Tatizo kubwa la ajira na ugumu wake unachangiwa sana na tabia zetu

kwenda21

JF-Expert Member
Mar 11, 2014
3,424
3,396
Nimekaa nimechunguza nikagundua kuwa tatizo kubwa la ajira na ugumu wake unachangiwa sana na tabia zetu, hutafutiwi kazi kutokana na tabia yako mbaya, kukidai, roho yako mbaya, na mahusiano yako mabaya na majirani zako, marafiki na huna upendo.

Mimi mwaka jana niliacha kazi tisa, na nikapata nyigine ambayo ninayo hadi sana, na hii nikitaka naacha na ninajua nitapata tu, nina connection bora haijawahi tokea, ninaishi vizuri sana na watu, mtu nikimkwaza nimwepesi kujishusha na kuonekana fala, niko mwepesi kutoa msaada, kiujumla mimi najua kuishi.
 
Nimekaa nimechunguza nikagundua kuwa tatizo kubwa la ajira na ugumu wake unachangiwa sana na tabia zetu,hutafutiwi kazi kutokana na tabia yako mbaya,kukidai,roho yako mbaya,na mahusiano yako mabaya na majirani zako,marafiki na huna upendo,mimi mwaka jana niliacha kazi tisa, na nikapata nyigine ambayo ninayo hadi sana,na hii nikitaka naacha na ninajua nitapata tu,nina connection bora haijawahi tokea,ninaishi vizuri sana na watu,mtu nikimkwaza nimwepesi kujishusha na kuonekana fala,niko mwepesi kutoa msaada, kiujumla mimi najua kuishi

Aisee kwahiyo kipi kifanyike ili watu ajira nzuri
 
Ni aina gani hiyo ya KAZI ulizoacha mara 9..

Nakumbusha tu KANUNI na taratibu za kuacha KAZI.. kama utaacha kwa mapenzi yako ww mwenyewe inajulikana implications zake.

Huyu jamaa ni MUONGO sana... sijui kuna faida gani kudanganya hapa JF
Aliacha kazi za
1: kuuza ganja
2: Umbea
3: Udalali
4: Utapeli
5: Uchawa
6: Kubeti
7: Kuilalamikia CCM
8: Forex
9: ............malizia mwenyewe 🤣🤣🤣
 
Nimekaa nimechunguza nikagundua kuwa tatizo kubwa la ajira na ugumu wake unachangiwa sana na tabia zetu, hutafutiwi kazi kutokana na tabia yako mbaya, kukidai, roho yako mbaya, na mahusiano yako mabaya na majirani zako, marafiki na huna upendo.

Mimi mwaka jana niliacha kazi tisa, na nikapata nyigine ambayo ninayo hadi sana, na hii nikitaka naacha na ninajua nitapata tu, nina connection bora haijawahi tokea, ninaishi vizuri sana na watu, mtu nikimkwaza nimwepesi kujishusha na kuonekana fala, niko mwepesi kutoa msaada, kiujumla mimi najua kuishi.
Sasa sio kila mtu anaconnection kama wewe boss..!
Wewe shukuru kwa connection ulizonazo na usiwabeze wenzako ambao wanahangaika huko maana sio rahisi kila mtu Tanzania kuwa na kazi..sio rahisi hilo
 
Nimekaa nimechunguza nikagundua kuwa tatizo kubwa la ajira na ugumu wake unachangiwa sana na tabia zetu, hutafutiwi kazi kutokana na tabia yako mbaya, kukidai, roho yako mbaya, na mahusiano yako mabaya na majirani zako, marafiki na huna upendo.

Mimi mwaka jana niliacha kazi tisa, na nikapata nyigine ambayo ninayo hadi sana, na hii nikitaka naacha na ninajua nitapata tu, nina connection bora haijawahi tokea, ninaishi vizuri sana na watu, mtu nikimkwaza nimwepesi kujishusha na kuonekana fala, niko mwepesi kutoa msaada, kiujumla mimi najua kuishi.
Dalali mdoea ugali wew🤧
 
Nimekaa nimechunguza nikagundua kuwa tatizo kubwa la ajira na ugumu wake unachangiwa sana na tabia zetu, hutafutiwi kazi kutokana na tabia yako mbaya, kukidai, roho yako mbaya, na mahusiano yako mabaya na majirani zako, marafiki na huna upendo.

Mimi mwaka jana niliacha kazi tisa, na nikapata nyigine ambayo ninayo hadi sana, na hii nikitaka naacha na ninajua nitapata tu, nina connection bora haijawahi tokea, ninaishi vizuri sana na watu, mtu nikimkwaza nimwepesi kujishusha na kuonekana fala, niko mwepesi kutoa msaada, kiujumla mimi najua kuishi.
hahaaa daah! wabongo
 
Nimekaa nimechunguza nikagundua kuwa tatizo kubwa la ajira na ugumu wake unachangiwa sana na tabia zetu, hutafutiwi kazi kutokana na tabia yako mbaya, kukidai, roho yako mbaya, na mahusiano yako mabaya na majirani zako, marafiki na huna upendo.

Mimi mwaka jana niliacha kazi tisa, na nikapata nyigine ambayo ninayo hadi sana, na hii nikitaka naacha na ninajua nitapata tu, nina connection bora haijawahi tokea, ninaishi vizuri sana na watu, mtu nikimkwaza nimwepesi kujishusha na kuonekana fala, niko mwepesi kutoa msaada, kiujumla mimi najua kuishi.
Ahsante sana kwa ushauri wako Mkuu. Ni dhairi na nakubaliana nawe kabisa. Pia ombi langu naamini kutokana na huo uhusiano mzuri na watu wako, unaweza kuwa referee wangu kwao. Naomba unisaidie kunipatia mchongo wa kazi
 
Usimwamini mwanadam anayeanza kwakujisifia yeye!!. Ni hatarii kwa maisha ya wengine.
Paul makonda
Sabaya
Magufuli
 
Back
Top Bottom