Wana JF.
Kwa muda mrefu, mgombea mmoja ambaye jina lake halikufika hata kwenye tano bora amekuwa akifanya harambee makanisani na misikitini na kutoa michango mikubwa mikubwa. Amekuwa akitoa michango hiyo huku akidai kuwa anachangiwa na marafiki zake.
Swali langu ni je, mtanzania huyu na marafiki zake wenye moyo wa kuchangia katika nyumba za ibada wataendelea na moyo huo huo au ndo mission imeisha?
Kwa muda mrefu, mgombea mmoja ambaye jina lake halikufika hata kwenye tano bora amekuwa akifanya harambee makanisani na misikitini na kutoa michango mikubwa mikubwa. Amekuwa akitoa michango hiyo huku akidai kuwa anachangiwa na marafiki zake.
Swali langu ni je, mtanzania huyu na marafiki zake wenye moyo wa kuchangia katika nyumba za ibada wataendelea na moyo huo huo au ndo mission imeisha?