NJOGHOMILE
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 657
- 1,868
Chuo gani?Biochemistry
Chuo gani?Biochemistry
kwa Allah hakuna Phd ni amali tu njema
Biochemistry
Lipi jibu sahihi?Biochemistry alisomeshwa na Wayahudi mpaka PhD na alikua kichwa sana, alisoma Hadassah University na PhD Chicago Univ.
du ! maprofesa wengine hata hawajulikani nchi hiiInna Lillahi wa inna ilayhi raajiuun,..
Prof. Jahazi amefariki Dunia muda huu.
Allah amsamehe, atie Nuru ktk kaburi lake na ampe kauli thaabit ndugu yetu [Allahummagh'firllahu].
Maziko ya Prof. Jahazi leo. Ata Swaliwa Masjid Shadhily na kuzikwa Kisutu baada ya Asir
Ni yeye..alifariki jana na kazikw leo kisutu au huyu ni mwingine?
Kuna vigezo ujueInnallilah wainallilah rajiuun, kafa kipindi ambacho maprof wananeemeka na teuzi
Ni kweli maana siku hizi kuna maprofesa wa fitina kama yule Kafu.ni swali zuri
Si nimekitajaKuna vigezo ujue