Sahihisho. si ALFA ni ALPHA na pia si mtoto wake ni kampuni yake na familia yake. Mtoto wake anayejitokeza kila mahali anaitwa Fred, sasa kama hiyo kampuni imepewa, hapo ndipo tunaanza kuona ni kwanini watu wanamtetea Mkapa, wanajua baada yake ni wao
Kama ni ALPHA na OMEGA vilevile kwa hiyo twisha....