Swala la Dkt. Slaa mimi ningekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,596
8,636
Ningekuwa Rais,

Nisingejishughulisha na swala Dkt. Slaa kitendo cha kujishughulisha na suala la Dkt. Slaa ni kuonyesha alichokisema kinaikosoa Serikali!.

Dkt. Slaa ni Mwanasiasaa mwenye uharakati kwakumvua adhi ya ubalozi unampa uwanja wakuongea hata yake ambayo asingeyaongea kwa kuwa na kinga yake Ubalozi.

Swala la DPW ni swala mtambuka halihitaji ushauri wa kisiasa, hawa waliokushauri leo umvue ubalozi nakili kwa kusema kuwa wamekosea sana! Ningekuwa mimi ningemrudishia ubalozi nakumpangia kituo haraka!.

Mawazo yangu.
 
Ningekuwa Rais,

Nisingejishughulisha na swala Dkt. Slaa kitendo cha kujishughulisha na suala la Dkt. Slaa ni kuonyesha alichokisema kinaikosoa Serikali!.

Dkt. Slaa ni Mwanasiasaa mwenye uharakati kwakumvua adhi ya ubalozi unampa uwanja wakuongea hata yake ambayo asingeyaongea kwa kuwa na kinga yake Ubalozi.

Swala la DPW ni swala mtambuka halihitaji ushauri wa kisiasa, hawa waliokushauri leo umvue ubalozi nakili kwa kusema kuwa wamekosea sana! Ningekuwa mimi ningemrudishia ubalozi nakumpangia kituo haraka!.

Mawazo yangu.
Alisema atakaa kimya naona anajibu kwa vitendo.
 
Wanajeshi wetu Na sasa waamke toka usingizini Kama wenzao wa Niger Na Gabon... ndipo tulipo fiki kwa sasa...Na ndicho tunachotamani wafanye... Makomandoo njooni basi Kama mnavyoitwa JWTZ... au Ni KDF au UPDF ? Njooni muiokoe nchi... wananchi tunawalilia...
Jeshi la sisiyemu
 
Bado najiuliza huyu alipewa $ ngapi kwenye ili sakata mpaka amepambana nalo kiasi hiki?
Rushwa mbaya, wanzibar wanaimaliza Tanganyika na wa-Tanganyika.
Kumbuka ya Rukhusa na mke wake, sasa huyu
 
Back
Top Bottom