Tume ya uchaguzi iunganishe au ifute pia baadhi ya majimbo ya uchaguzi, sio kuongeza mapya tu

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
38,267
47,482
Ni jambo la busara tume ya uchaguzi ikaangalia na upande wa kupunguza majimbo pia badala ya kuyaongeza tu kila wakati, wajibu wa kugawanya majimbo ina maana ni kuyaongeza na kuyapunguza pia.

Kuna majimbo watu au wapiga kura wanahama na kupungua mfano huko Ngorongoro ambako Wamasi wanahamishwa, majimbo ya huko yanatakiwa kupunguzwa sasa.

Tume ya uchaguzi ingefanya angalau mbunge mmoja awakilishe watu 200,000. Majimbo yenye idadi chini ya watu laki mbili yaunganishwe na majimbo mengine.
 
Naunga mkono hoja hii,nchi yetu ilitakiwa tuwe na mikoa 15 tu,wilaya 50 tu na majimbo ya uchaguzi 200,watanzania wanahitaji services delivered na sio utitiri wa maeneo ya kiutawala,na pia tuache kuzaliana kama simbilisi (Botswana ambayo hatuzidiani sana eneo la nchi,ina watu 3M tu,itawachukua miaka 50 kufikia idadi ya watu tuliokua nao hapa Dar es Salaam)
 
Naunga mkono hoja hii,nchi yetu ilitakiwa tuwe na mikoa 15 tu,wilaya 50 tu na majimbo ya uchaguzi 200,watanzania wanahitaji services delivered na sio utitiri wa maeneo ya kiutawala,na pia tuache kuzaliana kama simbilisi (Botswana ambayo hatuzidiani sana eneo la nchi,ina watu 3M tu,itawachukua miaka 50 kufikia idadi ya watu tuliokua nao hapa Dar es Salaam)
Hata ukibaki mkoa mmoja na majimbo ya uchaguzi yakawa 20 tabu zitazidi kuikumba nchi na wala matatizo hayatapungua.Mikoa inapozidi kuwa mingi inafanya na inarahisisha serikali kuwafikia wananchi wake kirahisi.Mfano Rukwa kipindi cha nyuma ilikuwa wilaya katika mkoa wa Tabora baadaye ikapelekwa Mbeya lakini ilipojitenga na sera za Rukwa Ruka sasa hivi ni mkoa ambao spidi yake inaonekana.Hapo zamani watu wa Sumbawanga walikuwa wanaogopa kujitambulisha maana walionekana ni washamba.Ona sasa kuna usafiri wa barabara kutoka Kanda ya ziwa kwenda Tunduma kupitia Mpanda,Sumbawanga imefanya maisha ya watu wa pande hizo kuwa rahisi.
Geita zamani ilikuwa Mwanza,Chato zamani ilikuwa Muleba lakini baadae ikapelekwa Biharamuro na sasa iko Geita.Huduma za jamii na serikali zinawafikia kirahisi.Tusiwe na wivu na jambo hili sisi tunaoishi mijini maana kuna watu wanapata shida.Tuiunge mkono Serikali kwa kuongeza mikoa,wilaya na majimbo ya uchaguzi maana yanafanya baadhi ya jamii zilizokuwa zimesahaulika kujiona kuwa na wao ni Watanzania.Pendekezo kwangu Mkoa wa Tabora unastahili kugawanywa ili wananchi wafikiwe na huduma kirahisi.
 
Naunga mkono hoja hii,nchi yetu ilitakiwa tuwe na mikoa 15 tu,wilaya 50 tu na majimbo ya uchaguzi 200,watanzania wanahitaji services delivered na sio utitiri wa maeneo ya kiutawala,na pia tuache kuzaliana kama simbilisi (Botswana ambayo hatuzidiani sana eneo la nchi,ina watu 3M tu,itawachukua miaka 50 kufikia idadi ya watu tuliokua nao hapa Dar es Salaam)
Hata ukibaki mkoa mmoja na majimbo ya uchaguzi yakawa 20 tabu zitazidi kuikumba nchi na wala matatizo hayatapungua.Mikoa inapozidi kuwa mingi inafanya na inarahisisha serikali kuwafikia wananchi wake kirahisi.Mfano Rukwa kipindi cha nyuma ilikuwa wilaya katika mkoa wa Tabora baadaye ikapelekwa Mbeya lakini ilipojitenga na sera za Rukwa Ruka sasa hivi ni mkoa ambao spidi yake inaonekana.Hapo zamani watu wa Sumbawanga walikuwa wanaogopa kujitambulisha maana walionekana ni washamba.Ona sasa kuna usafiri wa barabara kutoka Kanda ya ziwa kwenda Tunduma kupitia Mpanda,Sumbawanga imefanya maisha ya watu wa pande hizo kuwa rahisi.
Geita zamani ilikuwa Mwanza,Chato zamani ilikuwa Muleba lakini baadae ikapelekwa Biharamuro na sasa iko Geita.Huduma za jamii na serikali zinawafikia kirahisi.Tusiwe na wivu na jambo hili sisi tunaoishi mijini maana kuna watu wanapata shida.Tuiunge mkono Serikali kwa kuongeza mikoa,wilaya na majimbo ya uchaguzi maana yanafanya baadhi ya jamii zilizokuwa zimesahaulika kujiona kuwa na wao ni Watanzania.Pendekezo kwangu Mkoa wa Tabora unastahili kugawanywa ili wananchi wafikiwe na huduma kirahisi.
 
