TAFAKURI CHOKONOZI: Namkumbusha Jenister Mhagama kuwa, ni kweli serikali ni ya Wachovu

Mtoi kama una ndoto za kugombea ubunge Lushoto sahau. Wana Lushoto wanamtaka mzawa halisi wa Lushoto, Sio wewe unaeshinda hapo Ufipa kuganga njaa
Samahani, nataka kujua tu, wewe ndo mmoja ya wale wanaochezesha ma.ta.ko wamevaa kanga huku wameimwagia maji, maarufu kama kanga moko? Maana hata comments zako mara nyingi zinakuwaga kama mcheza show ameshuka kwenye jukwaa kwa hasira baada ya kucheza bila kutuzwa. Nataka kujua tu..
 
Samahani, nataka kujua tu, wewe ndo mmoja ya wale wanaochezesha ma.ta.ko wamevaa kanga huku wameimwagia maji, maarufu kama kanga moko? Maana hata comments zako mara nyingi zinakuwaga kama mcheza show ameshuka kwenye jukwaa kwa hasira baada ya kucheza bila kutuzwa. Nataka kujua tu..


Untitled-11.jpg
Last emperor usipate taabu kwani ukiitazama hii picha vizuri, hutashindwa kumtambua laki si pesa!
 
Udini umekujaa muishiwa! Kapige hizo propaganda kwa wachovu wenzio wanaokulipa buku saba.

Mkuu.

Jamaa niwa ishiwa kwa ujinga wao wanadhani watanzania wa sasa unawemeza kidonge cha udini na propaganda zao chafu za ukabila.

Wamepigia chapuo ukanda na udini wakadhani wao watakuwa salama. Nilishangaa siku moja mtoto wa kigogo yuko on air anasema "...rais hawezi kutokea kaskazini.. " wamesahau kuwa mawaziri Wakuu karibu 80 walitokea kaskazini. Anzia Sokoine, Msuya, Sumaye, na Lowasa.

Leo wanapata wapi guts za kuwatenga na kuwabagua watu wa kaskazini wakati hata baraza la kwanza la JK asilimia 60 ya mawaziri na Manaibu wao wanaotokea Kaskazini?

Hawa jamaa niwa kupuuzwa. Badalaa ya kuangalia mambo in big picture wao wako busy na ubaguzi huku wananchi wakikosa huduma muhimu.
 
Mkuu.

Jamaa niwa ishiwa kwa ujinga wao wanadhani watanzania wa sasa unawemeza kidonge cha udini na propaganda zao chafu za ukabila.

Wamepigia chapuo ukanda na udini wakadhani wao watakuwa salama. Nilishangaa siku moja mtoto wa kigogo yuko on air anasema "...rais hawezi kutokea kaskazini.. " wamesahau kuwa mawaziri Wakuu karibu 80 walitokea kaskazini. Anzia Sokoine, Msuya, Sumaye, na Lowasa.

Leo wanapata wapi guts za kuwatenga na kuwabagua watu wa kaskazini wakati hata baraza la kwanza la JK asilimia 60 ya mawaziri na Manaibu wao wanaotokea Kaskazini?

Hawa jamaa niwa kupuuzwa. Badalaa ya kuangalia mambo in big picture wao wako busy na ubaguzi huku wananchi wakikosa huduma muhimu.

Muda wao unahesabika! Historia lazima iwahukumu.
 
Mtoi kama una ndoto za kugombea ubunge Lushoto sahau. Wana Lushoto wanamtaka mzawa halisi wa Lushoto, Sio wewe unaeshinda hapo Ufipa kuganga njaa

Hebu niambie na yule Decemba Makatani naye ni MZAWA HALISI?Umemchunguza vyema?Siyo mzazi wake mmoja anatoka kwa akina SENENE?

Kama hao unaowasemea wanataka MZAWA HALISI waambie kwa TANZANIA ya leo HAKUNA.................

Na mwisho JKN alisema aliyezoea kula nyama za watu haachi kamwe,hivyo ndivyo CCM mlivyo mlianza kuwabagua watu kwa dini yao,mmekuja kwa ukanda na ukabila na mwisho mtakulana nyie wenyewe huko CCM ..........
 
Hii si ndio mipango yenu iliyofail na nyimbo zenu mnazorudia rudia kila kukicha na mmewakalilisha wabunge wenu hata mawazo yao hayana nafasi tena wanaogopa kusema tofauti ili muwaite wasaliti.

Hivi unajua maana ya kutotawalika? Ni pamoja na majizi kuiba kwa mabilioni kisha hatua kushindwa kuchukuliwa,wanafunzi kurudishwa majumbani kwa serikali kushindwa kuwatunza ktk shule zake, kuwakopa hata wakulima na kushindwa kuwalipa huku mkiwakamata kwa kushindwa michango, vituo vya polisi kuvamiwa na kuporwa ,askari polisi kuchapwa makofi na kuporwa silaha kama watoto nk nk
 
Hii si ndio mipango yenu iliyofail na nyimbo zenu mnazorudia rudia kila kukicha na mmewakalilisha wabunge wenu hata mawazo yao hayana nafasi tena wanaogopa kusema tofauti ili muwaite wasaliti.

Wimbo kurudiwa rudiwa maana yake anayeimbiwa hajaelewa. Jee seikali hii huwa inaelewa inapokosolewa?
 
hata yule mpayukaji a.k.a msema hovyo a.k.a mropokaji a.k.a kichwa cha mwendawazimu, jana nilimsikia akikiri kwamba wamechoka. eti akaja na kiroja kwamba gari lako likichoka unalifanyia service..hahahah
hivi serikali unaweza ifananisha na gari?? hata kama "labda" unaweza, hivi alisahau gari likifanyiwa service haliwi na kiwango lililokuwa nalo? na hivi hajui ama anajitoa faham kwamba siyo kila gari lililochoka linafaa kufanyiwa service??
 
mtoi kama una ndoto za kugombea ubunge lushoto sahau. Wana lushoto wanamtaka mzawa halisi wa lushoto, sio wewe unaeshinda hapo ufipa kuganga njaa

mzee naona mr.mtoi kafikisha kisu kwenye mfupa,utajuta.serikali ya wachovu hii wanajua kusafiri tu.
 
Muishiwa Jenestina kajisahau anataka kupewa cheo cha uwaziri mkuu kabla ya october
 
Back
Top Bottom