Stendi ya Nyamhongolo yaelekea kuwa mahame

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
443
866
Nia ya Serikali ilikuwa nzuri sana kujenga Stendi ya Nyamhongolo ili iweze kuwahudumia wasafiri wote wanaoelekea upande wa Musoma, Sirari/Tarime, Bariadi, Maswa na maeneo yote ya upande huo. Serikali imeweka huduma zote zikiwapo Mabenki, Maduka, mahoteli, vyoo, ghorofa yenye vyumba vya kulala wageni n.k.

Leo nimetembelea katika Stendi hiyo niliyoyakuta yamenishangaza sana. Karibu asilimia 50 ya maduka yamefungwa kwa kukosa wateja. Stendi ina watu wachache sana utadhani uko stendi ya Misungwi.

Nilipowauliza kulikoni wakanieleza kuwa Serikali ingejenga stendi moja kubwa inayowahudumia wasafiri wote katika Jiji hilo na wazo la kujenga stendi mbili ya Nyegezi na Nyamhongolo halikuwa wazo jema. Kwa Mwanza Stendi ya Nyegezi ndiyo stendi inayojaza wasafiri kwa sababu wasafiri wote wanaoelekea njia ya Dar, Morogoro, Dodoma wanalala maeneo ya jirani na stendi na ni wengi hivyo stendi hiyo ina watu wengi kuliko stendi ya Nyamhongolo.

Ni vema Serikali ya Mkoa wa Mwanza ikawa na mpango wa kuhakikisha kuwa stendi zote zinapata mabus na abiria kwa kuhakikisha kuwa mabus mengine yanayoelekea Dar, Morogoro, Dodoma yanalala stendi ya Nyamhongolo vinginevyo stendi ya Nyamhongolo itaelekea kuwa mahame na wengi wa wafanyabiashara tayari wamekwishaihama.
 
Nia ya Serikali ilikuwa nzuri sana kujenga Stendi ya Nyamhongolo ili iweze kuwahudumia wasafiri wote wanaoelekea upande wa Musoma, Sirari/Tarime, Bariadi, Maswa na maeneo yote ya upande huo. Serikali imeweka huduma zote zikiwapo Mabenki, Maduka, mahoteli, vyoo, ghorofa yenye vyumba vya kulala wageni n.k. Leo nimetembelea katika Stendi hiyo niliyoyakuta yamenishangaza sana. Karibu asilimia 50 ya maduka yamefungwa kwa kukosa wateja. Stendi ina watu wachache sana utadhani uko stendi ya Misungwi. Nilipowaliza kulikoni wakanieleza kuwa Serikali ingejenga stendi moja kubwa inayowahudumia wasafiri wote katika Jiji hilo na wazo la kujenga stendi mbili ya Nyegezi na Nyamhongolo halikuwa wazo jema. Kwa Mwanza Stendi ya Nyegezi ndiyo stendi inayojaza wasafiri kwa sababu wasafiri wote wanaoelekea njia ya Dar, Morogoro, Dodoma wanalala maeneo ya jirani na stendi na ni wengi hivyo stendi hiyo ina watu wengi kuliko stendi ya Nyamhongolo. Ni vema Serikali ya Mkoa wa Mwanza ikawa na mpango wa kuhakikisha kuwa stendi zote zinapata mabus na abiria kwa kuhakikisha kuwa mabus mengine yanayoelekea Dar, Morogoro, Dodoma yanalala stendi ya Nyamhongolo vinginevyo stendi ya Nyamhongolo itaelekea kuwa mahame na wengi wa wafanyabiashara tayari wamekwishaihama.
Kwanza kabisa unatakiwa kujua kuwa siku zote Mwanza kumeku wa na stendi mbili (Nyegezi na Buzuruga) hiyo ni kutokana na geographic ya Jiji lenyewe, wakazi na mahitaji ya halisi ya watu.

Pili, hakuna basi inayokatazwa kuanza au kuishia kwenye stendi yoyote, basi inaweza kwenda Dar au kokote kule ikianzia safari yake Nyamhongolo au Nyegezi na ikatoka Dar au kokote kule na ikaishia Nyamhongolo au Nyegezi(Hapa ni suala la ubunifu).

