Tanzania tumejiandaaje dhidi ya uvamizi wa nzige?

Idimi

JF-Expert Member
Mar 18, 2007
15,042
10,581
Ndugu wanabodi, nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na sasa Uganda zimevamiwa na baa la nzige (locust) ambao ni wadudu waharibifu sana wa mazao. Kiufupi, nzige wana uwezo wa kula hekta 100 za mazao kwa muda wa saa zisizozidi 3. Uharibifu waliofanya kwenge mazao Kenya na Uganda hausemeki, ni njaa tu mwaka huu.

Uganda na Kenya ni majirani zetu, si ajabu ndani ya wiki hii nzige hao wakavuka mpaka na kufika maeneo ya mpakani kama Mara, Kagera na Kilimanjaro. Mpaka naandika uzi huu sijasikia tahadhari yoyote wala tamko lolote hususani kutoka wizara ya Kilimo na chakula na ofisi ya waziri mkuu (kitengo cha maafa).

Ama tunasubiri nzige wafike ndipo tujiandae? Itakua too late. Tumejiandaaje kama nchi kukabili janga na la nzige?

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa natazama taarifa huko Kenya ama hakika hawa wadudu ni waharibifu sana.

Mwenye kuelewa zaidi maisha ya nzige anaweza kusema machache ili tuwajue, nakumbuka nikiwa mdogo nimewahi kuwaona katika mashamba yetu umepita muda mrefu bila kuwashuhudia.
 
Ndugu wanabodi, nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na sasa Uganda zimevamiwa na baa la nzige (locust) ambao ni wadudu waharibifu sana wa mazao. Kiufupi, nzige wana uwezo wa kula hekta 100 za mazao kwa muda wa saa zisizozidi 3. Uharibifu waliofanya kwenge mazao Kenya na Uganda hausemeki, ni njaa tu mwaka huu.
Uganda na Kenya ni majirani zetu, si ajabu ndani ya wiki hii nzige hao wakavuka mpaka na kufika maeneo ya mpakani kama Mara, Kagera na Kilimanjaro. Mpaka naandika uzi huu sijasikia tahadhari yoyote wala tamko lolote hususani kutoka wizara ya Kilimo na chakula na ofisi ya waziri mkuu (kitengo cha maafa). Ama tunasubiri nzige wafike ndipo tujiandae? Itakua too late. Tumejiandaaje kama nchi kukabili janga na la nzige?
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajeshi watajenga ukuta. Tuliweza mererani tutashindwa wapi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sijawahi kuwaona. Nikisimuliwa tu na bibi jinsi walivyo waharibifu wakivamia shamba
Nilikuwa natazama taarifa huko Kenya ama hakika hawa wadudu ni waharibifu sana.

Mwenye kuelewa zaidi maisha ya nzige anaweza kusema machache ili tuwajue, nakumbuka nikiwa mdogo nimewahi kuwaona katika mashamba yetu umepita muda mrefu bila kuwashuhudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wanabodi, nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na sasa Uganda zimevamiwa na baa la nzige (locust) ambao ni wadudu waharibifu sana wa mazao. Kiufupi, nzige wana uwezo wa kula hekta 100 za mazao kwa muda wa saa zisizozidi 3. Uharibifu waliofanya kwenge mazao Kenya na Uganda hausemeki, ni njaa tu mwaka huu.
Uganda na Kenya ni majirani zetu, si ajabu ndani ya wiki hii nzige hao wakavuka mpaka na kufika maeneo ya mpakani kama Mara, Kagera na Kilimanjaro. Mpaka naandika uzi huu sijasikia tahadhari yoyote wala tamko lolote hususani kutoka wizara ya Kilimo na chakula na ofisi ya waziri mkuu (kitengo cha maafa). Ama tunasubiri nzige wafike ndipo tujiandae? Itakua too late. Tumejiandaaje kama nchi kukabili janga na la nzige?
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu zije tubadilishe mboga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko uganda wameingia leo maana mpaka jana walikuwa hawajaingia...
Ndugu wanabodi, nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na sasa Uganda zimevamiwa na baa la nzige (locust) ambao ni wadudu waharibifu sana wa mazao. Kiufupi, nzige wana uwezo wa kula hekta 100 za mazao kwa muda wa saa zisizozidi 3. Uharibifu waliofanya kwenge mazao Kenya na Uganda hausemeki, ni njaa tu mwaka huu.
Uganda na Kenya ni majirani zetu, si ajabu ndani ya wiki hii nzige hao wakavuka mpaka na kufika maeneo ya mpakani kama Mara, Kagera na Kilimanjaro. Mpaka naandika uzi huu sijasikia tahadhari yoyote wala tamko lolote hususani kutoka wizara ya Kilimo na chakula na ofisi ya waziri mkuu (kitengo cha maafa). Ama tunasubiri nzige wafike ndipo tujiandae? Itakua too late. Tumejiandaaje kama nchi kukabili janga na la nzige?
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom