Tuliomuona Guede ni Garasa tukutane tunamuomba Radhi na pia tukawawambe Makofi waliotumwa Wachovu Fred na Job

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Kwa Mechi zangu Tatu tu nilizotulia na Kumtizama Kiufundi Guede nimelazimika kuuweka pembeni Usimba wangu na Kubakia Mwanamichezo na Mchambuzi kwa kusema kuwa hakika Yanga SC wamepata Mshambuliaji wa uhakika ambaye Natabiri atakuja kuwasaidia mno.

Receiving yake, Positioning yake, Anticipation yake, Striking Concentration yake, Passing and Dribbling ability yake, Pace and Sprinting level yake, Striking Intelligence yake, Indurance yake, Body yake, Football Intelligence yake na Fitness yake inanilazimu leo GENTAMYCINE kuwapongeza tena Scouts wa Yanga SC na kuwapigia Salute kwani wameendelea kuonyesha kuwa Yanga SC wanamaanisha na watafika mbali kuliko Kwingineko ambako wanatusajilia Michezaji mibovu na ambayo mingine ikiwa inakimbia utadhani Inaharisha au inataka Kuukweka / Kunya ( Fred ) na Mwingine akiwa anakimbiakimbia tu hovyo Uwanjani ( Job ) kama yule Mwendawazimu wa Ilala Shariff Shamba aitwae Boss Niga.

Kama Mwenyezi Mungu anasikia Dua yangu GENTAMYCINE basi namuomba sana Mechi ya mzunguko wa Pili ya Sisi Simba SC na Yanga SC katika Ligi Kuu ya NBC afanye kila awezalo ili huyu Mshambuliaji mpya wa Yanga SC Guede niliyeugundua Uhatari wake Kiufundi awe anaumwa Malaria Kali au apate Kipindupindu ghafla na asicheze kwani kwa nilivyomuona na aina ya Mabeki wa Simba SC walivyo naiona Hat Trick mguuni mwake huku Pacome akiendelea Kutakata kwa Kutusumbua katikati ya Uwanja hadi tukome.

Hivi ukiwa na Akili timamu kweli unaweza Kuwaacha Leading Strikers wako Wawili Baleke na Phiri na ukafanya Gamble ( Bahati Nasibu ) ya kuja na Washambuliaji wapya Wawili? Kwanini asingeachwa Mmoja tu ili abakie Mkongwe mmoja wa kuja Kusaidiana na huyu Mgeni?

Tatizo Kubwa la Simba SC yangu ni Viongozi Waandamizi na Watendaji wa Kamati ya Usajili kupenda mno 10% huku Mwekezaji wetu nae pamoja na kuwa Tajiri ila ni kama vile Kilevi cha Copa Cabana ( Grade One ) kutoka Brazil anachokitumia kwa Siri sana Kinamdatisha Kichwa na kuonekana kama Mpuuzi fulani vile na Tajiri Bwege Bwege.

Yanga SC watatuzidi kila Idara hadi tukome na tujue kuwa Simba SC ya sasa haina Viongozi bali ina Wahuni, Matapeli na Wapigaji Waandamizi.

Fred na Job hakuna Kitu tumepigwa. Kwanini Baleke na Phiri waliachwa Wote na Mmoja hakubakishwa Kikosini?
 
Unahoja....but baleke alipaswa kuondoka huku akiwa anachapwa bakora nyingi Kwa utoto aliokuwa anaufanya Simba....

PHIRI angevumiliwa pengine angekuwa njia Kwa wapya...

Kingine hao wote wawili waliachwa kutoa nnafasi ya kusajiliwa hao wawili wapya..

Na dirisha kubwa Kramo ataachwa asajiliwe mayele
 
Hakika umenena vyema kabsa No 9 letu litu miguu kama spoko za baiskeli unategemea nini hapa
GHMA0snXAAI7w3B.jpeg
 
Unahoja....but baleke alipaswa kuondoka huku akiwa anachapwa bakora nyingi Kwa utoto aliokuwa anaufanya Simba....

PHIRI angevumiliwa pengine angekuwa njia Kwa wapya...

