Mwenyewe niliuza chuma kutoka karagwe na tulikua tunauzia remera kigali, shinyanga na geita na kigoma hadi mpanda na sumbawanga wanyarwanda humiliki ardhi kubwa ya kilimo tena walinunua kihalali japo wako rwanda na kila mavuno wao hua na uhakika wa chakula na kuuza congo ya mashariki, mbona niliwahi kuandika hapa majuha yakapotezea note: mtutsi anayeishi tanzania ana haki na uraia wa rwanda pia na kwao hupiga kura kama mnyarwanda nashangaa serikali inapinga uraia pacha wakati watusi wana uraia wa tanzania na rwanda ukiwacheck viongozi wa bongo unaona hawa mazezeta kweli, maana mtu yuko runzewe, katoro, geita, ushirombo, kahama, mwanza, ngara, kakonko, kasulu, kibondo na ana uraia wa rwanda safi kabisa wao huku hua nawachek kama uhamiaji nawaona mazezeta tu