Mhandisi Mzalendo JF-Expert Member Aug 23, 2010 6,232 10,234 May 4, 2024 #2 Nasimama na kijana unit 13 zinatosha kwa taa.
Faana JF-Expert Member Dec 12, 2011 32,261 33,989 May 4, 2024 #3 Kiswahili lugha yangu tamu kama ziwa la mama unakwenda wapi wakati dunia imeanza kukutamani?
CriSanToS JF-Expert Member Feb 16, 2024 724 1,789 May 4, 2024 #4 "Kijana sijui hunatafuta nini humekaa kwenye hichi chumba. " Mama atakuwa mkabila gani huyo????
Sakasaka Mao JF-Expert Member Sep 29, 2016 10,312 12,463 May 4, 2024 #5 Mjanja M1 said: View attachment 2980452 Click to expand... Mama mwenye nyumba kabila lake kanda pendwa nini? 'Hu' kazitumia kijinga jinga sana katika kujenga hoja zake. Inaonekana gharama za matumizi ya umeme kazipandisha juu kwa juu bila ya kumshirikisha mpangaji wake ambaye mwanzoni inaonekana walikubaliana elfu5! Tatizo hili la kudharau wapangaji wanalo wenye nyumba wengi sana.
Mjanja M1 said: View attachment 2980452 Click to expand... Mama mwenye nyumba kabila lake kanda pendwa nini? 'Hu' kazitumia kijinga jinga sana katika kujenga hoja zake. Inaonekana gharama za matumizi ya umeme kazipandisha juu kwa juu bila ya kumshirikisha mpangaji wake ambaye mwanzoni inaonekana walikubaliana elfu5! Tatizo hili la kudharau wapangaji wanalo wenye nyumba wengi sana.
fundi bishoo JF-Expert Member Jun 26, 2018 13,196 23,067 May 4, 2024 #6 CriSanToS said: "Kijana sijui hunatafuta nini humekaa kwenye hichi chumba. " Mama atakuwa mkabila gani huyo???? Click to expand... labda mama mwenye nyumba ni muhabeshii
CriSanToS said: "Kijana sijui hunatafuta nini humekaa kwenye hichi chumba. " Mama atakuwa mkabila gani huyo???? Click to expand... labda mama mwenye nyumba ni muhabeshii
P Perth Member Feb 11, 2024 63 99 May 4, 2024 #7 Amuwekee mita yake,mambo ya dar kushare umeme hapana jameni,kila mtu ajilipie umeme wake.