Special thread: Chloride exide batteries

bmk

JF-Expert Member
Jan 27, 2015
571
857
Habari za Mda huu,

Karibu katika page ya CHLORIDE EXIDE, Page itakayokupa maelezo zaidi kuhusu:

1. Utambulisho Na Maelezo kifupi kuhusu Kampuni ya chloride exide.
2. Matumizi ya battery kwenye gari yako.
3. Huduma zipatikanazo kutoka CHLORIDE EXIDE.

CHLORIDE EXIDE ni kampuni inayozalisha batteries za magari pamoja na battery za solar, kiwanda hiki cha battery kipo nchini kenya katika jiji la nairobi, kikiwa na branch yake hapa nchini tanzania katika mikoa mnne yaani Dar, Arusha,Mwanza Na Mbeya.

Kwa hapa Dar tupo Barabara ya Shekilango mataa njia ya kwenda ubungo bus stand, katika jengo la millenium business park, tumepakana na ofisi ya TRA Manzese branch

Hapa Tunauza battery kwa jumla na rejareja, zaidi sana tunatoa huduma ya kufunga na kucheki battery yako BURE KABISA (Haijalishi ni battery yetu ama si yetu)

Tuna mawakala wakubwa na wadogo wote hawa tunafanya kazi kwa pamoja hasa katika kumhudumia mteja na kuhakikisha anapata huduma murua na yenye ubora.

AINA ZA BATTERY NA MATUMIZI YAKE:
Tuna aina mbili za batteries nazo ni battery zinazoongezwa maji na battery zisizoongezwa maji maarufu kama dry cell au MF.

i. Battery zinazoongezwa maji

upload_2017-12-4_18-42-3.png

upload_2017-12-4_18-42-24.jpeg

Hizi ni battery ambazo zinawekwa maji, na yaani unapoanza kutumia battery unaweka maji makali ama kwa jina maarufu ACID,(iliyopo kwenye chupa ya rangi nyekundu)

battery hii inapaswa kuangalia mara kwa mara ili yakipungua basi unaongeza maji baridi(distilled water), HAPA hauruhusiwi kumwaga maji ya battery kwani ukimwaga unaharibu battery.


ii. Battery zisizoongezwa Maji (DRYCELL/ MF BATTERIES)

Hizi ni battery ambazo tayari zina maji ndani, hivyo zinakuwa tayari kwakufunga kwenye gari yako, battery hizi huwa nasema zimetengenezwa kwa watu wavivu, yaani wenye mambo mengi na wasiopata mda wa kucheki battery mara kwa mara, kwa sasa battery hizi watu wengi wanazipenda sana.
upload_2017-12-4_18-54-14.png


Kwa maelezo zaidi waweza pitia

Kwa Maelezo zaidi: Wasiliana Nasi kwa: 0757848484 0715755555

MORE UPDATES TO COME....
 
Ninalo hilo la exide ya maji,vipi kuhusu kuongeza acid au maji yasiyokuwa ya kampuni ya exide kuna shida gani?
 
Labda ungesema kwa gari kubwa. But mostly kwa gari ndogo below 2000CC zinatumika dry cell na kuna size nyingine unaweza pata shida sana kupata ya maji mfano N40. Zipo but mostly wanatoa sana Dry. Tatizo la battery ya maji pia masuala ya kujazia maji n.k. watu wengi hawapendi kufuatilia issues kama hizo. Mi nataka nifunge battery then i shouldnt worry abt other stuff.

dry cell upuuzi mtupu ukisha boost mara moja ndio basi tena maisha yako yatakuwa yakubooat tu....

ila haya ya maji ndio ya kizaman ila ni roho ya paka
.
 
dry cell upuuzi mtupu ukisha boost mara moja ndio basi tena maisha yako yatakuwa yakubooat tu....

ila haya ya maji ndio ya kizaman ila ni roho ya paka
.
mpaka kufikia kuboost eiza gari yako inamatumizi makubwa/mengi ya umeme zaidi ya uwezo au battery lenyewe bovu.
Labda ungesema kwa gari kubwa. But mostly kwa gari ndogo below 2000CC zinatumika dry cell na kuna size nyingine unaweza pata shida sana kupata ya maji mfano N40. Zipo but mostly wanatoa sana Dry. Tatizo la battery ya maji pia masuala ya kujazia maji n.k. watu wengi hawapendi kufuatilia issues kama hizo. Mi nataka nifunge battery then i shouldnt worry abt other stuff.
 
