Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
1,694
3,982
Hizi habari si za kweli. Simba hawawezi mchukua Ngoma. Huyu anakuja cheza Yanga piga ua. Acheni kujitekenya na kucheka wenyewe.
Screenshot_2023-07-04-13-58-26-831_com.whatsapp~2.jpg
 
MASHABIKI WAPUMBAFU WAKIONGOZWA NA KILE KI BIBI CHA SIMBA, KILE KIMALAYA.

Simba Hadi sasa imeacha wachezaji watatu 3 WA KIGENI.

Mohamed Ottara.
Agastine Okra.
Ismail Sawadogo.

Hivyo Ina nafasi TATU tu za kujaza za wachezaji wa kigeni
Otherwise iache wachezaji kama

4. Peter Banda.
5.Pape SACKHO.
6.Sadio kanute.

Ikiwaacha HAO inakuwa na nafasi 6.
Hivyo itakuwa na asilimia 90% za UBINGWA.
Na nusu Fainali ya CAFCL.
 
Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe utaweka wapi Sura yako kwani huyu Mchezaji ulimtambia mno kwamba ndiyo atavaa Jezi #6 ya Yanga SC na hatimaye ameshasinya na Simba SC.

Unaambiwa wakati Watu wa Yanga SC wakimuwahi kumpokea JNIA Terminal III Leo Saa 11 Alfajiri kumbe Wenzao ( Watu ) wa Simba SC Kimafia walimtuma Mtu huko huko alikotoka na akasafiri nae kwa Ndege na Kukaa nae Siti Moja na Kumtolea Mkataba na 'Kuusinyia' huko huko Angani na Kumaliza na Ndege ilipotua tu

Mipuuzi ya Jangwani wakiwemo Marafiki zangu Bhinda na Motisha wakijiandaa Kumpokea na Kumbebea Mabegi wakamkosa kwani Yule Mafia wa Simba SC alimpitishia Mlango mwingine kisha akakuta Gari limeshaandaliwa na 'Faster' likaondoka na sasa Mchezaji huyo anayetokea nchi yenye Machafuko kutokana na Marafiki Wakubwa Kusalitiana yuko Kajipumzisha katika Hoteli Moja Kubwa Jijini Dar es Salaam yenye Sifa ya Kubadili Jina lake kila baada ya miaka Mitano au Saba au Kumi.

Kisasi cha Mbuyi Twite kimeshalipwa.

Kudadadeki....!!
 
MASHABIKI WAPUMBAFU WAKIONGOZWA NA KILE KI BIBI CHA SIMBA, KILE KIMALAYA.

Simba Hadi sasa imeacha wachezaji watatu 3 WA KIGENI.

Mohamed Ottara.
Agastine Okra.
Ismail Sawadogo.

Hivyo Ina nafasi TATU tu za kujaza za wachezaji wa kigeni
Otherwise iache wachezaji kama

4. Peter Banda.
5.Pape SACKHO.
6.Sadio kanute.

Ikiwaacha HAO inakuwa na nafasi 6.
Hivyo itakuwa na asilimia 90% za UBINGWA.
Na nusu Fainali ya CAFCL.
Okwa umemuweka wapi mkuu
 
Duh kwel Simba noma ndege ikiwa angani mazungumzo yakafanyikia humo humo, agent alikua humo humo terms za mkataba zikaweka humo humo!




Kupata vichekesho kama hv bonyeza *666#
Mkuu na hela akapewa humo humo mambo yakaisha.

Any way mimi nachotaka kujua huyu popoma alimjua huyo mchezaji aloetajwa na Ali kamwe? Je kama ni mwingine?
 
Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe utaweka wapi Sura yako kwani huyu Mchezaji ulimtambia mno kwamba ndiyo atavaa Jezi #6 ya Yanga SC na hatimaye ameshasinya na Simba SC.

Unaambiwa wakati Watu wa Yanga SC wakimuwahi kumpokea JNIA Terminal III Leo Saa 11 Alfajiri kumbe Wenzao ( Watu ) wa Simba SC Kimafia walimtuma Mtu huko huko alikotoka na akasafiri nae kwa Ndege na Kukaa nae Siti Moja na Kumtolea Mkataba na 'Kuusinyia' huko huko Angani na Kumaliza na Ndege ilipotua tu Mipuuzi ya Jangwani wakiwemo Marafiki zangu Bhinda na Motisha wakijiandaa Kumpokea na Kumbebea Mabegi wakamkosa kwani Yule Mafia wa Simba SC alimpitishia Mlango mwingine kisha akakuta Gari limeshaandaliwa na 'Faster' likaondoka na sasa Mchezaji huyo anayetokea nchi yenye Machafuko kutokana na Marafiki Wakubwa Kusalitiana yuko Kajipumzisha katika Hoteli Moja Kubwa Jijini Dar es Salaam yenye Sifa ya Kubadili Jina lake kila baada ya miaka Mitano au Saba au Kumi.

Kisasi cha Mbuyi Twite kimeshalipwa.

Kudadadeki....!!
Kama ndo kilichotokea Huyo mchezaji ni wa ajabu Kweri Kweri (Kwa sauti ya Mwenda). Yaani kapewa mkataba kasoma terms humo humo kakubali , Wakala naye kaletwa kwenye ndege au walimkuta Cairo Airport?
Simba itamsajili Mchezaji lakini siyo Kwa style hii. Huo ni ukale àmbao Tangu enzi za Mbuyu Twite haijawahi kutokea tena.
 
Back
Top Bottom