channel yao pia.
Kuna watu wametia pesa nyingi sana kule wengine $500 kila mtu aliweka kulingana na uwezo wake.
Sasa ndio hivyo no za waanzilishi bado tunazo na ofisi yao ipo Mwanza, tunazie wapi ili kupata stahiki zetu?, asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app