kumbuka kuna mistakes ndogo ndogo kama kusahau kuzima fog lights.... kusahau kuzima taa ya kwenye boot au ya ndani hizi huwa hazipigi alarm hata ukisahau kuzizima

na baadhi ya magari lock ya mlango ikiwa na tatizo inawasha taa za ndani ya gari na ikiwa ni mchana ni ngumu kugundua kuwa taa zinawaka

watoto mara nyingi huchangia katika kuuwa gari huchelewi kuwakuta wamewasha radio gari ikiwa switch On

na kama ikitokea mistake moja ya hivyo kwa batery ya dry cell ndio andika maumivu... naongea haya kwa yaliyonikuta ila tangu nimeshift to hizi za maji sijawahi kuchange tena
mpaka kufikia kuboost eiza gari yako inamatumizi makubwa/mengi ya umeme zaidi ya uwezo au battery lenyewe bovu.
 
kumbuka kuna mistakes ndogo ndogo kama kusahau kuzima fog lights.... kusahau kuzima taa ya kwenye boot au ya ndani hizi huwa hazipigi alarm hata ukisahau kuzizima

na baadhi ya magari lock ya mlango ikiwa na tatizo inawasha taa za ndani ya gari na ikiwa ni mchana ni ngumu kugundua kuwa taa zinawaka

watoto mara nyingi huchangia katika kuuwa gari huchelewi kuwakuta wamewasha radio gari ikiwa switch On

na kama ikitokea mistake moja ya hivyo kwa batery ya dry cell ndio andika maumivu... naongea haya kwa yaliyonikuta ila tangu nimeshift to hizi za maji sijawahi kuchange tena


Ni kweli hutokea matatizo kama hayo lakini, hii inatokana na kufunga battey isiyo sahihi kwenye gari lako, kwa mfano unaweza kufunga N70(Dry/wet) kwenye gari ya diesel, usitegemee battery hiyo ikakaa mda mrefu kwenye gari yako ikifanya kazi kwa ubora ule ule, tena kwa mfano ukaiacha milango wazi au kusahau kuzima taa basi ndio itakuwa balaa Zaidi.

NAOMBA NIWAPE FORMULA AMBAYO KILA MMOJA WETU HATA PATA SHIDA YA BATTERY UNLESS ALTERNATOR YAKO IWE INA SHIDA.

Gari yenye Egine kuanzia;
600-800 Funga battery aina ya NS40 ina nguvu ya 035Ah {Vits/Starlet n.k}
900-1400 Funga battery aina ya N40 ina nguvu ya 045Ah {Ist/Runx}
1600-1800 Funga battery aina ya N50 ina nguvu ya 050Ah {Rav4 n.k}
1900-2200 Funga battery aina ya Ns70 ina nguvu ya 065Ah {Centa,fusso, sometimes Rav4 n.k}
2300-2600 Funga battery aina ya N70 ina nguvu ya 070Ah na funga kwenye gari za petrol tu (Hilux petrol}
2700-4000 Funga battery aina ya N70Z ina nguvu ya 075Ah au waweza funga N90 ina nguvu ya 80Ah na ufunge
gari ya diesel tu {Hilux diesel n.k n.k}
4100 kuendelea funga N100/N120/150/180/200 Kutegemeana na kitako/ukubwa wa engine
 
Ni kweli hutokea matatizo kama hayo lakini, hii inatokana na kufunga battey isiyo sahihi kwenye gari lako, kwa mfano unaweza kufunga N70(Dry/wet) kwenye gari ya diesel, usitegemee battery hiyo ikakaa mda mrefu kwenye gari yako ikifanya kazi kwa ubora ule ule, tena kwa mfano ukaiacha milango wazi au kusahau kuzima taa basi ndio itakuwa balaa Zaidi.

NAOMBA NIWAPE FORMULA AMBAYO KILA MMOJA WETU HATA PATA SHIDA YA BATTERY UNLESS ALTERNATOR YAKO IWE INA SHIDA.


Gari yenye Egine kuanzia;

600-800 Funga battery aina ya NS40 ina nguvu ya 035Ah {Vits/Starlet n.k}
900-1400 Funga battery aina ya N40 ina nguvu ya 045Ah {Ist/Runx}
1600-1800 Funga battery aina ya N50 ina nguvu ya 050Ah {Rav4 n.k}
1900-2200 Funga battery aina ya Ns70 ina nguvu ya 065Ah {Centa,fusso, sometimes Rav4 n.k}
2300-2600 Funga battery aina ya N70 ina nguvu ya 070Ah na funga kwenye gari za petrol tu (Hilux petrol}
2700-4000 Funga battery aina ya N70Z ina nguvu ya 075Ah au waweza funga N90 ina nguvu ya 80Ah na ufunge
gari ya diesel tu {Hilux diesel n.k n.k}
4100 kuendelea funga N100/N120/150/180/200 Kutegemeana na kitako/ukubwa wa engine.


Ukiweza kufuata hii formula battery haitokusumbua kwenye gari yako.
 
Back
Top Bottom