Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 2,693
- 5,223
Naomba ufungue PM tuongee Ri ri ๐๐โค Thank you, Merry Christmas kwako pia rfk
Naomba ufungue PM tuongee Ri ri ๐๐โค Thank you, Merry Christmas kwako pia rfk
1.To yeyeHERI YA SIKUKUU YA KRISMAS WADAU,
Uzi huu ni wa kutuma salamu za krismas kwa Wadau wawili hapa jamvini, haijalishi dini, dhehebu, wala kabila lake...
Malizia na ujumbe "Nampenda Sana"
Mimi naanza kutuma salamu kwa Mtu wangu wa karibu Heaven Sent pamoja na Mohamed Said
Ujumbe : Nawapenda sana
Kwako pia..
Aposto kuna muujiza hapaGono limefikaje kwenye Christmas Tena wakuu?
Huu uzi utakavyowabadilikiaAposto kuna muujiza hapa
Kuna gono sugu limepona na mambo yanakwenda vyedi.
Njaa ni mbaya sana.
Depal
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Tanzania pekeyake mgonjwa wa ukimwi anapona.H
Huu uzi utakavyowabadilikia
Mtafungua gift za ban leo ๐๐
NB: Serikali inatakiwa kupewa tips on how to cure HIV and AIDS.
๐ bado hamjasemaNi Tanzania pekeyake mgonjwa wa ukimwi anapona.
Itabidi waisaidie dunia sasa.
Ni kichaa pekeyake anaweza kurudi lilipo gono sugu.
2023 mwaka wa maajabu sana.
NakaziaH
Huu uzi utakavyowabadilikia
Mtafungua gift za ban leo ๐๐
NB: Serikali inatakiwa kupewa tips on how to cure HIV and AIDS.
Na mimi nilikuwa nasubiria kutoka kwako , nikahisi utanisababishia hata muamala wa soda nikaona kimya kakaThanks sister, japo mli ninyima hata Picha za pilau
ipo wazi mbonaNaomba ufungue PM tuongee Ri ri ๐
Nani amepona gono sugu? Apande madhabauni tusikie ushuhuda wake. ๐ ๐ ๐Aposto kuna muujiza hapa
Kuna gono sugu limepona na mambo yanakwenda vyedi,majeshi yamerudi.
Njaa ni mbaya sana.
Depal
Sent using Jamii Forums mobile app
Huendi mbinguni we kijana๐คฃ๐คฃNani amepona gono sugu? Apande madhabauni tusikie ushuhuda wake. ๐ ๐ ๐
Na mbona umemtag D? Au ndio huyo?
Naona mnanichanganya tu. Ghafla boxing day mnaanza kutoa ushuhuda wa gono. Hebu elezeeni kwa uwazi. Au ni wewe?๐Huendi mbinguni we kijana๐คฃ๐คฃ
Kuna watu wamepona gono sugu na Ukimwi.Naona mnanichanganya tu. Ghafla boxing day mnaanza kutoa ushuhuda wa gono. Hebu elezeeni kwa uwazi. Au ni wewe?๐
Kwani aposto huna habari?Nani amepona gono sugu? Apande madhabauni tusikie ushuhuda wake. ๐ ๐ ๐
Na mbona umemtag D? Au ndio huyo?
Kama ni hivyo unapigana vita ambayo tayari umesha shindwa na huyo unaye Jaribu kumpigania Alisha sema yeye hspiganiwi. Huwa anajipigania yeye mwenyewe. So preserve your energy to walk towards the promised land ( Canaan). Other wise 'utafika ukiwa taaban'.Sihangaiki na wapagani,
Lakini wanaojiita wakristo wa kuigiza, hao ni halali yangu.
Pia ujue Si wote wanajua Kweli kuwa Yale ni masanamu na mafundisho ya Uongo.
ELIMU lazima, maonyo na makaripio!!
Naona nimeingia kwenye mtumbwi wa vibwengo. Sielewi kabisa code zenu ๐ ๐Kuna watu wamepona gono sugu na Ukimwi.
Kumbe ugonjwa unatibika na watu hawasemi wanaacha wenzao wanateseka, watu wasiri sana.