Tatu, biashara ni suala la ubunifu kati ya wafanyabiashara na mamlaka husika. Kama watu tunaweza kutoka kisesa tukaenda viwanja vya mbali kuvuka city centre Inawezekana watu wakaja maeneo ya Nyamhongolo na hata kuzidi(Nashauri ubunifu).
 
Nia ya Serikali ilikuwa nzuri sana kujenga Stendi ya Nyamhongolo ili iweze kuwahudumia wasafiri wote wanaoelekea upande wa Musoma, Sirari/Tarime, Bariadi, Maswa na maeneo yote ya upande huo. Serikali imeweka huduma zote zikiwapo Mabenki, Maduka, mahoteli, vyoo, ghorofa yenye vyumba vya kulala wageni n.k. Leo nimetembelea katika Stendi hiyo niliyoyakuta yamenishangaza sana. Karibu asilimia 50 ya maduka yamefungwa kwa kukosa wateja. Stendi ina watu wachache sana utadhani uko stendi ya Misungwi. Nilipowaliza kulikoni wakanieleza kuwa Serikali ingejenga stendi moja kubwa inayowahudumia wasafiri wote katika Jiji hilo na wazo la kujenga stendi mbili ya Nyegezi na Nyamhongolo halikuwa wazo jema. Kwa Mwanza Stendi ya Nyegezi ndiyo stendi inayojaza wasafiri kwa sababu wasafiri wote wanaoelekea njia ya Dar, Morogoro, Dodoma wanalala maeneo ya jirani na stendi na ni wengi hivyo stendi hiyo ina watu wengi kuliko stendi ya Nyamhongolo. Ni vema Serikali ya Mkoa wa Mwanza ikawa na mpango wa kuhakikisha kuwa stendi zote zinapata mabus na abiria kwa kuhakikisha kuwa mabus mengine yanayoelekea Dar, Morogoro, Dodoma yanalala stendi ya Nyamhongolo vinginevyo stendi ya Nyamhongolo itaelekea kuwa mahame na wengi wa wafanyabiashara tayari wamekwishaihama.
Mkuu sidhani kama uko sahihi na huenda si mkazi wa Mwanza, stendi ya Buzuruga imekuwepo miaka na miaka ikihudimia wananchi hao hao uliowataja na leo hii imehamishiwa Nyamhongolo ife wakati Nyamhongolo ndo Buzuruga?

Jiulize kwanini Buzuruga bus stand haikuwahi kuwa mahame na kwanini Nyamhongolo iwe mahame?
 
Acha uongo we mtoa mada .. nyamhongolo sasa hiv inahudumia Hadi magari ya dodoma ......
Hayo maduka unayosema yamekuwa mahame yako wapi
Hayo ni mabasi ya kuelekea dodoma..ya saa 12 jioni yanaondokea nyamhongolo
20240503_103812.jpg
 
Ila wewe ni muongo muongo tu unaonekana, hiyo nyamhongolo ndo mbadala wa buzuruga na pamechangamka siku zote na maduka yapo kama kawaida watu wanapata huduma. Wewe unasema itakuwa mahame, wataka kusema zile champions, kisire, zakaria, George Town, na zingine zingi zinapak nyegezi?
 
Nia ya Serikali ilikuwa nzuri sana kujenga Stendi ya Nyamhongolo ili iweze kuwahudumia wasafiri wote wanaoelekea upande wa Musoma, Sirari/Tarime, Bariadi, Maswa na maeneo yote ya upande huo. Serikali imeweka huduma zote zikiwapo Mabenki, Maduka, mahoteli, vyoo, ghorofa yenye vyumba vya kulala wageni n.k.

Leo nimetembelea katika Stendi hiyo niliyoyakuta yamenishangaza sana. Karibu asilimia 50 ya maduka yamefungwa kwa kukosa wateja. Stendi ina watu wachache sana utadhani uko stendi ya Misungwi.

Nilipowauliza kulikoni wakanieleza kuwa Serikali ingejenga stendi moja kubwa inayowahudumia wasafiri wote katika Jiji hilo na wazo la kujenga stendi mbili ya Nyegezi na Nyamhongolo halikuwa wazo jema. Kwa Mwanza Stendi ya Nyegezi ndiyo stendi inayojaza wasafiri kwa sababu wasafiri wote wanaoelekea njia ya Dar, Morogoro, Dodoma wanalala maeneo ya jirani na stendi na ni wengi hivyo stendi hiyo ina watu wengi kuliko stendi ya Nyamhongolo.

