Tukatae Wakenya kusafiria passport zetu nchi za SADC

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,413
Ujinga mwingine huo, eti wakenya wapewe passport za Tanzania ili kuweza kusafiria nchi za SADC kirahisi.

Tukatae kwa nguvu zote na kama Rais wetu akikubaliana na huo ujinga tuhakikishe tunakataa kwa nia moja na kwa umoja.

Hiyo ni mojawapo ya ajenda zitakazojadiliwa na wafanyabiashara wa Kenya na Rais wetu.

Tunarudi kulekule tulikotoka ndugu zangu, tunapiga hatua moja mbele tunarudi hatua tatu nyuma.
 
ongeza nyama hapa.

Tatizo ni nini ikiwa hivyo?
Tumepenyezewa hiyo ni moja ya ajenda kujadiliwa, wanataka wakenya waishio tanzania kupewa passport za Tanzania ili iwe easy ku access sadc countries,huo ni ushenzi na upumbavu wa Wakenya, nashauri tusiruhusu ukaribu sana na hawa jamaa.
 
Tumepenyezewa hiyo ni moja ya ajenda kujadiliwa,wanataka wakenya waishio Tanzania kupewa passport za tanzania ili iwe easy ku access sadc countries,huo ni ushenzi na upumbavu wa wakenya,nashauri tusiruhusu ukaribu sana na hawa jamaa.
Swali kidogo, Kenya sio sehemu ya SADC? Kama jibu ni SIYO, kwa nini hawasafiri huru ndani ya SADC?
 
Umepanic xnaa... Ebu tueleze na mazara yake ili wote tupanic kama ww
 
tumepenyezewa hiyo ni moja ya ajenda kujadiliwa,wanataka wakenya waishio tanzania kupewa passport za tanzania ili iwe easy ku access sadc countries,huo ni ushenzi na upumbavu wa wakenya,nashauri tusiruhusu ukaribu sana na hawa jamaa
sawa nimekuelewa ila weka sababu ya hoja yako hii.
 
Back
Top Bottom