TARURA hii imekula kwenu, kuendekeza ujenzi usiozingatia viwango

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,734
2,265


TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita.
TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini.

Chini ya Halmashauri kazi nyingi zilifanyika kiholela holela kwa mashinikizo ya madiwani na wanasiasa kwa ujumla.

Kuja kwa TARURA ilikuwa mkombozi.
Hata hivyo TARRA ina safari ndefu kufikia weledi wa kihandisi wa wenzao TANROADS.

Bado TARURA wanaend na kiholela holea katika maswala ya kihandisi na hivyo kazi kukosa viwango.
Katika clip hiyo mambo yanajieleza.

Pamoja na yote tunategemea TARURA kuongeza ufanisi ili kazi zake ziwe za viwango vinavotegemewa.
 
View attachment 2843988
TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita.
TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini.
Chini ya Halmashauri kazi nyingi zilifanyika kiholela holela kwa mashinikizo ya madiwani na wanasiasa kwa ujumla.

Kuja kwa TARURA ilikuwa mkombozi.
Hata hivyo TARRA ina safari ndefu kufikia weledi wa kihandisi wa wenzao TANROADS.
Bado TARURA wanaend na kiholela holea katika maswala ya kihandisi na hivyo kazi kukosa viwango.
Katika clip hiyo mambo yanajieleza.

Pamoja na yote tunategemea TARURA kuongeza ufanisi ili kazi zake ziwe za viwango vinavotegemewa.
Duh...!, sijui imekuwaje ila TARURA ni wazuri sana, nawaaminia!.
View: https://youtu.be/ZJI424UYVU4?si=pnwBzS13Cr9YQGD4
P
 
TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita.
TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini.
Chini ya Halmashauri kazi nyingi zilifanyika kiholela holela kwa mashinikizo ya madiwani na wanasiasa kwa ujumla.
Haya mambo ya kijinga sana tunarudi nyuma miaka 100, nimemsikia huyo anasema madaraja ya kikoloni, siafikiani naye, mkoloni ndiye alijenga madaraja madhubuti kuliko hao wajinga TARURA na madiwani wao
 
1-Mleta uzi umekuwa biased zaidi
2- Habari yako imekaa kinafiki zaidi.
3- Ni kama vile TARURA kwako ni chombo kinachokunyima ulaji fulani.
4-Mleta uzi huelezi kwa kina kuuhabarusha umma eneo rasmi la tukio.
5- Pamoja na kuuponda mfumo wa ujenzi lakini hauelezo kasoro rasmi za ujenzi huo.

Hitimisho:
Ni wazi kwamba tatizo hapo ni ufisadi.kwamba kuna material iliyopungua hususan Simenti.

Kama mkoloni aliutumia mfumo huo na mpaka leo madaraja yake yapo.
Ina inathibitisha wazi kwamba kuna ubadhirifu mkubwa katika miradi ya miundombinu hasa inayosimamiwa na wakandarasi wazawa kwa sasa hapa nchini.

Halafu nimenusa harufu fulani ya UHASAMA baina ya TARURA na TANROADS.
Kutokama na matamshi yaliyoko kwenye hiyo clip.
 
Sikubaliani nawe Pascal Mayalla labda huko uliko, lakini huku mikoani wanafanya mambo ya hovyo sana, ni mara 100 warudishwe Comworks wa miaka ya 70s kuliko wao TARURA, nina ushahidi nimeona calvats kibao Morogoro zimesombwa na zingine kuziba kwa mvua moja tu
Du , yaani COMWORKS warudi?! ,

Kwamba tatizo lako weee ni jina, kwamba jina TARURA, ndio tatizo,!!!

Kwamba likija jina COMWORKS, basi tatizo limetatulika!!!! Aisee, ,

Inabidi sasa tutafute mitandao mingine , maana hapa JF naona kama maarifa ya watu yamepungua.

Labda kukusaidia tu , wanaofanya madudu ni watu, tena watanzania wenzetu, hata wakija hao COMWORKS, kama wafanyakazi wenyewe ndio hawa hawa wababaishaji , usitegemee kuona mabadiliko.
 
Ili TARURA ifanye kazi vizuri wakiwa free iondolewe chini ya TAMISEMI ihamishiwe wizara ya Ujenzi.
Huko mikoani wanajenga mitaro ambayo badala ya kutatua matatizo ndo yanazidi kuleta matatizo zaidi...mitaro hayana vivuko, mitaro yanabomoka chini baada ya muda mfupi sana.
Wataalam wa TARURA huko mikoani hawaendi kukagua eneo la ujenzi kwa wakati wamekilia rushwa tu...ukiona mafundi wanaojenga hizo culvert na mitaro unatamani ata uwapige viboko.
Zege Zinachanganywa kwa mikono huku uwiano wa saruji na mchanga hauzingatiwi.
TARURA NYIE NI JIPU KUBALINI TU.
Barabara zinajengwa ovyoovyo bila kuanagalia namna ya kukinga barabara zisiaribiwe na mvua, ukiuliza wanakuambia eti bajeti ni ndogo.

Yaani TARURA wanatoa tenda kwa mkandarasi anajenga barabara kwa kuweka moramu umbali wa km 15 bila kutengeneza mitaro au culvert kwenye maungio ya barabara alafu kipindi cha miezi mitatu barabara zimearibiwa na mvua vibaya sana...unabaki unajiuliza kwanini wasijenge km 6 lakini idumu kwa muda mrefu ili gharama ya km 9 waweze kutengeneza hizo culvert na mitaro?
TARURA NI SAWA NA TAKUKURU KWENYE UTENDAJI KAZI.
 
Ili TARURA ifanye kazi vizuri wakiwa free iondolewe chini ya TAMISEMI ihamishiwe wizara ya Ujenzi.
Huko mikoani wanajenga mitaro ambayo badala ya kutatua matatizo ndo yanazidi kuleta matatizo zaidi...mitaro hayana vivuko, mitaro yanabomoka chini baada ya muda mfupi sana.
Wataalam wa TARURA huko mikoani hawaendi kukagua eneo la ujenzi kwa wakati wamekilia rushwa tu...ukiona mafundi wanaojenga hizo culvert na mitaro unatamani ata uwapige viboko.
Zege Zinachanganywa kwa mikono huku uwiano wa saruji na mchanga hauzingatiwi.
TARURA NYIE NI JIPU KUBALINI TU.
Barabara zinajengwa ovyoovyo bila kuanagalia namna ya kukinga barabara zisiaribiwe na mvua, ukiuliza wanakuambia eti bajeti ni ndogo.

Yaani TARURA wanatoa tenda kwa mkandarasi anajenga barabara kwa kuweka moramu umbali wa km 15 bila kutengeneza mitaro au culvert kwenye maungio ya barabara alafu kipindi cha miezi mitatu barabara zimearibiwa na mvua vibaya sana...unabaki unajiuliza kwanini wasijenge km 6 lakini idumu kwa muda mrefu ili gharama ya km 9 waweze kutengeneza hizo culvert na mitaro?
TARURA NI SAWA NA TAKUKURU KWENYE UTENDAJI KAZI.
Duh...kama huyu mchangiaji anavyosema TARURA ongezeni umahiri wa kazi na weledi.
 
Du , yaani COMWORKS warudi?! ,

Kwamba tatizo lako weee ni jina, kwamba jina TARURA, ndio tatizo,!!!

Kwamba likija jina COMWORKS, basi tatizo limetatulika!!!! Aisee, ,
Read betwen the lines
 
View attachment 2843988

TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita.
TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini.

Chini ya Halmashauri kazi nyingi zilifanyika kiholela holela kwa mashinikizo ya madiwani na wanasiasa kwa ujumla.

Kuja kwa TARURA ilikuwa mkombozi.
Hata hivyo TARRA ina safari ndefu kufikia weledi wa kihandisi wa wenzao TANROADS.

Bado TARURA wanaend na kiholela holea katika maswala ya kihandisi na hivyo kazi kukosa viwango.
Katika clip hiyo mambo yanajieleza.

Pamoja na yote tunategemea TARURA kuongeza ufanisi ili kazi zake ziwe za viwango vinavotegemewa.
Viwango vimezingstiwa ila maji yakizidi uwezo wa daraja
 
1-Mleta uzi umekuwa biased zaidi
2- Habari yako imekaa kinafiki zaidi.
3- Ni kama vile TARURA kwako ni chombo kinachokunyima ulaji fulani.
4-Mleta uzi huelezi kwa kina kuuhabarusha umma eneo rasmi la tukio.
5- Pamoja na kuuponda mfumo wa ujenzi lakini hauelezo kasoro rasmi za ujenzi huo.

Hitimisho:
Ni wazi kwamba tatizo hapo ni ufisadi.kwamba kuna material iliyopungua hususan Simenti.

Kama mkoloni aliutumia mfumo huo na mpaka leo madaraja yake yapo.
Ina inathibitisha wazi kwamba kuna ubadhirifu mkubwa katika miradi ya miundombinu hasa inayosimamiwa na wakandarasi wazawa kwa sasa hapa nchini.

Halafu nimenusa harufu fulani ya UHASAMA baina ya TARURA na TANROADS.
Kutokama na matamshi yaliyoko kwenye hiyo clip.
Mkuu ukiwa mjinga si vizuri kujionyesha hadharani.
 
Back
Top Bottom