KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Blackperson

Member
Feb 29, 2024
61
36
Naandika kwa mara ya nne.

TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Afya nchini Tanzania walipata ufadhili na World Bank (WB) kuajiri watumishi wa afya ajira mkataba wa miaka mitatu.

Wamejitahidi kupeleka watumishi zaidi ya 270+ kwenye halmashauri mbalimbali Takriban 43.

Malalamiko yaliyopo na yanaendelea hadi muda huu.

Watumishi hawajalipwa mshahara kuanzia mwezi wa pili, tatu, nne wa tano unaenda wako makazini na wanafanya kazi katika vituo vya afya na zahanati mbalimbali nchini.

Je, ni lini TAMISEMI itafanya kuwasaidia watumishi hao kupata hela za mishahara yao.
 
Kwamba hizo Faranga zilishatoka Word Bank na watu wanaendelea kuzizungusha au kila mwezi ndio pesa inagonga akaunti....

Na kwanini hii iwe mkataba kwamba baada ya miaka mitatu watatafuta mfadhili mwingine au uhitaji kwa afya kwa jamii utakuwa umekwisha ?

Hii serikali yetu sarakasi nyingi sana...
 
Nilishaaminishwa na Watanzania kwamba nchini mwao Walimu ndo watu wanaonyanyaswa sana kuliko kada zingine, kumbe wapo na hawa wa afya? Mlionidanganya pumbavu zenu.
Yes kiukweli inauma viongozi wote wa kubwa wa Tamisemi wana hii taarifa ila suala halijapata ufumbuzi hadi muda huu
 
Kwamba hizo Faranga zilishatoka Word Bank na watu wanaendelea kuzizungusha au kila mwezi ndio pesa inagonga akaunti....

Na kwanini hii iwe mkataba kwamba baada ya miaka mitatu watatafuta mfadhili mwingine au uhitaji kwa afya kwa jamii utakuwa umekwisha ?

Hii serikali yetu sarakasi nyingi sana...
Hili suala Tuliwauliza walipotuita kwenye semina yao morogoro na hawakuwa na majibu.

Tumewaomba watupe ajira za kudumu hatuitaji Mkataba na Tamisemi.
 
Madam uzi umefika hapa, hili nalo wataliangalia.
Nimeandika mara ya Tano nimeona kabisa jamiiforum haiko na lengo la kunisaidia.

Maana niliomba wapost kwenye mitandao ya kijamii Juli kupush Hili suala ila suala langu limegonga mwamba mpaka nimepoteza imani na jf
 
TAMISEMI yenyewe ni jipu tambazi. Wizara ambayo imekua haiaeleweki ipo inaingia afya,elimu,mambo ya fedha, nk hata hao mawaziri wanachanganyikiwa
 
Nimeandika mara ya Tano nimeona kabisa jamiiforum haiko na lengo la kunisaidia.

Maana niliomba wapost kwenye mitandao ya kijamii Juli kupush Hili suala ila suala langu limegonga mwamba mpaka nimepoteza imani na jf
Jamii forum ni mtandao / platform wanachofanya ni wewe kukupa platform wigo wa kutoa dukuduku lako kama litasomwa au halitasomwa hio ni beyond their day to day activities (hata wakifanya itakuwa ni ziada) na since hii ni Jamii Forum huenda hata hao matapeli pia ni wanajamii hivyo wanaweza wakaona hii kitu wakajibu au wakatoa na upande wao wa shilingi

Jibu wanalowapa ni lipi pesa zitakuja au zimekwama wapi ? (Ila ndio hivyo huu ni utumwa mamboleo ukiuliza sana huchelewi kupigwa chini)
 
Jamii forum ni mtandao / platform wanachofanya ni wewe kukupa platform wigo wa kutoa dukuduku lako kama litasomwa au halitasomwa hio ni beyond their day to day activities (hata wakifanya itakuwa ni ziada) na since hii ni Jamii Forum huenda hata hao matapeli pia ni wanajamii hivyo wanaweza wakaona hii kitu wakajibu au wakatoa na upande wao wa shilingi

Jibu wanalowapa ni lipi pesa zitakuja au zimekwama wapi ? (Ila ndio hivyo huu ni utumwa mamboleo ukiuliza sana huchelewi kupigwa chini)
Tukiwauliza wanasema hela imekwama BOT.

Amezuia malipo mengi ya serikali Takribani mwezi.

Issue lini tatizo litakuwa solved hakuna jibu
 
TAMISEMI yenyewe ni jipu tambazi. Wizara ambayo imekua haiaeleweki ipo inaingia afya,elimu,mambo ya fedha, nk hata hao mawaziri wanachanganyikiwa
Sasa kwanini wanatesa watumishi was afya na wanahitaji watu hao wadeal na afya za watanzania
 
Back
Top Bottom