SPECIAL THREAD: Kufungwa kwa vituo vya mafuta nchini kwa kutokuwa na mashine za EFD

Hajakurupuka. Niutaratibu tu wa kuhakikisha wote tunalipa kodi.
we nae umekurupuka kujibu usilolijua watu kama nyie lazima mfamishwe, kuna mazungumzo yalikua yanaendelea kati ya Tpsoa (wamiliki wa shell) na serikali kuhusu bei za izo mashine ambazo kila mashine kwa pump moja ni usd 3000 kama shell yako ina pump 6 kwahiyo itakupasa ulipe usd 3000 x 6. wamiliki wa vituo wakaomba wapunguziwe kwa sababu bei iko juu wakaomba walipe usd 900 kwa kila pump au hiyo dollar 3000 ilipwe kwa kituo kizima haijalishi shell yako ina pump 2 au 6 nk..., na mwisho wa mazungumzo serikali (TRA Pamoja na ofisi ya waziri wa fedha na waziri wa nishati na madini wakawa wamekubaliana watakutana tena baada ya miezi 3 ili kufikia muafaka na walisisitiziwa wamiliki wa vituo kila kituo kiwe efd machine izi za kawaida ili kila atakae nunua mafuta atolewe receipt). sasa hawajaitisha kikao tena ndo vituo vinafungwa na vinalazimishwa kununua mashine kwa bei ya usd 3000 kwa kila kituo
 
Ukuti ukuti wa........... Malizieni huo wimbo mtamjua vizuri waziri

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Acha upuuzi wewe, kinachotakiwa ni watu kulipa kodi sio mazungumzo, nimeanza kupewa risiti ya efd kwenye vituo vya mafuta Dar zaidi ya mwaka mmoja uliopita, hao wanaofanya mazungumzo ni kina nani? mbona wengine wanatoa risiti
Issue sio risiti za EFD, issue ni ku automate risiti hizo za EFD na pump; yaani kama una nunua mafuta ya laki, jamaa atakapo press laki kwenye pump na risiti itoke hivyo, wengi wao wanaingiza laki manually kwenye machine na hicho ndicho walicho kua kwenye mazungumzo.
 
Habari wanaJF,

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Bi. Christina Mndeme amevifunga vituo nane vya kuuza mafuta kati ya tisa alivyokagua baada ya kubaini havitumii Mashine za Risiti za Kielektroniki (EFD).

Screenshot from 2017-07-14 12-28-00.png

======

Ripoti kutoka jijini Mwanza leo vituo zaidi ya 10 vya Mafuta vimefungwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), vilikuwa havitoi risiti za EFD.

Screenshot from 2017-07-14 15-03-20.png
 
Hii ni kaz ya Mkuu Wa wilaya ,?

Sent from my Lenovo A1000 using JamiiForums mobile app
 
Haya makampuni yanayofungiwa wametaka wenyewe. Wamepewa muda wa kutosha. Mengi ndo yale hakuna yakhe

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Unajua mkuu hali uchumi na biashara kununua mashine moja milioni 5 sasa ukiwa una pump sita milioni 30.
Tuache ujanjaujanja, magumashi, .Pumhp sita maana yake biashara ni kubwa.
Benki wanakopesha. Thelathini kitu gani? Tuache ukanjanja. Ndiyo maana DSM ikaitwa fish village of DSM.
 
Ukwepaji wa kodi ni kitu mbaya inarudisha maendeleo nyuma.Solution siyo kufunga vituo turekebisha mfumo wetu wa kujusanya kodi katika sekta hiyo.
Kwa nini hawa Operators wa vituo vya mafuta wasifanye upfront payment ya kodi wanunuapo mafuta toka depots na wao wanapouza mafuta ile kodi inayolipwa na wateja iwe yao..???
Wazo zuri sana na nakubaliana na wewe mkuu

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Watanyooka mwaka huu ingekuwa mimi ningewapa kazi jkt waliomaliza mafunzo kufanya kazi kwa niaba ya tra kuhakikisha kila anaye uza na kununua anapata risiti na ya elektroniki

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Uchumi ukirudi nyuma wanaanza kutafuta mchawi!!!......kwa pressure hiyo Acha wavuruge nchi kwa matamko y kipumbavu!!.....automation wameshakubaliana....sio Kwamba hawana EFD Nooo wao wanataka automation...lakini risiti EFD Zipo!! Wanaaharibu nchi!!

Inaonekana wewe ni mtaalamu sana wa uchumi kuliko walioamua kufunga hizo petrol station. Lakini tukienda mbele na kurudi nyuma, habari hii ni ya toka mwaka jana. entertaining these excuses you are demoralizing those who have installed automation machines
 
Petrol station zote ambazo hazina mashine za kutoa risiti za TRA zimefungwa. Vyombo vya moto vingi vimekwama kufanya biashara kwa kukoswa mafuta. Kwingineko vipi jamani.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom