Achana na hiyo mikokoteni, tulishakuwa na kingine cha Scania, magari ya ukweli!Kazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.View attachment 1752977
Nijue kama hicho kiwanda chako kinastahili sifa au vipi?Unataka ujue ili iweje?
Ukijua idadi haisaidii,ulizia address yake au hata website kama wanayoKimeajiri watanzania wangapi hicho kiwanda?
Kujenga kingine bila kuondoa sababu zilizofanya kile cha kwanza kufa ni ujinga.Kwa hiyo? Tuache kujenga vingine?
Kwa hili jibu la kipumbavu kwa swali ambalo ni la msingi, nimekupuuza.Unataka ujue ili iweje?
Wanatengeneza au wanaunganisha vipuri ili kuwa gari.Kazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.View attachment 1752977
Huyo ni bogus siku zote, sema nimeona nimvumilie kidogo ningemuita hivyo baadae.Kwa hili jibu la kipumbavu kwa swali ambalo ni la msingi, nimekupuuza.
Jibu la ajira zilizopatikana kwa uwepo wa hicho kiwanda lingesaidia kuwaonyesha wale wanaobeza, kutambua umuhimu wa hicho kiwanda na jinsi WATZ wananufaika na ajira za kudumu na za muda.
Cha kushangaza umeonyesha upumbavu, na majibu yale yale ya kishabiki. Mpumbavu.
Shame on youNijue kama hicho kiwanda chako kinastahili sifa au vipi?
Hayo magari mtayanunua huko lumumba, wengine hata mlo mmoja hawana uhakika nao, sasa nataka nijue wangapi watapata chakula cha uhakika toka ajira za hicho kiwanda.