Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,153
- 13,223
@ FULL TIME. TANZANIA 1-0 MALAWI.
Sent with my nokia phone.
GIVENALITY Ninakushukuru kwa kufungua thread hii,ila nakuomba fanya marekebisho kwenye thread yako,Tanzania hakuna uwanja wa mpira unaoitwa Benjamin Mkapa,uwanja tunaochezea unaitwa "Uwanja wa Taifa - au National Stadium" na ule wa jirani unaitwa " Uwanja wa Uhuru".
habari za asubuhi. Kwa anaejua mechi ya leo itaonyeshwa na shirika gani la television.. Naomba anaejua anijuze.
Nadhani ni matatizo ya kiuandishi tu vngenge na kiwaki
Alikuwa anamaanisha Taifa Stars. msimamia kucha
Mimi y-n sijajua muda gani na nani ataionesha hii mechi.
But,endelea kutembelea media mbalimbali utapata majibu.