Kingine hao wote wawili waliachwa kutoa nnafasi ya kusajiliwa hao wawili wapya..

Na dirisha kubwa Kramo ataachwa asajiliwe mayele
Mayele inasemwa Azam FC wameishamalizana naye. Ni suala la muda tu ataungana na akina Bajana, Akaminko, Gibril Silla, Prince Dube, Selemani Sopu, Yannick Bangala, Iddi Nado na wakali wengineo hapo Azam. Simba watateseka sana kwa Azam FC msimu ujao.
 
Kwa Mechi zangu Tatu tu nilizotulia na Kumtizama Kiufundi Guede nimelazimika kuuweka pembeni Usimba wangu na Kubakia Mwanamichezo na Mchambuzi kwa kusema kuwa hakika Yanga SC wamepata Mshambuliaji wa uhakika ambaye Natabiri atakuja kuwasaidia mno.

Receiving yake, Positioning yake, Anticipation yake, Striking Concentration yake, Passing and Dribbling ability yake, Pace and Sprinting level yake, Striking Intelligence yake, Indurance yake, Body yake, Football Intelligence yake na Fitness yake inanilazimu leo GENTAMYCINE kuwapongeza tena Scouts wa Yanga SC na kuwapigia Salute kwani wameendelea kuonyesha kuwa Yanga SC wanamaanisha na watafika mbali kuliko Kwingineko ambako wanatusajilia Michezaji mibovu na ambayo mingine ikiwa inakimbia utadhani Inaharisha au inataka Kuukweka / Kunya ( Fred ) na Mwingine akiwa anakimbiakimbia tu hovyo Uwanjani ( Job ) kama yule Mwendawazimu wa Ilala Shariff Shamba aitwae Boss Niga.

Kama Mwenyezi Mungu anasikia Dua yangu GENTAMYCINE basi namuomba sana Mechi ya mzunguko wa Pili ya Sisi Simba SC na Yanga SC katika Ligi Kuu ya NBC afanye kila awezalo ili huyu Mshambuliaji mpya wa Yanga SC Guede niliyeugundua Uhatari wake Kiufundi awe anaumwa Malaria Kali au apate Kipindupindu ghafla na asicheze kwani kwa nilivyomuona na aina ya Mabeki wa Simba SC walivyo naiona Hat Trick mguuni mwake huku Pacome akiendelea Kutakata kwa Kutusumbua katikati ya Uwanja hadi tukome.

Hivi ukiwa na Akili timamu kweli unaweza Kuwaacha Leading Strikers wako Wawili Baleke na Phiri na ukafanya Gamble ( Bahati Nasibu ) ya kuja na Washambuliaji wapya Wawili? Kwanini asingeachwa Mmoja tu ili abakie Mkongwe mmoja wa kuja Kusaidiana na huyu Mgeni?

Tatizo Kubwa la Simba SC yangu ni Viongozi Waandamizi na Watendaji wa Kamati ya Usajili kupenda mno 10% huku Mwekezaji wetu nae pamoja na kuwa Tajiri ila ni kama vile Kilevi cha Copa Cabana ( Grade One ) kutoka Brazil anachokitumia kwa Siri sana Kinamdatisha Kichwa na kuonekana kama Mpuuzi fulani vile na Tajiri Bwege Bwege.

Yanga SC watatuzidi kila Idara hadi tukome na tujue kuwa Simba SC ya sasa haina Viongozi bali ina Wahuni, Matapeli na Wapigaji Waandamizi.

Fred na Job hakuna Kitu tumepigwa. Kwanini Baleke na Phiri waliachwa Wote na Mmoja hakubakishwa Kikosini?
Shemeji mm ni yanga lakini wakati Simba inamwacha baleke na phiri sijui ni uenda wazimu gani uliwaingia viongozi wa Simba yaani baleke alikuwa aongezewe tu mtu wakumlisha. Ndo hivyo Tena. Kila la heri Leo shemeji naiman mtaingia robo final mungu awatangulie
 
Kwa Mechi zangu Tatu tu nilizotulia na Kumtizama Kiufundi Guede nimelazimika kuuweka pembeni Usimba wangu na Kubakia Mwanamichezo na Mchambuzi kwa kusema kuwa hakika Yanga SC wamepata Mshambuliaji wa uhakika ambaye Natabiri atakuja kuwasaidia mno.

