Tanzania tuboreshe Miji yetu iwe ya kisasa, siyo kila Mzungu anapenda kusakua mapori kuona Wanyama

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,144
2,779
Hii iwafikie watawala!

Kuna kasumba ya watawala kuwa wazungu wanapenda vitu duni na mapori kucheki wanyama!

Siwalaumu labda ni kweli lakini Utalii unaoongoza ni utalii wa miji au utalii wa mjini!!

Si watu wote wanapenda kuspend pesa zao maporini watu wanataka kula maisha na pesa zao!!


Nadhani waafrica tulio wengi tuna kasumba hii!!

Nchi zinazoongoza kwa idadi ya watalii hazina mbuga ila zina vivutio vizuri vya miji na sehemu za starehe.

IMG_4460.jpg
 
Hii iwafikie watawala!

Kuna kasumba ya watawala kuwa wazungu wanapenda vitu duni na mapori kucheki wanyama! Siwalaumu labda ni kweli lakini Utalii unaoongoza ni utalii wa miji au utalii wa mjini!!

Si watu wote wanapenda kuspend pesa zao maporini watu wanataka kula maisha na pesa zao!!


Nadhani waafrica tulio wengi tuna kasumba hii!!
Nchi zinazoongoza kwa idadi ya watalij hazina mbuga ila zinq vivutio vizuri vya miji na sehemu za starehe
View attachment 2870978
Mkuu,

Unaelewa dhana ya kiuchumi inaitwa "competitive advantage" ?

Imeandikwa sana tangu enzi za Adam Smith.
 
Hatuwezi kuwa sawa mkuu.

Wakitaka miji mizuri wataenda huko.

Wakitaka mapori watakuja huku.

Tunagawaza dhana.

Elewa content utalii unatengenezwa kwa kuwekeza kwene mahotel na sehemu za recreation mijini au kuanzisha ma event kama yale ya Nyege nyege uganda dunia nzima wanajua na wanasubiri kila mwaka

Au ukiangalia Rwanda ni mji uliowekeza kigali na hauna mbuga nyingi lakini namba ya watalii inakaribia ya tanzania

Sasa kwa mtazamo huo tunakosa pesa ngap?? kwa kudesign tu mji au baadhi ya miji tuliyonayo??


#Fikiri chukua hatua
 
Kilwa masoko njoo uone msikiti wa kwanza wa Shia watu kutoka Iran,

Ukija kama hapa kilwa utashangaa mji una historia kubwa lakini uwekezaji wa serikali ni mdogo sana hata uwezeshaji wa shughuli za utalii n mdogo mno.

miji kama Bagamoyo , kilwa na mafia ilibidi iwe inaingiza mapato makubwa kuliko hata Arusha kwa utajir na ukubwa wa historia zao
 
Ukija kama hapa kilwa utashangaa mji una historia kubwa lakini uwekezaji wa serikali ni mdogo sana hata uwezeshaji wa shughuli za utalii n mdogo mno.

miji kama Bagamoyo , kilwa na mafia ilibidi iwe inaingiza mapato makubwa kuliko hata Arusha kwa utajir na ukubwa wa historia zao
Umeona mbali sana ila serikali ndio kwanza wanajenga kule jangwani ....Tangu uhuru ndio wanakumbuka sasa makao makuu ya nchi😳
 
Mkuu,

Unaelewa dhana ya kiuchumi inaitwa "competitive advantage" ?

Imeandikwa sana tangu enzi za Adam Smith.

Haizuii kupanua fikra!!

familia haiwezi kua unapiki piki na baiskeli harafu ukachagua kutumia baiskeli pekee wakati kuna chance ya kutumia vyote na kuongeza kipato
 
Ukija kama hapa kilwa utashangaa mji una historia kubwa lakini uwekezaji wa serikali ni mdogo sana hata uwezeshaji wa shughuli za utalii n mdogo mno.

miji kama Bagamoyo , kilwa na mafia ilibidi iwe inaingiza mapato makubwa kuliko hata Arusha kwa utajir na ukubwa wa historia zao
Jamaa wa Kilwa walishakua na hela zao, masultan
 
Haizuii kupanua fikra!!

familia haiwezi kua unapiki piki na baiskeli harafu ukachagua kutumia baiskeli pekee wakati kuna chance ya kutumia vyote na kuongeza kipato

Sikupingi wazo lako, tunaweza kufanya yote, na tunafanya.

Zanzibar wanafanya Zanzibar International Film Festival na Sauti za Busara, wanavutia watalii wengi sana kuja kwenye utalii Mjini Magharibi.

Nimeona picha wazungu wanamshangaa Diamind Platnumz na kupiga picha naye kwenye restaurant ya Zanzibar.

