Tafakari ya Mwanakijiji leo...

juma sal

Senior Member
Dec 18, 2011
156
88
Uongozi ni ushawishi. Uongozi siyo kutegeana, kutegeshana, kunyemeleana na kufukuzana. Na uongozi siyo vitisho au mikwara. Kiongozi anayeishi kwa vitisho ni kiongozi aliyeshindwa hoja. Hili ni kweli kwa vyama vile vile; chama kinachoishi kwa vitisho kimeshindwa hoja. Tafakari
 
Kama anakilenga chama cha democracy and development hiviiiiii...!!!!!!
 
Tuliza akili, msome kwa makini. Mara nyingi huyu Mkuu hutumia falsafa ya hali ya juu, wakati mwingine kumwelewa yahitaji kazi ya ziada!!
 
Not fully true, sisi huku kwenye Business Management tunatambua kwamba The duty to hire and fire is vested in the power of an executive, and a strong business executive is that who exercises his authority to fire rightly. Zaidi ni kwamba the only institution ambayo hata Mwenyezi Mungi amezuia kufukuzana ni kwenye ndoa ama sivyo kama kuna mtu analeta ushenzi fukuzia mbali kabisa, Mungu Mwenyewe alimfukuzia Mbali Lucifer kutoka Mbinguni, does it mean He failed on His leadership role??

Tuzichunguze hisia zetu wakati mwingine.
 
Tuliza akili, msome kwa makini. Mara nyingi huyu Mkuu hutumia falsafa ya hali ya juu, wakati mwingine kumwelewa yahitaji kazi ya ziada!!

Ni kweli uyu kwa wale ambao sio wavivu wa kusoma tunamfaamu uwezo na falsafa zake. Ila huwa najiuliza inakuaje aina ya watu kama MMK ana uwezo wa kuifanyia analysis taasisi mf. Vyama vya siasa na akatoa ushauri mzuri tuu lakini mpe hata kata ama taasisi ya watu kumi kama ataweza kuiongoza, nliwahi soma sehemu Ngugi wa Thiong'o hata familia yake ilimshinda kuongoza, pia profile ya Karl Marx inaonesha pamoja na kuwa father of communism yet he did nothing to his family, walikufa kwa njaa.. Yupo Dr Lweitama UDSM anajua sana kufanya analysis na kukosoa sana serikali lakini nakumbuka alikua hawezi kuorganize wanafunzi wakati wa seminar udsm hata modules ilikua ni tatizo.. Au ndio tuamini msemo wa waswahili.. Mungu hakupi vyote?
 
Zitto Kabwe


Uongozi ni ushawishi. Uongozi siyo kutegeana, kutegeshana, kunyemeleana na kufukuzana. Na uongozi siyo vitisho au mikwara. Kiongozi anayeishi kwa vitisho ni kiongozi aliyeshindwa hoja. Hili ni kweli kwa vyama vile vile; chama kinachoishi kwa vitisho kimeshindwa hoja. Tafakari - MwanaKijiji

Source: Facebook



Like · · Share · 13 minutes ago via mobile ·
 
Ni kweli uyu kwa wale ambao sio wavivu wa kusoma tunamfaamu uwezo na falsafa zake. Ila huwa najiuliza inakuaje aina ya watu kama MMK ana uwezo wa kuifanyia analysis na akatoa ushauri mzuri tuu lakini mpe hata kata ama taasisi ya watu kumi kama ataweza kuiongoza, nliwahi soma sehemu Ngugi wa Thiong'o hata familia yake ilimshinda kuongoza, pia profile ya Karl Marx inaonesha pamoja na kuwa father of communism yet he did nothing to his family, walikufa kwa njaa.. Yupo Dr Lweitama UDSM anajua sana kufanya analysis na kukosoa sana serikali lakini nakumbuka alikua hawezi kuorganize wanafunzi wakati wa seminar udsm hata modules ilikua ni tatizo.. Au ndio tuamini msemo wa waswahili.. Mungu hakupi vyote?

Hapana, ni katabia ka walio nje ya uwanja mkuu, Mungu katuka kila kitu.
 
Hah hah hah hah hah! Nakuonea huruma Willy na rafiki yako Zitto! Amevuna alichopanda na kwa ccm ambayo imekuwa ikimpa sapoti wote mmeumia! Huu ujumbe uliotuwekea hapa ni kipimo cha maumivu mliyoyapata!
 
Last edited by a moderator:
Ipo thread nyingine kama hii naomba mode iondoeni hii tubaki na ile ambayo imeshaanza kuchangiwa
 
Mods weka kule kwenye post ingine. Na nimeishaelekeza kwamba hii ni dhana mfirisi na isiyo na mashiko.
 
Ni kweli uyu kwa wale ambao sio wavivu wa kusoma tunamfaamu uwezo na falsafa zake. Ila huwa najiuliza inakuaje aina ya watu kama MMK ana uwezo wa kuifanyia analysis taasisi mf. Vyama vya siasa na akatoa ushauri mzuri tuu lakini mpe hata kata ama taasisi ya watu kumi kama ataweza kuiongoza, nliwahi soma sehemu Ngugi wa Thiong'o hata familia yake ilimshinda kuongoza, pia profile ya Karl Marx inaonesha pamoja na kuwa father of communism yet he did nothing to his family, walikufa kwa njaa.. Yupo Dr Lweitama UDSM anajua sana kufanya analysis na kukosoa sana serikali lakini nakumbuka alikua hawezi kuorganize wanafunzi wakati wa seminar udsm hata modules ilikua ni tatizo.. Au ndio tuamini msemo wa waswahili.. Mungu hakupi vyote?

huyo mzee nakumbuka alitusumbua sana kwenye seminar za CL, hasomeki na mkurupukaji siku zote.
 
Hapana, ni katabia ka walio nje ya uwanja mkuu, Mungu katuka kila kitu.

Hahaa ni kweli mkuu,nakubali..huwa nashauri vijana wangu kila leo the world is more than appearance, the reality is within inner canopy...ndio maana tunachagua wanasiasa wenye maneno bila kujua kuongea nao ni uwezo mwingine na kuongoza pia ni uwezo mwingine.
 
Lakini sio lazima majibu yooote ya maisha yatoke kwa mtu mmoja. Wakati mwingine personal strength and weaknesses is what cause some people to hire others to help in areas where they realize they lack. Mwenye mawazo atoe mawazo. Mwenye kuweza biashara afanye bashara vizuri. What matters is whether there is a demonstration of excellency in whatever you are doing.
 
Zitto Kabwe


Uongozi ni ushawishi. Uongozi siyo kutegeana, kutegeshana, kunyemeleana na kufukuzana. Na uongozi siyo vitisho au mikwara. Kiongozi anayeishi kwa vitisho ni kiongozi aliyeshindwa hoja. Hili ni kweli kwa vyama vile vile; chama kinachoishi kwa vitisho kimeshindwa hoja. Tafakari- MwanaKijiji

Source: Facebook



Like · · Share · 13 minutes ago via mobile ·
Hapa mnamtambulisha Mwanakijiji kama mmoja ya watu wanafiki waliopata kutokea kwenye taifa letu, Mbona wakati CCM inashinikizwa kuwafukuza akina Lowasa,Rostamu,Chenge & Co haiukuonekana kwamba inashinikizwa kufanya mambo yanayopaswa kufanywa na walioshindwa kwa hoja.

Mwisho wa Taifa letu kuongozwa kwa nguvu za fear of the unknown umefikia mwisho, Upanga umeishainuliwa, Mwenye ubavu asogee mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom