TRA wanahujumu DHL,TNT, FEDEX?

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,446
Nina doc.za kutoa mizigo zimekwama Airport toka tar.10/02/2014 zipo airport nimehangaika DHL, TNT na FEDEX wanasema TRA wanakagua haingii akili bahasha yenye BL ikaguliwe wiki nzima na tena wiki inayo fuata kila nikiangalia kwenye mtandao naona Clearance event toka j3 mpaka leo kweli? Serikali ipo serious au mnataka kuyaua haya makampuni ya kusafirisha doc na vifurushi?
 
Nina doc.za kutoa mizigo zimekwama Airport toka tar.10/02/2014 zipo airport nimehangaika DHL, TNT na FEDEX wanasema TRA wanakagua haingii akili bahasha yenye BL ikaguliwe wiki nzima na tena wiki inayo fuata kila nikiangalia kwenye mtandao naona Clearance event toka j3 mpaka leo kweli? Serikali ipo serious au mnataka kuyaua haya makampuni ya kusafirisha doc na vifurushi?

TRA bila kutoa rushwa hujapata mizigo. Kikwete amebariki rushwa, amebariki wizi, na sasa amewabariki ccm kuua raia
 
Mkuu Storage imesha anza yaani hawa TRA wanakula na wenye bandari kavu akina TRH

Pole mpwa halafu tunasema kodi haitoshi huki wanaharibu mfumo wa kukusanya kodi na urasimu usio na sababu..ni kuweka mazingira ya rushwa
 
Pole mpwa halafu tunasema kodi haitoshi huki wanaharibu mfumo wa kukusanya kodi na urasimu usio na sababu..ni kuweka mazingira ya rushwa

Nchi hii haishi vituko nimeuliza wafanyakazi wa DHL wameniambia TRA wanafanya kazi kama wanalazimishwa.
 
Yuko yanki mmoja pale DHL airport wa kazitamu sorry customs. huyu dogo ni balaa. hata kama mzigo sio wa kukagua yaani BL ataukagua kwa siku tatu. mbona Kenya au hata Somalia sio hivi ? ni elimu ndogo au uroho wa rushwa. Nitataja majina ya viafisa vya TRA AIRPORT ambao ni vinara wa rushwa. na compile listi yao na namba na aina za magari yao na mishahara yao. TUMECHOSHWA NA RUSHWA KAZITAMU sorry CUSTOMS
 
Yuko yanki mmoja pale DHL airport wa kazitamu sorry customs. huyu dogo ni balaa. hata kama mzigo sio wa kukagua yaani BL ataukagua kwa siku tatu. mbona Kenya au hata Somalia sio hivi ? ni elimu ndogo au uroho wa rushwa. Nitataja majina ya viafisa vya TRA AIRPORT ambao ni vinara wa rushwa. na compile listi yao na namba na aina za magari yao na mishahara yao. TUMECHOSHWA NA RUSHWA KAZITAMU sorry CUSTOMS

Way to gooo
 
Yuko yanki mmoja pale DHL airport wa kazitamu sorry customs. huyu dogo ni balaa. hata kama mzigo sio wa kukagua yaani BL ataukagua kwa siku tatu. mbona Kenya au hata Somalia sio hivi ? ni elimu ndogo au uroho wa rushwa. Nitataja majina ya viafisa vya TRA AIRPORT ambao ni vinara wa rushwa. na compile listi yao na namba na aina za magari yao na mishahara yao. TUMECHOSHWA NA RUSHWA KAZITAMU sorry CUSTOMS

Mkuu walipue tu, ili wawajibishwe ikiwezekana TAKUKURU waende wakanuse nuse harufu za rushwa tunaumizana storage zisizo kuwa na kichwa wala miguu doc.itoke ulaya alafu ije ikwame airport eti TRA wanakagua, unakagua bahasha ina magendo?
 
Kuna dogo anaitwa Jackson yuko pale DHL facility airport upande wa kazitamu anashirikiana na demu mmoja wa DHL. huyu dame ataandika kwenye mtandao clearance delay. ukiona hivyo andaa rushwa kwa Jackson wa kazitamu sorry customs
 
Kuna dogo anaitwa Jackson yuko pale DHL facility airport upande wa kazitamu anashirikiana na demu mmoja wa DHL. huyu dame ataandika kwenye mtandao clearance delay. ukiona hivyo andaa rushwa kwa Jackson wa kazitamu sorry customs

Duh kumbe ndo ilivyo
 
Sio eapoti tu. kwenye ICD kunaliwa storage na makanjanja wa TRA ni balaa. nenda pale DICD ujitie unataka kulipa storage. utapewa maelekezo na viafisa vya kazitamu kwamba unataka kulipa hela zote hizo serikalini. tupe nusu usidai risiti halafu ishia
 
Sio eapoti tu. kwenye ICD kunaliwa storage na makanjanja wa TRA ni balaa. nenda pale DICD ujitie unataka kulipa storage. utapewa maelekezo na viafisa vya kazitamu kwamba unataka kulipa hela zote hizo serikalini. tupe nusu usidai risiti halafu ishia

Yaani nchi hii inatafunwa sana huko kwenye ICD ndo majanga makubwa watu wanakula rushwa sana
 
Aiiiiiiii! Umenitonesha na mm. Mwaka jana nlikuwa nmeagizia Computer accessories(Routers) Very tiny gadgets, kama ambavyo inajulikana kuwa Computer na Components zake huwa hazilipiwi.

Cha kushangaza, Mzigo ulipofika,ilinichukua wiki mbili na siku mbili nikiwa napata sms ya "Customs Clearance Delay" hadi wachina walionitumia Mzigo wakadhania kuwa nmeuzira Mzigo wangu. Walipoona kuwa hata mimi sihangaiki nao,ndio wakaamua ku-release na na waka-Uplift bei ya Invoice wakanilipisha Kodi ambayo nikiuza kwa Market price ya hapa Bongo ninapata Faida ya 2400 kwa kila Piece Moja.

Tatizo liko kwa hawa wafakazi ambao wengi wao wamezoea kufanya kazi kwa Mazoea ya chochote kitu kwanza ndio kazi ifanyike baadae.

Kwa Mantiki hii, Taifa halitaweza kuwa na maendeleo kwa vile wanaolitumikia wako kukidhi Maslahi yao kwanza na Taifa Baadae. Hata tukikesha kuiomba Neema ya Mungu itushukie ili tuweze kufika Ulimwengu wa Pili,bado kutakuwa na washenzi wachache watakao kuwa wanapiga Marktyme kuturudisha Nyuma. TUBADILIKE.
 
Kama kuna mkuu wa TRA humu ndani awatahadharishe vijana wake kwamba JF imeingia ubia na Hosea ili kuwataja na kuwalipua woote wanaohujumu nchi kwa kudai rushwa.wengine wanaogopa kuwataja wahalifu JF itafanya kazi hiyo kwani wanasayansi husema NATURE ABHORES A VACUUM
 
Kuna dogo anaitwa Jackson yuko pale DHL facility airport upande wa kazitamu anashirikiana na demu mmoja wa DHL. huyu dame ataandika kwenye mtandao clearance delay. ukiona hivyo andaa rushwa kwa Jackson wa kazitamu sorry customs

dem yupi yule anaevaa vimini sanaaa anavimatege flani kama banio kifupi fupi hivi chakuongea sanaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom