Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,032
- 759
Mimi ningekuwa kiongozi wala sihitaji kuzungumzia hayo.........nachukua bei ya unga, sukari, mafuta ya taa, umeme, na gesi nalinganisha na miaka mitano iliyopita halafu nachukua takwimu kutoka nchi yenye mazingira ya kwetu kama Rwanda, Angola Msumbiji halafu naawambia wananchi kwanini sisi isiwezekane. Nawaambia vijana wanaosoma kuwa nitaongeza wigo wa ajira kwasababu umri wa kustaafu ukifika sitaruhusu ajira za mkataba, rare professions kama udaktari, etc hawatafanya kazi za siasa, nitaondoa wakuu wa wilaya kwa kufanya hivyo nitasaave kiasi X kwa mwaka ambacho nitatumia kujenga madarasa mapya kila mwaka..........jamani CDM rudini chini mzungumze lugha ya watu ya kila siku......siasa za juu ya helikopta zafaaa kwa msisimmko tu ambao hudumu kitambo kidogo tu..........
Dah! yaani hapa umepiga mulemule, CDM wasipofanya hivi wasahau kuongoza Nchi.