mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,425
- 37,134
Kuna watu walionekana wana IQ kubwa kumbe ni vilaza wa kutupa, kuna wengine tuliwachukulia poa kumbe kichwani zimo.
Tumeshawajua vilaza wa Taifa na vipanga wa Taifa.
Mtu anadiriki kusema kuwa wengine wanahoji kuhusu bandari wakati hawapajui bandarini,mwingine anahoji kuwa bsndari ilianzishwa na waarabu so tuwaache, stupid
Tumeshawajua vilaza wa Taifa na vipanga wa Taifa.
Mtu anadiriki kusema kuwa wengine wanahoji kuhusu bandari wakati hawapajui bandarini,mwingine anahoji kuwa bsndari ilianzishwa na waarabu so tuwaache, stupid