makaomakuu
Member
- Nov 17, 2010
- 46
- 4
Habari wakuu,
vp kuna mtu ameweza kuapply?maana mimi natapa error "access denied"
Msaada wakuu.
vp kuna mtu ameweza kuapply?maana mimi natapa error "access denied"
Msaada wakuu.
Wamechoshwa na makaratasi mengi ofisini kwao maana wanajua kazi zilishachukuliwa na wenyewe kwa hiyo mkiaply online hata hawafungui kusoma isipokuwa deadline ikifika wanafuta zile application zote ready for another applicationIv tra tuna apply online au kuptia posta?