Ni vema Serikali ya Mkoa wa Mwanza ikawa na mpango wa kuhakikisha kuwa stendi zote zinapata mabus na abiria kwa kuhakikisha kuwa mabus mengine yanayoelekea Dar, Morogoro, Dodoma yanalala stendi ya Nyamhongolo vinginevyo stendi ya Nyamhongolo itaelekea kuwa mahame na wengi wa wafanyabiashara tayari wamekwishaihama.
Huijui Mwanza
 
Sio rahisi kukosa mabasi ingawa biashara ya maduka inaweza kuwa ngumu kwa sababu watu wengi wanafika na kuondoka kwani ni ruti fupi fupi tu.
 
Nia ya Serikali ilikuwa nzuri sana kujenga Stendi ya Nyamhongolo ili iweze kuwahudumia wasafiri wote wanaoelekea upande wa Musoma, Sirari/Tarime, Bariadi, Maswa na maeneo yote ya upande huo. Serikali imeweka huduma zote zikiwapo Mabenki, Maduka, mahoteli, vyoo, ghorofa yenye vyumba vya kulala wageni n.k.

Leo nimetembelea katika Stendi hiyo niliyoyakuta yamenishangaza sana. Karibu asilimia 50 ya maduka yamefungwa kwa kukosa wateja. Stendi ina watu wachache sana utadhani uko stendi ya Misungwi.

Nilipowauliza kulikoni wakanieleza kuwa Serikali ingejenga stendi moja kubwa inayowahudumia wasafiri wote katika Jiji hilo na wazo la kujenga stendi mbili ya Nyegezi na Nyamhongolo halikuwa wazo jema. Kwa Mwanza Stendi ya Nyegezi ndiyo stendi inayojaza wasafiri kwa sababu wasafiri wote wanaoelekea njia ya Dar, Morogoro, Dodoma wanalala maeneo ya jirani na stendi na ni wengi hivyo stendi hiyo ina watu wengi kuliko stendi ya Nyamhongolo.

Ni vema Serikali ya Mkoa wa Mwanza ikawa na mpango wa kuhakikisha kuwa stendi zote zinapata mabus na abiria kwa kuhakikisha kuwa mabus mengine yanayoelekea Dar, Morogoro, Dodoma yanalala stendi ya Nyamhongolo vinginevyo stendi ya Nyamhongolo itaelekea kuwa mahame na wengi wa wafanyabiashara tayari wamekwishaihama.
Stendi ni kwa ajili ya wasafiri sio wafanya biashara, hayo maduka ni ziada. Kama wamefunga shauri yao. Kwa ufupi hiyo ndio safi sio stendi inakuwa imebanana kama mpo sokoni. Wafanyabiashara waende masokoni stendi zibaki kama kituo cha wasafiri kama ilivyo kwa nchi zilizoendelea. Sio kila sehemu unawaza maduka tu.
 
Serikali ikitaka standi ya Nyamhongolo iwe business hub ya Jiji la Mwanza lazima iifunge stand ya Nata pasiwepo na bus lolote linalopark au kupakia abiria katika stand ndogo ya Nata
Nata hakuna stendi, sema Kuna ofisi za mabasi mengi. Ofisi kama hizo zipi hata kule Nyegezi nje ya stendi.
 
CHADEMA imetuzalishia kizazi kilalamishi! Hakika Tanzania tuna uhaba wa vijana. Jana tu kuna mdau kupost analalamika kwamba Nyegezi iliweka pabaya lingetafutwa eneo kubwa kama ilivyo kwa Nyamhongolo sasa leo kuna kenge tena nyingine inalalamikia stendi ya Nyamhongolo! CHADEMA nyoko zenu kabisa!
 
Naona mangosha mnabishana TU😊😊

Mwanza kitambo aisee nasikia mwanza _ Dar es salaam fare Ni 100,000/=

Nimesikia mabasi yanayo sifika mwanza_ Dar es salaam Ni katalama, frister, happy nation, zuberi..

Kitambo Sana nimepa miss home
 
Back
Top Bottom