Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,027
- 1,798
Yani hapa watanzania ndio mnanishangazaga sana! Hivi mpaka hapa mnamwambia nani maneno haya asiyejua kwamba hili ni tukio limefanywa na walio juu ya sheria na mwenendo mzima unaonesha kila kitu katika uhalisia wake?!
Hivi yanayotendeka Burundi mnadhani kuna aliyeyataka? Mnadhani kuna asiyetaka kufuata sheria?! Lakini huwa inafika mahala sheria inawekwa kando ili tatizo liondoke.
Siasa, mdomo, malalamiko hayataondoa hii hali tuliyoifikia sasa.
Hivi yanayotendeka Burundi mnadhani kuna aliyeyataka? Mnadhani kuna asiyetaka kufuata sheria?! Lakini huwa inafika mahala sheria inawekwa kando ili tatizo liondoke.
Siasa, mdomo, malalamiko hayataondoa hii hali tuliyoifikia sasa.