Receiving yake, Positioning yake, Anticipation yake, Striking Concentration yake, Passing and Dribbling ability yake, Pace and Sprinting level yake, Striking Intelligence yake, Indurance yake, Body yake, Football Intelligence yake na Fitness yake inanilazimu leo GENTAMYCINE kuwapongeza tena Scouts wa Yanga SC na kuwapigia Salute kwani wameendelea kuonyesha kuwa Yanga SC wanamaanisha na watafika mbali kuliko Kwingineko ambako wanatusajilia Michezaji mibovu na ambayo mingine ikiwa inakimbia utadhani Inaharisha au inataka Kuukweka / Kunya ( Fred ) na Mwingine akiwa anakimbiakimbia tu hovyo Uwanjani ( Job ) kama yule Mwendawazimu wa Ilala Shariff Shamba aitwae Boss Niga.

Kama Mwenyezi Mungu anasikia Dua yangu GENTAMYCINE basi namuomba sana Mechi ya mzunguko wa Pili ya Sisi Simba SC na Yanga SC katika Ligi Kuu ya NBC afanye kila awezalo ili huyu Mshambuliaji mpya wa Yanga SC Guede niliyeugundua Uhatari wake Kiufundi awe anaumwa Malaria Kali au apate Kipindupindu ghafla na asicheze kwani kwa nilivyomuona na aina ya Mabeki wa Simba SC walivyo naiona Hat Trick mguuni mwake huku Pacome akiendelea Kutakata kwa Kutusumbua katikati ya Uwanja hadi tukome.

Hivi ukiwa na Akili timamu kweli unaweza Kuwaacha Leading Strikers wako Wawili Baleke na Phiri na ukafanya Gamble ( Bahati Nasibu ) ya kuja na Washambuliaji wapya Wawili? Kwanini asingeachwa Mmoja tu ili abakie Mkongwe mmoja wa kuja Kusaidiana na huyu Mgeni?

Tatizo Kubwa la Simba SC yangu ni Viongozi Waandamizi na Watendaji wa Kamati ya Usajili kupenda mno 10% huku Mwekezaji wetu nae pamoja na kuwa Tajiri ila ni kama vile Kilevi cha Copa Cabana ( Grade One ) kutoka Brazil anachokitumia kwa Siri sana Kinamdatisha Kichwa na kuonekana kama Mpuuzi fulani vile na Tajiri Bwege Bwege.

Yanga SC watatuzidi kila Idara hadi tukome na tujue kuwa Simba SC ya sasa haina Viongozi bali ina Wahuni, Matapeli na Wapigaji Waandamizi.

Fred na Job hakuna Kitu tumepigwa. Kwanini Baleke na Phiri waliachwa Wote na Mmoja hakubakishwa Kikosini?
hahahahahahha!eti tajiri bwege bwege!
 
Shemeji mm ni yanga lakini wakati Simba inamwacha baleke na phiri sijui ni uenda wazimu gani uliwaingia viongozi wa Simba yaani baleke alikuwa aongezewe tu mtu wakumlisha. Ndo hivyo Tena. Kila la heri Leo shemeji naiman mtaingia robo final mungu awatangulie
Shemeji ina maana Umeniolea Dada yangu wa Kabila langu Tukuka la Wazanaki au? Naomba ufafanuzi tafadhali juu ya Wewe kuniita Shemeji hapa.
 
Aliyenizaa ni kawaida ila kwa jinsia yako hiyo ni aibu na unavyojinasibu hapa jukwaani kumbe kijana unavaa jeans zipu iko nyuma!
Mama yako alikuwa anaulizia namba yangu ya Simu je, Wewe kama Mwanae Zombie uko tayari nimpe ili nimalize kabisa Jukumu / Shughuli?
 
Back
Top Bottom