Tanga: ACT Wazalendo yakiona cha moto, yawaondoa mawakala wake vituoni baada ya kura feki kujazwa

Maandamano watu wataishia kupata vilema, ni bora machafuko kila mmoja aumie. Ikitokea wote tukawa kwenye hatari lazima heshima irejee. Lakini maandamano huku polisi wakitumia silaha za moto sioni tija yake.

Maandamano ikiwa idadi ya kutosha wahanga huwa Wachache. Haipo struggle bila wahanga.
 
Maandamano ikiwa idadi ya kutosha wahanga huwa Wachache. Haipo struggle bila wahanga.

Watu wameshaingia woga sio rahisi kuandamana tena hata kama hawaridhiki. Njia pekee ni wachache kujitoa muhanga ikiwemo na kuwafanyizia viongozi wa CCM. Kinyume na hapo tutaendelea kuburizwa kama mbuzi mnadani.
 
Siku zote tumesema humu na kurudia tena na tena , kwamba Usaliti ni laana mbaya sana , tumetoa mifano Mingi mno kwamba SHETANI HAJAWAHI KUWA NA RAFIKI , lakini tumepuuzwa .

Huko Tanga, Chama cha ACT WAZALENDO ambacho ni mshirika wa karibu wa CCM huku kiongozi wake Zitto Kabwe akisisitiza mara nyingi kwamba Rais Samia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM ANAIPONYA NCHI, kimeondoa mawakala wake kwenye vituo vya kupigia kura , kwa madai kwamba Kura zilishajazwa kwenye masanduku ya kupigia kura kabla hata upigaji wenyewe haujaanza.

Ikumbukwe kwamba huko Tanga kuna uchaguzi wa marudio wa udiwani , ambako vyama Mamluki vimeshiriki.

Chanzo: Zamampya
Hawa ni vibaraka wa CCM
 
hahaaa hujaulizwa kaanza lini kwenda marekani nimekuambia mbowe tayari sio mwenzenu kawatelekeza cheza na pesa kwa mchaaga wewe? huoni sasa hivi wanavyotoa matamko ya kupingana na lissu? mpaka hapo huoni kama picha tayari limeshaungua? kazi kwenu mliobaki mitandaoni
Chama cha demokrasia ni ruksa kutofautiana misimamo.

Chama cha mambuzi ukitofatiana na fikra sahihi za Mwenyekiti umekwisha, utatafutwa na bastola na utasainishwa barua ya kujiuzuru wakati hujaiandika wewe.
 
Siku zote tumesema humu na kurudia tena na tena , kwamba Usaliti ni laana mbaya sana , tumetoa mifano Mingi mno kwamba SHETANI HAJAWAHI KUWA NA RAFIKI , lakini tumepuuzwa .

Huko Tanga, Chama cha ACT WAZALENDO ambacho ni mshirika wa karibu wa CCM huku kiongozi wake Zitto Kabwe akisisitiza mara nyingi kwamba Rais Samia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM ANAIPONYA NCHI, kimeondoa mawakala wake kwenye vituo vya kupigia kura , kwa madai kwamba Kura zilishajazwa kwenye masanduku ya kupigia kura kabla hata upigaji wenyewe haujaanza.

Ikumbukwe kwamba huko Tanga kuna uchaguzi wa marudio wa udiwani , ambako vyama Mamluki vimeshiriki.

Chanzo: Zamampya
kwani kabla ya kuanza kupiga kura hawahakiki mabox kama yanakura au la?
 
kwani kabla ya kuanza kupiga kura hawahakiki mabox kama yanakura au la?
Baada ya kuhakiki ndio wakaziona huku Msimamizi akigoma kuziondoa kwa sababu ni maekekezo kutoka juu , Ndio maana Chadema inapigania Katiba Mpya , ambayo itafumulia mbali hawa Wakurugenzi wanaccm kuwa wasimamizi wa Uchaguzi , na kupukutisha hata Polisi kwenye vituo vya kura
 
Kazungumzia kusafirishwa na SSH. Sio kwenda yeye kama yeye.
Hata kama kichwani hamna kitu , Kiongozi wa Kimataifa , kaenda kwenye mkutano wa kimataifa alipiwe nauli na Samia ambaye ni kiongozi wa kanchi kamoja tu masikini kanakoitwa Tanzania ?

Halafu huu uzi ni wa wizi wa kura , kwanini mnataka uwe uzi wa Samia ?
 
Hahaha akili zenu ndio hapo zilipo gota..nenda kachukue buku 10 pale nyumba ya kupanga Ufipa
hujui lolote kuhusu historia ya TZ wewe ni nzi wa kijani mdogo kabisa. kama unafikiria ofisi ni kitu cha kujivunia sana mbona ccm ina ofisi mpaka kijijini kwenu na bado inaiba kura?
EPA, MEREMETA, RICHMOND, TEGETA ESCROW na maufisadi yote yalitokea wakati ccm ina ofisi mpaka vijijni huko mbona hamkuyazuia kama ofisi ni mali sana?
mmeuza mpaka mabenk kwa makaburu hizo ofisi zikiwepo.
Unaishia kuimba taarabu kama bi Khadija kopa akiwa chimwaga
 
Back
Top Bottom