Wiki mbili zilizopita, kuna mtu kashangaa sana kakaa restaurant Zanzibar, kakutana na Mos Def Yasin Bey, rapper maarufu wa Kimarekani.

Lakini pia, kurudi kwenye mfano wako.

Kama famikia haina hela ya kununua mafuta ya kuendesha pikipiki, baiskeli inaweza kuwa chaguo zuri zaidi mara nyingi zaidi.
 
Sikupingi wazo lako, tunaweza kufanya yote, na tunafanya.

Zanzibar wanafanya Zanzibar International Film Festival na Sauti za Busara, wanavutia watalii wengi sana kuja kwenye utalii Mjini Magharibi.

Nimeona picha wazungu wanamshangaa Diamind Platnumz na kupiga picha naye kwenye restaurant ya Zanzibar.

Wiki mbili zilizopita, kuna mtu kashangaa sana kakaa restaurant Zanzibar, kakutana na Mos Def Yasin Bey, rapper maarufu wa Kimarekani.

Lakini pia, kurudi kwenye mfano wako.

Kama famikia haina hela ya kununua mafuta ya kuendesha pikipiki, baiskeli inaweza kuwa chaguo zuri zaidi mara nyingi zaidi.

Si kweli kua hatuwezi kufanya utajiri wa mjini
Rwanda ,morocco, Tunisia unafikiri wana hela gan ??
Ni kuwekeza tu
 
Si kweli kua hatuwezi kufanya utajiri wa mjini
Rwanda ,morocco, Tunisia unafikiri wana hela gan ??
Ni kuwekeza tu
Kwani wapi nimesema hatuwezi?

Mbona nimeelezea mpaka mifano nimetoa Zanzibar wanavyofanya kwenye Zanzibar International Film Festival na Sauti za Busara?

Nimeanza kwa kuuliza kama mnaelewa dhana ya "comparative advantage" katika uchumi.

Inaonekana hamuelewi na hamtaki hata kujifunza.
 
Naona mnaanza kujitangaza
Sasa tupite hapo au tukapige picha
Yaani kweli daraja nalo wanasema utalii View attachment 2871811

Ndio utaliii kinaweza kua kitu chochote unique au chenye kuvutia ambacho watu wanavutiwa kwenda kukiona.
Assume zanzibar watu wanaenda kuona beach tu, na culture

So inawez kua ni majengo,miundo mbinu ,utamaduni, michezo, historia nk
 
Kwani wapi nimesema hatuwezi?

Mbona nimeelezea mpaka mifano nimetoa Zanzibar wanavyofanya kwenye Zanzibar International Film Festival na Sauti za Busara?

Nimeanza kwa kuuliza kama mnaelewa dhana ya "comparative advantage" katika uchumi.

Inaonekana hamuelewi na hamtaki hata kujifunza.

ha ha ha mkuu nikutoelewana tu lakini nadhani tupo page moja
 
Ndio utaliii kinaweza kua kitu chochote unique au chenye kuvutia ambacho watu wanavutiwa kwenda kukiona.
Assume zanzibar watu wanaenda kuona beach tu, na culture

So inawez kua ni majengo,miundo mbinu ,utamaduni, michezo, historia nk
Beaches ndio pahali pake na kuna biashara nyingi
Kivutio na sehemu zinazoingiza hela na kuona mandhari pia
Madaraja ni ya kupita tu mkuu labda kama yale madaraja ya zamani sana Kama la Greece lililojengwa 1300bc yaani mtu anaeenda mpaka kuliona
Kweli tuna vivutio vingi sana ila tunahitaji kubadilika
Zamani kuna nchi nilikuwa naishi Beach yao hakuna aliekuwa anaithamini na karibu na makazi
Wakaja na plan baada ya miaka
Wakafukia sehemu kubwa ya Beach na juu kujenga mahoteli karibu nusu maili
Leo ukienda ni kibirudisho tosha watu wamejaa sana sana
Yaani kama Tz wangefanya hivyo
I wish niwe na hela mkuu
 
Beaches ndio pahali pake na kuna biashara nyingi
Kivutio na sehemu zinazoingiza hela na kuona mandhari pia
Madaraja ni ya kupita tu mkuu labda kama yale madaraja ya zamani sana Kama la Greece lililojengwa 1300bc yaani mtu anaeenda mpaka kuliona
Kweli tuna vivutio vingi sana ila tunahitaji kubadilika
Zamani kuna nchi nilikuwa naishi Beach yao hakuna aliekuwa anaithamini na karibu na makazi
Wakaja na plan baada ya miaka
Wakafukia sehemu kubwa ya Beach na juu kujenga mahoteli karibu nusu maili
Leo ukienda ni kibirudisho tosha watu wamejaa sana sana
Yaani kama Tz wangefanya hivyo
I wish niwe na hela mkuu

ok unaingia unatoka
 
Back
Top Bottom