Tuiunge mkono Serikali kwa kuongeza mikoa,wilaya na majimbo ya uchaguzi maana yanafanya baadhi ya jamii zilizokuwa zimesahaulika kujiona kuwa na wao ni Watanzania.
Lazima kuwe na vigezo thabiti vya kugawanya maeneo ya kiutawala na uongozi zaidi ya kuwafanya jamii fulani zinazojiona zimesahaulika kujisikia vizuri kwa kujiona kuwa na wao ni Watanzania, hiki kitakuwa ni kigezo cha hovyo sana kama ni kweli kinatumika kugawa maeneo ya kiutawala.
 
Hata ukibaki mkoa mmoja na majimbo ya uchaguzi yakawa 20 tabu zitazidi kuikumba nchi na wala matatizo hayatapungua.Mikoa inapozidi kuwa mingi inafanya na inarahisisha serikali kuwafikia wananchi wake kirahisi.Mfano Rukwa kipindi cha nyuma ilikuwa wilaya katika mkoa wa Tabora baadaye ikapelekwa Mbeya lakini ilipojitenga na sera za Rukwa Ruka sasa hivi ni mkoa ambao spidi yake inaonekana.Hapo zamani watu wa Sumbawanga walikuwa wanaogopa kujitambulisha maana walionekana ni washamba.Ona sasa kuna usafiri wa barabara kutoka Kanda ya ziwa kwenda Tunduma kupitia Mpanda,Sumbawanga imefanya maisha ya watu wa pande hizo kuwa rahisi.
Geita zamani ilikuwa Mwanza,Chato zamani ilikuwa Muleba lakini baadae ikapelekwa Biharamuro na sasa iko Geita.Huduma za jamii na serikali zinawafikia kirahisi.Tusiwe na wivu na jambo hili sisi tunaoishi mijini maana kuna watu wanapata shida.Tuiunge mkono Serikali kwa kuongeza mikoa,wilaya na majimbo ya uchaguzi maana yanafanya baadhi ya jamii zilizokuwa zimesahaulika kujiona kuwa na wao ni Watanzania.Pendekezo kwangu Mkoa wa Tabora unastahili kugawanywa ili wananchi wafikiwe na huduma kirahisi.
We have the right to disagree,nitakupa mifano mingi sana hapa hapa SADC,Botswana wana mikoa 5 tu na maendeleo yao ni makubwa mno kwa raia wake;Zambia haizidi 15 na maendeleo yanaonekana hasa awamu hii ya uongozi,Namibia wapo Safi na SA nchi kubwa mno wana mikoa 9 tu na wapo juu kimaendeleo,umechangia zaidi kisiasa na sio kiuchumi na elewa poor of the poorest wanahitaji huduma bora
 
Lazima kuwe na vigezo thabiti vya kugawanya maeneo ya kiutawala na uongozi zaidi ya kuwafanya jamii fulani zinazojiona zimesahaulika kujisikia vizuri kwa kujiona kuwa na wao ni Watanzania, hiki kitakuwa ni kigezo cha hovyo sana kama ni kweli kinatumika kugawa maeneo ya kiutawala.
Wewe unakula bata mjini na kila huduma unapata,hivi pengine upo ofisini na kiyoyozi kikubwa.Unaona wivu watu wengine waishi kama wewe.Hapo zamani watu wa Kigoma,Tabora,Mpanda,Sumbawanga,Geita,Bukoba nk walikuwa wanamaliza wiki kufika Dar es Salaam mji mkuu wa Tanzania leo ni siku moja au mbili kwa sababu mikoa imeongezwa na mawasiliano baina ya mkoa na mkoa ni rahisi sana.Tanzania ni ya wote vigezo ni vya wasomi kama wewe wanaoamini katika data.
 
Dar es Salaam ni kweli tunahitaji majimbo 6 ya kiuchaguzi?kwangu ilitakiwa tubakie na 3 tu,muda na fedha tutakazo okoa zitumike kuleta maendeleo chanya,why hadi leo jiji letu ile under ground drainage systems imekufa,tuliozaliwa kipindi nchi Ina heshima na adabu ile mitaa ya kinondoni A ilikua kama mitaa ya pale Manchester city,safi,street lights safi,playing grounds kwa watoto zipo (hii imemezwa na soko na uchafu mwingine pale)ona sasa mitaa inajifunga yenyewe kwa uchafu na ubadhilifu mwingi na mbunge yupo ,DC,afisa mipango yupo,afisa afya yupo ..ni craze
 
Kwa ukuaji wa TEHAMA na uboreshaji wa miundombinu nashauri kila Mkoa uwe na majimbo ya uchaguzi kulingana na idadi ya Wilaya zake.
Kote duniani wanakojielewa majimbo ya uchaguzi huwa yanagawanywa kulingana na idadi ya watu, sio jiografia tu.
 
Raia wa Kigoma anatoka Kigoma kwenda Dodoma yalipo makao makuu ya nchi kutatuliwa shida zipi??
Nairobi ni makao makuu ya serikali ya Kenya na iko huko pembezoni mwa nchi, vivyo hivyo kwa Kampala, Luanda, Accra, Cairo, Washington, Moscow, Paris, n.k
Wewe unakula bata mjini na kila huduma unapata,hivi pengine upo ofisini na kiyoyozi kikubwa.Unaona wivu watu wengine waishi kama wewe.Hapo zamani watu wa Kigoma,Tabora,Mpanda,Sumbawanga,Geita,Bukoba nk walikuwa wanamaliza wiki kufika Dar es Salaam mji mkuu wa Tanzania leo ni siku moja au mbili kwa sababu mikoa imeongezwa na mawasiliano baina ya mkoa na mkoa ni rahisi sana.Tanzania ni ya wote vigezo ni vya wasomi kama wewe wanaoamini katika data.
 
We have the right to disagree,nitakupa mifano mingi sana hapa hapa SADC,Botswana wana mikoa 5 tu na maendeleo yao ni makubwa mno kwa raia wake;Zambia haizidi 15 na maendeleo yanaonekana hasa awamu hii ya uongozi,Namibia wapo Safi na SA nchi kubwa mno wana mikoa 9 tu na wapo juu kimaendeleo,umechangia zaidi kisiasa na sio kiuchumi na elewa poor of the poorest wanahitaji huduma bora
Zambia wana shida sana kuliko unavyofikiria.Mimi nimeishi huko najua mazingira yao.Botswana ni nchi ndogo Geographically kuliko Tanzania.SA na Namibia Colonial legacy zinawalinda maana nchi zao zilichelewa kupata uhuru na miundo mbinu mingi kwao ni ya kikoloni.
Mbona Uganda ina mikoa michache lakini bado ni nchi maskini?DRC ina majimbo machache na ina utajiri wa rasilimali za kila namna lakini ni nchi maskini pia.
 
Zambia wana shida sana kuliko unavyofikiria.Mimi nimeishi huko najua mazingira yao.Botswana ni nchi ndogo Geographically kuliko Tanzania.SA na Namibia Colonial legacy zinawalinda maana nchi zao zilichelewa kupata uhuru na miundo mbinu mingi kwao ni ya kikoloni.
Mbona Uganda ina mikoa michache lakini bado ni nchi maskini?DRC ina majimbo machache na ina utajiri wa rasilimali za kila namna lakini ni nchi maskini pia.
Uganda haina mikoa, ina wilaya ambazo ni nyingi kuliko Tanzania, pia ina bunge kubwa kuliko la Tanzania ambapo hadi wanajeshi kutoka jeshini wanateuliwa kama wabunge wa jeshi, na hii yote zingatia kwamba nchi yao ni ndogo hata kuliko Tanzania, ni kama robo tu kwa Tanzania.
 
Uganda haina mikoa, ina wilaya ambazo ni nyingi kuliko Tanzania, pia ina bunge kubwa kuliko la Tanzania ambapo hadi wanajeshi kutoka bungeni wanateuliwa kama wabunge wa jeshi, na hii yote zingatia kwamba nchi yao ni ndogo hata kuliko Tanzania, ni kama robo tu kwa Tanzania.
Sawa mkuu
 
Tume ya uchaguzi ingefanya angalau mbunge mmoja awakilishe watu 200,000. Majimbo yenye idadi chini ya watu laki mbili yaunganishwe na majimbo mengine.
Una hoja ya msingi. Majimbo yanatakiwa kuangaliwa upya kila baada ya matokeo ya sensa kutangazwa.

Zanzibar kwenye bunge la muungano wasiwe na majimbo zaidi ya matano. Kwenye baraza lao la wawakilishi wakitaka wawe na majimbo hata 200, it's their business.

Sijui kwanini ile tume ya warioba ilishindwa kuona mambo ya msingi kama haya!
 
Back
Top Bottom