thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,942
- 1,847
Habari, baada ya salam wadau mpaka hivi sasa wilaya ya Tanga mjini haijatoa majina ya sensa na ninasikia usaili ni kesho hii maana yake nini?
Naombeni mwenye fununu au link nyeti ya majina ya Tanga atupie hapa....Gemu gumu mazee,hem fanyeni uzungu basi.
Naombeni mwenye fununu au link nyeti ya majina ya Tanga atupie hapa....Gemu gumu mazee,hem fanyeni uzungu basi.