wakuu sijaona ule mkanda wa soweto kama kaonesha au hata kamati kuu yake haiamini basi apeleke kanisani.
CDM kesho mtatoa tamko lingine maana nyie kwa matamko ni nambari one. Kila kukicha matamko. Je kamati kuu kimeridhika na tabia baadhi ya viongozi wa CDM kusababisha vurugu?